Muda wa Jakaya Ndio Umeisha, Babu Seya Ndio Basi Tena?
![](http://1.bp.blogspot.com/-qbp6vk3ilR4/VZOIcFbr-ZI/AAAAAAAAwzY/Jhbi2n0Q7Fo/s72-c/NguzaMwanawe.jpg)
Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya.Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia wimbo wakati wakitumbuiza katika maadhimisho ya Siku ya Magereza yaliyofanyika Chuo cha Magereza Ukonga jijini Dar es Salaam.
Ombi hilo waliliwasilisha kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe aliyekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo ambapo Nguza maarufu Babu Seya na mwanawe, Johnson...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Ndio! Fuso ni Faida imerudi tena!
Wafanyakazi wa Diamond Motors Limited wakiwapa maelezo mbalimbali watu waliojitokeza katika maonyesho ya Kampeni ya Ndio! Fuso ni Faida iliyoanza 24 julai 2015 jijini Dar es Salaam.
Kampeni ya Ndio! Fuso ni Faida Ilianza kwa kishindo jijini Dar es Salaam na baadae kuelekea mikoa mingine kama vile Tanga, Moshi – Kilimanjaro, Arusha, Mwanza, Kahama-Shinyanga, Dodoma, Iringa, Mbeya, Songea- Ruvuma na mwishowe kuishia Dar es Salaam.
Diamond Motors Limited ni wasambazaji wa magari pekee...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9FVVvAFJ2vjMhG1Yom0sih0ASwF4Q1UhRY4qziMI5h2S8*DjKGTIMvRM4iA8pI4oO9MaQ0xLB*QaUc6eeyvFWJH/seya.jpg?width=650)
BABU SEYA, PAPII...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3VZVa7mx8XxhNry38CHaGTUYBoJV2D0iKAm75ZCCstw1BdMPuKnfNc6yAwCukEF*2lwauBOcHl9Cc61TcPDG5p2/papii.gif?width=650)
BABU SEYA,PAPII VICHEKO GEREZANI
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Babu Seya atua Mahakama ya Afrika
*Awasilisha hoja tatu, alia na Serikali kuvunja sheria
*Asimulia jinsi alivyoteswa alipokuwa mahabusu
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
HATIMAYE mwanamuziki, Nguza Viking maarufu kama Babu Seya na mwanae, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, wametua katika Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika (AFCPHR) Arusha.
Wanamuziki hao wamekata rufaa dhidi ya adhabu waliyohukumiwa mwaka 2004 ya kutumikia kifungo cha maisha gerezani.
Kupitia shauri lao lililowasilishwa mahakamani na kupewa namba 006/ 2015, wanaiomba...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Babu Seya, Papii Kocha wamlilia JK
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8TLRwt8D9xGn18*1bDt5OwFmNqfOvBUARIHtxhNTDVtilpRYPB2wsXIEGgG5r4xNp*ADRtZfQ13OZpScoh6cx1/BABU.jpg)
BABU SEYA, PAPII MIAKA 10 GEREZANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3DakEyiuQKfKptdoEcUxFk1ykDr9eRzV*MTY9wIF7lNBXD7JLOIPqEvMD*lxLR24PoiRTOAgN1NHdnLSPZNfQYL/babaseya.jpg?width=650)
BABU SEYA, PAPII FURAHA UPYA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVe6Ewjy6CHKeIdcbi55JKItICa0kD51hbd9pdaEGqKzpcQix-9SBcWacg40MNQyOwp*9XfaVB9UrkP9PbsT2Ajz/marandoo.jpg?width=650)
MARANDO: BABU SEYA ALIBAMBIKIWA KESI
9 years ago
Daily News31 Aug
UVCCM hit at Lowassa on terror suspects, 'Babu Seya'
IPPmedia
Daily News
THE CCM youth wing, UVCCM, has criticised the Union presidential candidate on the Coalition of Four Opposition Parties, Ukawa, Mr Edward Lowassa, over his utterances in regard to re-examining terror suspects' case as well as two convicted rapists.
.....as Dr Magufuli partially loses speech in MbeyaIPPmedia
Tanzania's opposition vows to review mining, gas contractsGbooza
Presidential Campaigns Kick Off in...