KAJALA APEWA SIKU 5 ZA KUISHI
![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS7C0X3ZQFRnaHIbs8IbmLOFkdIQia3sfk9ti7zGaU-5IF1gKAn*gSwiSF1QrRSYTQEd8gT307bJY-36jFqdwUKY/3.gif?width=650)
IMELDA MTEMA MASIKINI! Staa mkali wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja hivi karibuni amejikuta akiwa katika wakati mgumu na wa hatari kufuatia watu wasiojulikana kuvamia nyumbani kwake na kutoa onyo kwamba wanampa siku tano tu za kuishi, Amani lina mkasa kamili.Ishu hiyo ya kushtusha ilitokea usiku wa saa nane ya kuamkia juzi, Jumanne nyumbani kwa staa huyo, Sinza Mori jijini Dar es Salaam. Staa mkali wa filamu za Kibongo,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8T6ZGCjfGZLhwXB14dsVN4WuOKCK1kg2s4W-NmdzDM6HAarR7j8GpjDb1AZq1U7V4i2ph*seUYh9o4dYA1RfUjx/KAJALA.gif?width=650)
KAJALA: SINA HAMU YA KUISHI BONGO
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Kutembea kwa dakika 20 kila siku, huongeza siku za kuishi
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Mhandisi apewa siku 14 kukamilisha mradi
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Mrema apewa siku 80 kufanya uchaguzi TLP
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mkurugenzi apewa siku 14 kurejesha fedha za walimu
HALIMASHAURI ya Wilaya ya Geita mkoani hapa imepewa siku 14 kurudisha fedha sh milioni 350 zilizotafunwa na Halimashauri hiyo ambazo walikatwa walimu wa Mkoa huo kwa ajili ya mikopo ambayo...
9 years ago
Habarileo17 Dec
Apewa siku 10 kuondoa mawe kuzuia mawimbi
MKUU wa Mkoa wa Kusini Unguja, Dk Idriss Muslim Hijja ametoa siku 10 kwa mwekezaji anayemiliki hoteli ya kitalii ya Palumbo iliyopo Uroa katika Wilaya ya Kati kuondoa shehena ya mawe aliyoyaweka mbele ya hoteli hiyo kwa ajili ya kuzuia kasi ya mawimbi ya bahari na mmomomnyoko wa ardhi.
9 years ago
StarTV17 Nov
Wahanga wa mgodi nyangarata wasimulia walivyoweza kuishi kwa siku 41 wakila wa dudu
Wahanga wa maafa ya kufukiwa na kifusi kwenye machimbo ya Nyangarata wilayani Kahama mkoani Shinyanga takribani Siku 41 wakiwa chini ya Ardhi wamesema kuwa waliofanikisha kunusuru maisha yao kwa kula wadudu walipokuwa katika shimo hilo.
Hata hivyo kati ya wahanga 6 mmoja aliyetambulika kwa jina la Mussa Supana alipoteza maisha na watano walinusurika na kulazwa kwenye Hospitali ya Halmashauri ya mji wa Kahama, huku viungo vyao vikiwa vimekakamaa na hali zao bado taabani kufuatia kukosa...
9 years ago
GPLGWAJIMA APEWA SIKU 14 KUMFUFUA KAKA YAKE AU KUPANDISHWA KIZIMBANI