Upanuzi Barabara ya Morogoro ni janga
Kinyume na matarajio ya wengi, mradi wa Upanuzi wa Barabara ya Morogoro, kilomita 21 kutoka katikati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Kimara umekuwa kero kubwa kwa wananchi wanaotumia vyombo vya usafiri kupitia katika barabara hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fqeqtuJaEys/Vl1jrv2-cXI/AAAAAAAIJaM/b7c0TZJS430/s72-c/AgruMpLPx5qVkJ4Y4Dy142lezFXUr_82O2CNTjwJ3bfh.jpg)
UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE- MOROCCO WAANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fqeqtuJaEys/Vl1jrv2-cXI/AAAAAAAIJaM/b7c0TZJS430/s640/AgruMpLPx5qVkJ4Y4Dy142lezFXUr_82O2CNTjwJ3bfh.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iehSSenODlA/Vl1jruvANOI/AAAAAAAIJaQ/MwYXxRES-W4/s640/AjM0mFrNIS-VX34FfQNL0TpWYXI9Gc_59nq-Gjs-Zdv-%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE KUZINDUA UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE - TEGETA
9 years ago
StarTV28 Dec
Serikali yaombwa kuharakisha ahadi yake ya upanuzi wa barabara
Watumiaji wa Barabara ya Gerezani – Bendera tatu Dar es salaam wameiomba Serikali ya Tanzania na Japan kuharakisha upanuzi wa barabara hiyo na ule wa barabara ya juu katika eneo la Tazara ili kuwapunguzia kero ya muda mrefu ya msongamano wa magari.
Baada ya kuona maandalizi ya awali katika barabara ya gerezani kwa ajili ya kuanza ujenzi, baadhi ya watumiaji wa barabara hiyo wakazungumza na Star Tv
Wamesema kutokana na watu wengi kutumia barabara hiyo hususani wenye magari makubwa ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7HYzGD0HIqs/VAFrLOIAFJI/AAAAAAAGVqE/jMfWvmNV55c/s72-c/5.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/nalOkdyVu00/default.jpg)
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AZINDUA RASMI UPANUZI WA BARABARA YA NEW BAGAMOYO SEHEMU YA MWENGE - TEGETE LEO
10 years ago
CloudsFM10 Dec
VURUGU ZAFUNGA BARABARA DUMILA, MOROGORO
Jeshi la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wa Dumila na Mbigiri wilayani Kilosa mkoani Morogoro baada ya kufunga barabara ya Morogoro Dodoma kwa kutumia mawe na kuchoma matairi barabarani katika eneo la Dumila na kusababisha abiria wanaotumia barabara ya Morogoro Dodoma kukosa mawasiliano kwa zaidi ya masaa sita.
Vurugu hizo zilidumu kwa muda mrefu na juhudi za kudhibiti wakulima hao zimechukua muda baada ya askari wachache wa kituo cha Dumila kuonekana...
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Ujenzi wa Barabara ya Morogoro kero tupu
TANGU mradi wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam uanze, kumezuka kero ya msongamano wa magari kwa watumiaji wa Barabara ya Morogoro eneo la Ubungo hadi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HKwT7c0gnSo/Xl8iMzrxxDI/AAAAAAALg00/YDDNDox1yVMPt1kNoKJWJHuXNvUcqVt0ACLcBGAsYHQ/s72-c/dc375b75-97f0-4f03-8cfe-e8e0f88ad008.jpg)
Barabara ya Morogoro – Dodoma kukamilika usiku
Na Farida Saidy, Morogoro
Waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amesema daraja la Mto Mkange lililopo Wilayani Kilosa lililovunjilka Machi 2 mwaka huu, linatarajiwa kukamilika usiku wa kuamkia Machi 4 mwaka huu.
Waziri Kamwelwe amesema hayo akiwa katika eneo la tukio, mara baada ya Karavati moja kati ya mawili yanayohitajika kushushwa sehemum lilipokatika daraja na kutoa matumaini kuwa ujenzi wa daraja hilo la muda utakamilika usiku wa kuamkia Machi 4 Mwaka...