VURUGU ZAFUNGA BARABARA DUMILA, MOROGORO
Jeshi la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wa Dumila na Mbigiri wilayani Kilosa mkoani Morogoro baada ya kufunga barabara ya Morogoro Dodoma kwa kutumia mawe na kuchoma matairi barabarani katika eneo la Dumila na kusababisha abiria wanaotumia barabara ya Morogoro Dodoma kukosa mawasiliano kwa zaidi ya masaa sita.
Vurugu hizo zilidumu kwa muda mrefu na juhudi za kudhibiti wakulima hao zimechukua muda baada ya askari wachache wa kituo cha Dumila kuonekana...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoZefsVrV1jeDl3q3L1eZttEdsXKxfG5EBM1JJoBE95USQ17lYZ*exopHqMEk7YZwSMne0sx1ljnpAHUwfxcRdJ7/breakingnews.gif)
WAJERUHIWA KATIKA VURUGU DUMILA
10 years ago
Habarileo26 Aug
Dumila, Rudewa wapata barabara ya lami
BARABARA ya lami kutoka Dumila hadi Rudewa katika Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, yenye urefu wa kilometa 45, inayojegwa kwa gharama ya fedha za ndani Sh bilioni 48.6.9, imezinduliwa.
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AZINDUA BARABARA YA DUMILA-RUDEWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf0LuKzS2*QN*oQKntFRguncrk6NUlCoG6dNvW1mAJBnEePDla0cK577vGIZEkAnCYaS4UBHD1bIneJBzw-yfnMY/6WaziriMagufulikatikamtambo.jpg?width=650)
DK MAGUFULI AHAMIA MOROGORO KUSIMAMIA UJENZI DARAJA LA DUMILA LILILOSOMBWA NA MAJI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JV447xWLadk/VZLbh-DhhbI/AAAAAAAHl9k/WlKlSCnzvgM/s72-c/MMGL0022.jpg)
MSAFARA WA LOWASSA WASIMAMISHWA DUMILA MKOANI MOROGORO WAKATI AKIELEKEA MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-JV447xWLadk/VZLbh-DhhbI/AAAAAAAHl9k/WlKlSCnzvgM/s640/MMGL0022.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6W_NRM0TGkw/VZLbiCyUGnI/AAAAAAAHl9o/v2F3SMaMI9I/s640/MMGL0034.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m5P05tOBzsI/VZLbrLo7HaI/AAAAAAAHl98/X20c0JUTMZA/s640/MMGL0043.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Feb
VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU
![](http://api.ning.com/files/vshXEK8U-ih6Ed0u8ccj7KVpCbDBda7rI3doKclTHZHutGARaPymAOSexlbfSHYe07Y-mz-rn6IvpFTw0n*PgoLxQWTvjFbq/IMG20150224WA0001.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/vshXEK8U-ii6FlPALYoZuld*vPTdLU-8Gb*o8M66zJzzlGnUL9RJJj0aKFjNy25b7yp6TMuKkTUz1tatOaWfxgAYaXLxxtNS/553340_1102711359755054_58503742703641570_n.jpg?width=650)
WANANCHI wenye hasira mjini Ilula, mkoani Iringa, wamevamia kituo cha polisi na kuvunja milango kisha kuwafungulia mahabusu waliokuwemo ndani, wakachoma moto baadhi ya magari yaliyokuwepo kituoni hapo pamoja na mafaili.
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, tukio hilo limetokea leo asubuhi kufuatia mwanamke ambaye hakufahamika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Upanuzi Barabara ya Morogoro ni janga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HKwT7c0gnSo/Xl8iMzrxxDI/AAAAAAALg00/YDDNDox1yVMPt1kNoKJWJHuXNvUcqVt0ACLcBGAsYHQ/s72-c/dc375b75-97f0-4f03-8cfe-e8e0f88ad008.jpg)
Barabara ya Morogoro – Dodoma kukamilika usiku
Na Farida Saidy, Morogoro
Waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amesema daraja la Mto Mkange lililopo Wilayani Kilosa lililovunjilka Machi 2 mwaka huu, linatarajiwa kukamilika usiku wa kuamkia Machi 4 mwaka huu.
Waziri Kamwelwe amesema hayo akiwa katika eneo la tukio, mara baada ya Karavati moja kati ya mawili yanayohitajika kushushwa sehemum lilipokatika daraja na kutoa matumaini kuwa ujenzi wa daraja hilo la muda utakamilika usiku wa kuamkia Machi 4 Mwaka...