Apewa siku 10 kuondoa mawe kuzuia mawimbi
MKUU wa Mkoa wa Kusini Unguja, Dk Idriss Muslim Hijja ametoa siku 10 kwa mwekezaji anayemiliki hoteli ya kitalii ya Palumbo iliyopo Uroa katika Wilaya ya Kati kuondoa shehena ya mawe aliyoyaweka mbele ya hoteli hiyo kwa ajili ya kuzuia kasi ya mawimbi ya bahari na mmomomnyoko wa ardhi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Apr
Mvua kubwa, mawimbi baharini kutikisa siku 4
MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo vipindi vya mvua kubwa, upepo mkali na mawimbi makubwa baharini kwa siku nne mfululizo.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/NILch8FjIRE/default.jpg)
Wakazi wa mkoa wa Iringa wagundua dawa ya kuzuia mvua za mawe pamoja na mvua za upepo mkali
Waumi ni wa pentekoste mkoani Singida wamefanya ibada maalumu ya kumuombea Rais Magufuli ili aendelee kutumbua majipu: https://youtu.be/1dRmKUcqGHg
Waumini wa dini ya kiislamu wajitoa kusaidia wasiojiweza katika kuadhimisha sikukuu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) https://youtu.be/-sI1j96PQ4E
Viongozi wa kamati ya Shehia visiwani Unguja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS7C0X3ZQFRnaHIbs8IbmLOFkdIQia3sfk9ti7zGaU-5IF1gKAn*gSwiSF1QrRSYTQEd8gT307bJY-36jFqdwUKY/3.gif?width=650)
KAJALA APEWA SIKU 5 ZA KUISHI
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Mhandisi apewa siku 14 kukamilisha mradi
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mkurugenzi apewa siku 14 kurejesha fedha za walimu
HALIMASHAURI ya Wilaya ya Geita mkoani hapa imepewa siku 14 kurudisha fedha sh milioni 350 zilizotafunwa na Halimashauri hiyo ambazo walikatwa walimu wa Mkoa huo kwa ajili ya mikopo ambayo...
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Mrema apewa siku 80 kufanya uchaguzi TLP
9 years ago
GPLGWAJIMA APEWA SIKU 14 KUMFUFUA KAKA YAKE AU KUPANDISHWA KIZIMBANI
9 years ago
StarTV31 Dec
 Katibu tawala Kigoma apewa siku 2 kukamilisha uchunguzi  Tuhuma Za Ubadhirifu
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ametoa siku mbili kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Mhandisi John Ndunguru kukamilisha uchunguzi wake na kumpatia taarifa ya maandishi juu ya tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma unaohusisha uuzwaji wa jengo la KIGODECO na viwanja 12 vya Manispaa ya Kigoma/Ujiji ambao unadaiwa kukiuka taratibu.
Waziri Mkuu Majaliwa Ametoa agizo hilo mjini Kigoma wakati akizungumza na viongozi na watendaji mbalimbali wa mkoa huo alipokuwa akifanya majumuisho ya...