Mhandisi apewa siku 14 kukamilisha mradi
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, wamempa siku 14 mhandisi wa maji wa halmashauri hiyo, Bathromeo Matwiga awe amekamilisha mradi wa uchimbaji wa visima virefu vya maji wa Kijiji cha Naipanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV31 Dec
 Katibu tawala Kigoma apewa siku 2 kukamilisha uchunguzi  Tuhuma Za Ubadhirifu
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ametoa siku mbili kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Mhandisi John Ndunguru kukamilisha uchunguzi wake na kumpatia taarifa ya maandishi juu ya tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma unaohusisha uuzwaji wa jengo la KIGODECO na viwanja 12 vya Manispaa ya Kigoma/Ujiji ambao unadaiwa kukiuka taratibu.
Waziri Mkuu Majaliwa Ametoa agizo hilo mjini Kigoma wakati akizungumza na viongozi na watendaji mbalimbali wa mkoa huo alipokuwa akifanya majumuisho ya...
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Malecela: Siku 60 hazitoshi kukamilisha Katiba Mpya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A8iRwq2GJoM/Xra7WmdvH9I/AAAAAAALpkA/eCcmM01uFS4xG1tps8KqHj5iewecSO1sACLcBGAsYHQ/s72-c/1-5-768x432.jpg)
RC PWANI ATOA SIKU SABA UONGOZI WA HALMASHAURI YA BAGAMOYO KUKAMILISHA HOJA 38 ZA CAG
![](https://1.bp.blogspot.com/-A8iRwq2GJoM/Xra7WmdvH9I/AAAAAAALpkA/eCcmM01uFS4xG1tps8KqHj5iewecSO1sACLcBGAsYHQ/s640/1-5-768x432.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumza wakati wa kikao maalumu cha baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kilichoandaliwa kwa ajili ya kujadili majibu ya hoja za mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali CAG
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-5-1024x576.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo akisoma kwa umakini ripoti ya hoja mbali mbali ambazo zimeandikwa katika kitabu maalumu na mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serikali wakati wa kikao hicho cha baraza la madiwani wa halmashauri ya Wilaya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bcR5gI3u_Bc/XqBwJ7w5nCI/AAAAAAALn2M/SBP5e8FfrmEd1OFPBtogYY8yGCiQck44QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0049.jpg)
DC ATOA SIKU SABA KWA MHANDISI WA JIJI LA ARUSHA KUWEKA MAJI KWENYE JENGO LA KITUO CHA AFYA MURIET
![](https://1.bp.blogspot.com/-bcR5gI3u_Bc/XqBwJ7w5nCI/AAAAAAALn2M/SBP5e8FfrmEd1OFPBtogYY8yGCiQck44QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200422-WA0049.jpg)
Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama ya Jiji la Arusha wakikagua madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini jijini Arusha Jana picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200422-WA0046.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akiongea mara baada ya kukagua ujenzi wa madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini na kutoa siku Saba kwa mhandisi kuhakikisha wanaweka maji kwenye kituo Cha Afya huku akipongeza Ujenzi wa madarasa hayo na kutaka yakamilike kwa wakati picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200422-WA0043.jpg)
Afisa elimu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS7C0X3ZQFRnaHIbs8IbmLOFkdIQia3sfk9ti7zGaU-5IF1gKAn*gSwiSF1QrRSYTQEd8gT307bJY-36jFqdwUKY/3.gif?width=650)
KAJALA APEWA SIKU 5 ZA KUISHI
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mkurugenzi apewa siku 14 kurejesha fedha za walimu
HALIMASHAURI ya Wilaya ya Geita mkoani hapa imepewa siku 14 kurudisha fedha sh milioni 350 zilizotafunwa na Halimashauri hiyo ambazo walikatwa walimu wa Mkoa huo kwa ajili ya mikopo ambayo...
9 years ago
Habarileo17 Dec
Apewa siku 10 kuondoa mawe kuzuia mawimbi
MKUU wa Mkoa wa Kusini Unguja, Dk Idriss Muslim Hijja ametoa siku 10 kwa mwekezaji anayemiliki hoteli ya kitalii ya Palumbo iliyopo Uroa katika Wilaya ya Kati kuondoa shehena ya mawe aliyoyaweka mbele ya hoteli hiyo kwa ajili ya kuzuia kasi ya mawimbi ya bahari na mmomomnyoko wa ardhi.
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Mrema apewa siku 80 kufanya uchaguzi TLP