Serikali yaombwa kuharakisha ahadi yake ya upanuzi wa barabara
Watumiaji wa Barabara ya Gerezani – Bendera tatu Dar es salaam wameiomba Serikali ya Tanzania na Japan kuharakisha upanuzi wa barabara hiyo na ule wa barabara ya juu katika eneo la Tazara ili kuwapunguzia kero ya muda mrefu ya msongamano wa magari.
Baada ya kuona maandalizi ya awali katika barabara ya gerezani kwa ajili ya kuanza ujenzi, baadhi ya watumiaji wa barabara hiyo wakazungumza na Star Tv
Wamesema kutokana na watu wengi kutumia barabara hiyo hususani wenye magari makubwa ambayo...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Serikali yaisaliti ahadi yake ya kutonunua mashangingi
BAJETI ya serikali iliyowasilishwa bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, itakuwa na naki
Nizar Visram
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Upanuzi Barabara ya Morogoro ni janga
9 years ago
MichuziUPANUZI WA BARABARA YA MWENGE- MOROCCO WAANZA
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE KUZINDUA UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE - TEGETA
10 years ago
Michuzi9 years ago
Michuzi10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AZINDUA RASMI UPANUZI WA BARABARA YA NEW BAGAMOYO SEHEMU YA MWENGE - TEGETE LEO
9 years ago
MichuziMKUU WA KITENGO CHA MIPANGO OFISI YA MKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI,NKILIJIWANDO ATIMIZA AHADI YAKE KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA MISITU JIJINI DAR.
MKUU wa kitengo cha mipango katika Ofisi ya Ukaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali, Malima Nkilijiwando ambae pia ni mdau wa elimu ametimiza ahadi yake ya kuinunulia Shule ya Sekondari ya Misitu iliyopo kata ya Kivule- Ukonga jijini Dar es Salaam Kompyuta na mashine ya kutolea kopi pamoja na kuchapisha.
Ahadi hiyo ameitimiza leo katika shule hiyo ikiwa aliahidi kipindi walipofanya mahafali ya kidato cha nne katika shule hiyo.
Mkuu wa shule ya Sekondari ya Misitu, Pantaleo Maghari...
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Serikali yahimizwa kuharakisha mpango wa matumizi ya ardhi
SERIKALI imetakiwa kuharakisha mpango wa matumizi bora ya ardhi katika vijiji 79 vilivyopo katika Wilaya Kisarawe mkoani Pwani kuepusha migogoro ya mipaka baina ya kijiji na kijiji. Wito huo ulitolewa...