Katibu tawala Kigoma apewa siku 2 kukamilisha uchunguzi  Tuhuma Za Ubadhirifu
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ametoa siku mbili kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Mhandisi John Ndunguru kukamilisha uchunguzi wake na kumpatia taarifa ya maandishi juu ya tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma unaohusisha uuzwaji wa jengo la KIGODECO na viwanja 12 vya Manispaa ya Kigoma/Ujiji ambao unadaiwa kukiuka taratibu.
Waziri Mkuu Majaliwa Ametoa agizo hilo mjini Kigoma wakati akizungumza na viongozi na watendaji mbalimbali wa mkoa huo alipokuwa akifanya majumuisho ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Mhandisi apewa siku 14 kukamilisha mradi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9WkhAIU9b3w/VZZT4gL1GEI/AAAAAAAAHDE/MirZK2en77w/s72-c/P7039546.jpg)
KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA RUKWA AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA SIKU SITA YA WALIMU WAKUU NA WARATIBU ELIMU KATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-9WkhAIU9b3w/VZZT4gL1GEI/AAAAAAAAHDE/MirZK2en77w/s640/P7039546.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AWAAPISHA MANAIBU KATIBU WAKUU NA KATIBU TAWALA WA MKOA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FTH2orDTkRc/U0QqDMq9jOI/AAAAAAACeS0/f_tO-rXvqw0/s72-c/IMG_3779.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AWASILI MKOANI KIGOMA JIONI YA LEO KWA ZIARA YA SIKU TANO
![](http://4.bp.blogspot.com/-FTH2orDTkRc/U0QqDMq9jOI/AAAAAAACeS0/f_tO-rXvqw0/s1600/IMG_3779.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-D8hb9U7Bqn0/U0QqAysGY6I/AAAAAAACeSo/QGfoSZdjG3Q/s1600/IMG_3793.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2QCIHe5VFOc/U0QqDFReffI/AAAAAAACeSw/nclIuRFaLOk/s1600/IMG_3796.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vNqza6CVIF0/U0-zhW4uvOI/AAAAAAACfEQ/HUHNz-pnIf0/s72-c/IMG_7460.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU 21 MIKOA YA RUKWA,KIGOMA NA KATAVI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-vNqza6CVIF0/U0-zhW4uvOI/AAAAAAACfEQ/HUHNz-pnIf0/s1600/IMG_7460.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aMR_JcO0Hns/U0-xbIMM_eI/AAAAAAACfD8/dPBhgJf6UDM/s1600/IMG_7427.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-60c135IP1Ro/U0-vbgVjd4I/AAAAAAACfC0/jDZtd23z2H8/s1600/13.jpg)
9 years ago
VijimamboJK AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU NA KATIBU TAWALA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3wwOmy7CkX0/VUzPrn7MbII/AAAAAAAHWUM/mkhIIz4jRAg/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
SERIKALI YATOA TAARIFA YA TUME KUKAMILISHA KAZI YA UCHUNGUZI DHIDI YA MASWI KUHUSIKA NA SAKATA LA ESCROW NA ILE YA OPERESHENI TOKOMEZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3wwOmy7CkX0/VUzPrn7MbII/AAAAAAAHWUM/mkhIIz4jRAg/s640/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n8eNq4YKXds/VUzPrRFDMrI/AAAAAAAHWUQ/1bD0xbVYTUg/s640/unnamed%2B(35).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CC_BdQbdJGo/Xsfz5VbtRBI/AAAAAAALrTs/6CPow7YcVrcdb36Gqf4RE9Mo7B8U4M9wACLcBGAsYHQ/s72-c/3bf7b521-95c5-44a8-b6a6-884ef19f17cd.jpg)
WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI KIGOMA KIGOMA
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kufanya ziara ya siku moja
mkoani Kigoma leo kwa ajili ya kugawa miche ya michikichi kwa makundi
mbalimbali ya wakulima ikiwa ishara ya kuanza rasmi utekelezaji wa
mkakati wa serikali kuelekea kujitegemea kwa mafuta ya kula
yatakayokuwa yakizalishwa kupitia zao la michikichi.
Mkuu wa mkoa Kigoma,Emanuel Maganga akizungumza na waandishi wa habari mjini Kigoma leo alisema kuwa mpango wa ugawaji wa miche hiyo
utafanyika katika...
10 years ago
Habarileo09 Dec
Chadema Kibaha sasa wambana Katibu Tawala
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Kibaha Mjini mkoani Pwani kimetoa siku mbili hadi Desemba 10 kwa Katibu Tawala wa Wilaya (DAS) Kibaha kuwarejesha wagombea wa nafasi mbalimbali kupitia chama hicho na endapo hatawarejesha watafanya maandamano kushinikiza warudishwe kuwania nafasi hizo.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10