Ndio! Fuso ni Faida imerudi tena!
Wafanyakazi wa Diamond Motors Limited wakiwapa maelezo mbalimbali watu waliojitokeza katika maonyesho ya Kampeni ya Ndio! Fuso ni Faida iliyoanza 24 julai 2015 jijini Dar es Salaam.
Kampeni ya Ndio! Fuso ni Faida Ilianza kwa kishindo jijini Dar es Salaam na baadae kuelekea mikoa mingine kama vile Tanga, Moshi – Kilimanjaro, Arusha, Mwanza, Kahama-Shinyanga, Dodoma, Iringa, Mbeya, Songea- Ruvuma na mwishowe kuishia Dar es Salaam.
Diamond Motors Limited ni wasambazaji wa magari pekee...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sLe-rBBtCwY/VbFcGvU1uGI/AAAAAAAAHn8/OmlUm_v1lTM/s72-c/fuso.jpg)
KAMPENI YA " NDIO ! FUSO NI FAIDA " KWA MIKOA ZAIDI YA 11 KUANZA LEO TAREHE 24 JULY ,2015 ,JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-sLe-rBBtCwY/VbFcGvU1uGI/AAAAAAAAHn8/OmlUm_v1lTM/s640/fuso.jpg)
Diamond Motors Limited is the country’s leading automobile distributor and the sole distributor of Mitsubishi Fuso Truck and Bus Corporation (MFTBC) in Tanzania. They will once again be launching the campaign, Ndio! FusoniFaida where over a 26-day 11 region Test Drive andRoad Show in which they will be showcasing the FJ and launching the FZ; Fuso medium and heavy-duty truck which are suitable for the purpose of mining, agriculture, construction, logistics and...
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso ni Faida’ campaign
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNYlCr9yCVk/VdXUJ3l0m-I/AAAAAAAAHuI/_W6opbbkChc/s1600/fuso.png)
Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures.
This is even more so in Tanzania’s economy where economic opportunities are increasingly related to the mobility of people, goods and service. It is with this factors in mind that Diamond
Motors (Hansa Group) has introduced NewFuso heavy-duty truck range of Fuso FZ which offers more benefits in terms of efficiency, operation...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Diamond wazindua ‘Ndiyo Fuso ni Faida’
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qbp6vk3ilR4/VZOIcFbr-ZI/AAAAAAAAwzY/Jhbi2n0Q7Fo/s72-c/NguzaMwanawe.jpg)
Muda wa Jakaya Ndio Umeisha, Babu Seya Ndio Basi Tena?
![](http://1.bp.blogspot.com/-qbp6vk3ilR4/VZOIcFbr-ZI/AAAAAAAAwzY/Jhbi2n0Q7Fo/s640/NguzaMwanawe.jpg)
Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya.Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia wimbo wakati wakitumbuiza katika maadhimisho ya Siku ya Magereza yaliyofanyika Chuo cha Magereza Ukonga jijini Dar es Salaam.
Ombi hilo waliliwasilisha kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe aliyekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo ambapo Nguza maarufu Babu Seya na mwanawe, Johnson...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SNYlCr9yCVk/VdXUJ3l0m-I/AAAAAAAAHuI/_W6opbbkChc/s72-c/fuso.png)
Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso niFaida’ campaign
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNYlCr9yCVk/VdXUJ3l0m-I/AAAAAAAAHuI/_W6opbbkChc/s1600/fuso.png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MAKrx7VFEe4/U24PFGh2-EI/AAAAAAAFgp4/Vzfk0WcQwqQ/s72-c/20140510_132955.jpg)
HII NDIO FAIDA YA MICHEPUKO BARABARANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MAKrx7VFEe4/U24PFGh2-EI/AAAAAAAFgp4/Vzfk0WcQwqQ/s1600/20140510_132955.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-o07wQvd8Em4/U24PHg_6gaI/AAAAAAAFgqE/3_ZDEi0DX1A/s1600/20140510_133030.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
Tigo Pesa yarejesha tena faida ya shilingi 3bn/- kwa wateja wake
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez.
Tigo imetangaza leo kwamba imetoa malipo yake ya kwanza ya kila robo mwaka ya kiasi cha shilingi bilioni 3 (dola milioni 1.8) kwa wateja wake wa Tigo Pesa. Mgao huu ni wa kwanza kati ya awamu nne za malipo zinazotarajiwa kufanyika kila mwaka.
Malipo haya yanafanyka miezi mitatu baada ya kampuni hiyo kulipa kiasi cha shilingi bilioni 14.25 (dola milioni 8.64) ambacho kilikuwa kimelimbikizwa katika mfuko wa fedha ya akaunti ya Tigo Pesa,...
10 years ago
Michuzi13 Dec
TAARIFA: MJENGWABLOG IMERUDI HEWANI!
Ni saa kadhaa zilizopita. Tunawashukuru wote mliotutumia jumbe na kutupigia simu kuulizia kulikoni. Mmeonyesha kujali.
Tunaamini, kuna wengi pia ambao hawakupata nafasi ya kuulizia tatizo, lakini, kuwa wapo pamoja nasi,tunawashukuru sana.
Unaweza sasa kutembelea
http://mjengwablog.com