Serikali kutekeleza ahadi za Mgimwa jimboni kwake
Wakati Rais Jakaya Kikwete jana akiongoza mamia ya wakazi wa Mkoa wa Iringa na mikoa ya jirani kwenye mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa, Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameahidi kuwa Serikali itatekeleza ahadi alizotoa jimboni kwake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMBUNGE GODFREY MGIMWA ASEMA AMETUMIA ZAIDI YA TSH MILIONI 68 KWA MIENZI MITATU YA UBUNGE WAKE KUTEKELEZA AHADI 90 ZA MBUNGE WA KALENGA ALIYEFARIKI DUNIA DR WILIAM MGIMWA
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Mbunge mteule wa jimbo la Singida Magharibi aanza kutekeleza kwa vitendo ahadi zake jimboni!
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DeSq9uLgLqI/VQaOE7-PNTI/AAAAAAAB5nc/I6DOKUaprNM/s72-c/2G2A4865.jpg)
FILIKUNJOME ATIMIZA AHADI YA UJENZI WA DARAJA MTO KITEWAKA JIMBONI KWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-DeSq9uLgLqI/VQaOE7-PNTI/AAAAAAAB5nc/I6DOKUaprNM/s1600/2G2A4865.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IiQiNy84WPo/VQaN_P9R3TI/AAAAAAAB5nU/inMKj4V172s/s1600/2G2A4891.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YnSvuCJ9I8M/VQaQTgUev2I/AAAAAAAB5n0/BZHdU0hlKJI/s1600/2G2A4747.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nJLpogASdOs/VUkzgC-z1lI/AAAAAAAHVnM/XNH-On_nU34/s72-c/IMG-20150505-WA032.jpg)
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay aanza kutekeleza ahadi
![](http://1.bp.blogspot.com/-nJLpogASdOs/VUkzgC-z1lI/AAAAAAAHVnM/XNH-On_nU34/s640/IMG-20150505-WA032.jpg)
10 years ago
Mtanzania23 May
Serikali yatakiwa kukiri kushindwa kutekeleza ahadi zake
Na Debora Sanja, Dodoma
MBUNGE wa Ole, Rajab Mbarouk Mohamed (CUF), ameitaka Serikali kukiri kushindwa kutekeleza ahadi za Rais Jakaya Kikwete kwa kuwa muda wa utekelezaji wake umekwisha.
Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, alisema kitendo cha Serikali kushindwa kukamilisha ahadi ya Kikwete ya kujenga barabara ya kilomita 2.5 ya Singano kwa Mkocho hadi Kivinje ni dalili ya kushindwa kwa Serikali hiyo.
“Kwanini Serikali hii ya CCM sasa isiwathibitishie wananchi kwamba imeshindwa...
10 years ago
Habarileo10 Aug
JK: Sifa yangu ni kutekeleza ahadi
HUKU akikaribia kukabidhi madaraka kwa Rais wa Awamu ya Tano baadaye mwaka huu, Rais Jakaya Kikwete amesema moja ya sifa yake na ya chama tawala, CCM, ni kutekeleza ahadi walizowaahidi Watanzania wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010.
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Kagasheki akumbushwa kutekeleza ahadi
SERIKALI imekumbushwa kutekeleza ahadi yake ya kuwadhamini watu 100 wakiwamo askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kupanda Mlima Kilimanjaro kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za miaka 52...
10 years ago
Habarileo31 Jul
Azan ajigamba kutekeleza ahadi
MBUNGE wa Kinondoni, Idd Azzan amewaomba wana CCM kumpigia kura ya maoni, kupeperusha bendera ya chama hicho kwa mara ya tatu alete maendeleo.