MARANDO: BABU SEYA ALIBAMBIKIWA KESI
![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVe6Ewjy6CHKeIdcbi55JKItICa0kD51hbd9pdaEGqKzpcQix-9SBcWacg40MNQyOwp*9XfaVB9UrkP9PbsT2Ajz/marandoo.jpg?width=650)
Na Elvan Stambuli WAKILI maarufu nchini, Mabere Nyaucho Marando amesema mwanamuziki Nguza Viking ‘Babu Seya’ na watoto wake watatu walimbambikiwa kesi. Mabere Nyaucho Marando akiongea na waandishi wa Global Publishers (hawapo pichani). Akizungumza na waandishi wa habari wa Global Publishers katika ofisi zao zilizopo Mwenge Bamaga mwishoni mwa wiki iliyopita, Marando alisema alipitia jalada la kesi hiyo lenye...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P2Q6K2rcr9FVVvAFJ2vjMhG1Yom0sih0ASwF4Q1UhRY4qziMI5h2S8*DjKGTIMvRM4iA8pI4oO9MaQ0xLB*QaUc6eeyvFWJH/seya.jpg?width=650)
BABU SEYA, PAPII...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Babu Seya, Papii Kocha wamlilia JK
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3VZVa7mx8XxhNry38CHaGTUYBoJV2D0iKAm75ZCCstw1BdMPuKnfNc6yAwCukEF*2lwauBOcHl9Cc61TcPDG5p2/papii.gif?width=650)
BABU SEYA,PAPII VICHEKO GEREZANI
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Babu Seya atua Mahakama ya Afrika
*Awasilisha hoja tatu, alia na Serikali kuvunja sheria
*Asimulia jinsi alivyoteswa alipokuwa mahabusu
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
HATIMAYE mwanamuziki, Nguza Viking maarufu kama Babu Seya na mwanae, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, wametua katika Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika (AFCPHR) Arusha.
Wanamuziki hao wamekata rufaa dhidi ya adhabu waliyohukumiwa mwaka 2004 ya kutumikia kifungo cha maisha gerezani.
Kupitia shauri lao lililowasilishwa mahakamani na kupewa namba 006/ 2015, wanaiomba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8TLRwt8D9xGn18*1bDt5OwFmNqfOvBUARIHtxhNTDVtilpRYPB2wsXIEGgG5r4xNp*ADRtZfQ13OZpScoh6cx1/BABU.jpg)
BABU SEYA, PAPII MIAKA 10 GEREZANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3DakEyiuQKfKptdoEcUxFk1ykDr9eRzV*MTY9wIF7lNBXD7JLOIPqEvMD*lxLR24PoiRTOAgN1NHdnLSPZNfQYL/babaseya.jpg?width=650)
BABU SEYA, PAPII FURAHA UPYA!
9 years ago
Bongo509 Nov
Babu Seya akimbilia mahakama ya haki za binadamu ya Arusha
![babu+seya+px](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/babu-seya-px-300x194.jpg)
Mwanamuziki mkongwe nchini, Nguza Viking maarufu kama Babu Seya na mwanae, Johnson Nguza aka Papii Kocha, ameamua kwenda kutafuta msaada kwenye Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika (AFCPHR) ya Arusha.
Wanamuziki hao wamekata rufaa dhidi ya adhabu waliyohukumiwa mwaka 2004 ya kutumikia kifungo cha maisha gerezani. Kupitia shauri lao lililowasilishwa mahakamani na kupewa namba 006/ 2015, wanaiomba Mahakama ya Afrika kutoa uamuzi kuwa haki zao zilivunjwa.
Kwa sababu hiyo wanaomba waachiwe...
9 years ago
Daily News31 Aug
UVCCM hit at Lowassa on terror suspects, 'Babu Seya'
IPPmedia
Daily News
THE CCM youth wing, UVCCM, has criticised the Union presidential candidate on the Coalition of Four Opposition Parties, Ukawa, Mr Edward Lowassa, over his utterances in regard to re-examining terror suspects' case as well as two convicted rapists.
.....as Dr Magufuli partially loses speech in MbeyaIPPmedia
Tanzania's opposition vows to review mining, gas contractsGbooza
Presidential Campaigns Kick Off in...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/aP0huqm9Vsk/default.jpg)