RAIS KIKWETE AWAAPISHA MANAIBU KATIBU WAKUU NA KATIBU TAWALA WA MKOA
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha manaibu katibu wawili wa wizara na Katibu Tawala wa mkoa katika hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam.Manaibu katibu walioapishwa ni pamoja Ndugu Emmanuel Kalobelo anayekuwa Naibu Katibu mkuu Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia na ndugu Tixon Nzunda nayekuwa Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma.Katika hafla hiyo Rais Kikwete amemwapisha Mhandisi Madeni kipande kuwa katibu Tawala wa mkoa wa Katavi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Rais Dkt. John Pombe Magufuli awaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu leo Ikulu Jijini Dar
![IMG_0311](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0311.jpg)
![IMG_0322](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0322.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AMWAPISHA KATIBU TAWALA MPYA WA MKOA WA LINDI
11 years ago
GPL![](https://1.bp.blogspot.com/-0WNkgl4cLAs/UyLKHSzkxBI/AAAAAAAAOGI/4YCpYIWpDgo/s1600/IMG_4232.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU NA NAIBU KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO MJINI DODOMA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qGfZS5Y66O8/UyLkxowoZII/AAAAAAAFTfQ/rbFDPu1GtQM/s72-c/D92A4440.jpg)
Rais Kikwete awaapisha Katibu na Naibu Katibu wa Bunge maalum la Katiba mjini Dodoma leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-qGfZS5Y66O8/UyLkxowoZII/AAAAAAAFTfQ/rbFDPu1GtQM/s1600/D92A4440.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6IKnz_VvaYo/UyLkxwz4NAI/AAAAAAAFTfU/4Q6GntKFed8/s1600/D92A4470.jpg)
Dkt. Thomas Kashililah akila kiapo kuwa Naibu Katibu wa Bunge Maalum la...
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Rais Magufuli ateua Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wa Wizara
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu katika Wizara mbalimbali. Walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
1. Katibu Mkuu Kiongozi
Balozi – Ombeni Sefue
2. Katibu Mkuu Ikulu Peter Ilomo
3. Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora
Dkt. Laurian Ndumbaro
4. Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
Mhandisi Mussa Iyombe (Katibu Mkuu)
Dkt. Deo Mtasiwa (Naibu Katibu Mkuu –...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CAE1tzhCXtU/VjcswTL-T1I/AAAAAAAID5E/oZ38jCpbtUA/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE AMTEUA RAMADHAN KASWA KUWA KATIBU TAWALA WA MKOA LINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-CAE1tzhCXtU/VjcswTL-T1I/AAAAAAAID5E/oZ38jCpbtUA/s1600/New%2BPicture.png)
Kabla ya uteuzi wake, Ndugu Kaswa alikuwa Katibu Tawala wa Mkoa Msaidizi, Mkoa wa Tanga.Imetolewa na:Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,Ikulu,DAR ES SALAAM.2 Novemba,...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/sIQbbmJ6guU/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-U9MHjjlEWcY/VFtu1D7NXzI/AAAAAAAGvzA/pPKzgZeOo6I/s1600/unnamed%2B%2839%29.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAKATIBU WAKUU, MABALOZI,WAKUU WA MIKOA NA MAKATIBU TAWALA WAPYA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO