Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASTARA ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA NA WATOTO

Wastara akiwapa zawadi ya bethdei kwa wanawake waliojifungua. …akiwafariji wakina mama waliofiwa na watoto wao baada ya…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

JK ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WAJUKUU

KekiWajukuu wakimchukua babu wakamwimbie na kukata naye kekiMjukuu akiogoza wajukuu wenzie kumwimbia babuWajukuu wakimwimbia babu...Happy Birthday to youuuuu...Babu akikata keki huku wajukuu wakiisubiri kwa hamu.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA


 

11 years ago

GPL

H.BABA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

H.Baba na mke wake, Florah Mvungi wakilishana keki. Florah Mvungi akiwa na mtoto wake Tanzanite. H.Baba akimlisha keki mama yake. Mke wake H.Baba, Florah Mvungi  akiwa…

 

10 years ago

GPL

NASRA WA GLOBAL ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Msanifu Kurasa Mkuu wa Global Publishers, Nasra Nassor (kulia) akikata keki ya kuzaliwa kwake. Keki ya siku ya kuzaliwa ya Nasra. Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa ya Global Publishers, Oscar Ndauka akilishwa keki.…

 

11 years ago

GPL

NAY WA MITEGO ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWAKE

Nay wa Mitego akilishana keki na mpenzi wake Siwema kwenye bethidai yake ya kutimiza miaka 29.
Msanii wa muziki Jitaman (kulia) akilishwa keki na rafiki yake Nay wa Mitego.
Nay wa mitego akimlisha keki…

 

10 years ago

GPL

ROSE NDAUKA ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWAKE

Usiku wa kuamkia leo ulikuwa ni usiku wa furaha kwa staa wa Filamu Bongo, Rose Ndauka, kwani aliweza kusheherekea siku yake ya kuzaliwa na baadhi ya mastaa wenzake waliyofurika ndani ya Hoteli ya Collossium iliyopo maeneo ya Kamata Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam. Rose Ndauka (kushoto), akimlisha kipande cha keki rafiki yake mpendwa Jack Pentzel, muda mfupi baada ya zoezi la kulishana keki kuanza kwenye… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Shy Rose Bhanji asherehekea siku yake ya kuzaliwa

Untitled 1

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy Rose Bhanji katikati akipokea keki kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki zake wakati wa tafrija maalum ya kumpongeza baada ya kutimiza miaka yake kadhaa katika ulimwengu huu Mei 3, 2014. Tafrija hiyo ilifanyika nyumbani kwake Bweni Dar es Salaam. (Photos by: MD Digital Company +255 755 373999).

Birthday Girl! Shy-Rose akikata akijiandaa kukata keki…

Marafiki zake wa karibu ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ester...

 

10 years ago

Vijimambo

JOSE ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA STAILI YA PEKEE

Jose akijaribu kupuliza mshumaa alipokua akisherehekea siku yake ya kuzaliwa nyumbani kwake siku ya Jumamosi Novemba 29, 2014 DMV na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki.Jose akimlisha keki mama mwenye nyumba wake.Mama mwenye nyumba amkulisha keki JoseMdhamini wa pendo lake Jose akimchum huku akmpa zawadi yake. Aunty Asha akimzawadia Jose. Ni zawadi juu ya zawadiZawadi zikiendelea.
Zawadi hizo kwa Jose.Picha zaote na mwakilishi wa Vijimambo Maryland Aloyce Mbullu
kwa mapicha ya kumwaga...

 

11 years ago

Michuzi

MHE. SHY ROSE BHANJI ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy Rose Bhanji katikati akipokea keki kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki zake wakati wa tafrija maalum ya kumpongeza baada ya kutimiza miaka yake kadhaa katika ulimwengu huu Mei 3, 2014. Tafrija hiyo ilifanyika nyumbani kwake Mbweni Dar es Salaam.   Birthday Girl! Shy-Rose akikata akijiandaa kukata keki...  Marafiki zake wa karibu ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe, Ester Bulaya (kushoto) na Mhe. Halima Mdee...

 

9 years ago

Bongo5

Stamina asherehekea siku yake ya kuzaliwa na wimbo mpya ‘Mr Bonventure’

12237338_1516367548673634_1513271570_n

Rapper Stamina Jumamosi hii anasherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kuachia wimbo mpya uitwao Mr Bonventure unaoelezea historia ya maisha yake kama bonus kwa mashabiki wake.

12237338_1516367548673634_1513271570_n

Stamina ameiambia Bongo5 kuwa amefanya hivyo ili mashabiki wajue ni jinsi gani walivyobadili maisha yake.

“Nashukuru Mungu, media pamoja na mashabiki wangu. Huu wimbo niliotoa ni kwa ajili yao kama bonus track, unaelezea maisha yangu kwa ujumla na kazi yangu official itatoka hivi karibuni. Kwahiyo wimbo tayari upo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani