Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIVA LOVENESS KULA X-MASS NA WATOTO YATIMA

Mtangazaji wa Clouds Fm,Diva Loveness anatarajia kula sikukuu ya X-Mass na watoto yatima wa kituo cha Homeless Children kilichopo Kigamboni,jijini Dar chenye jumla ya watoto 130.
Diva alisema kuwa pamoja na kula nao pia atatoa misaada na vifaa mbalimbali vya shule kwa watoto hao.

Mtangazaji huyo ambaye ameandaa tukio maalum kwa ajili ya kuwakumbuka na kusherehekea maisha ndugu zetu waliotutangulia mbele iitwayo lighters itakayofanyika Club Maisha amesema asilima 25 ya mapato itapelekwa kwa...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Diva kusaidia watoto yatima siku ya Christmas

11917989_166629733673746_101973509_n

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva Gissele Malinzi aka The Bawse kupitia Diva Giving For Charity na Foundation yake ya Diva Foundation anatarajia kutoa msaada kwenye vituo vinavyolea watoto yatima.

11917989_166629733673746_101973509_n

Ili kufanikisha shughuli hiyo, Diva anaomba watu mbalimbali wamuunge mkono.

Kama una msaada wako wasiliana naye kwa number 0656 336919. Diva pia anapigwa tafu na Sigwa Herbal Clinic.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kuelekea maandalizi ya sikukuu ya X-Mass PSPF yawakumbuka watoto yatima wa kituo cha Amani

46

Kushoto ni Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka  akiwa na Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani wakiwakabidhi zawadi ya Mbuzi  kwa ajilli ya Krismasi watoto wa kituo cha kulelea yatima cha Amani Orphanage Centre.

40

Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani akimkabidhi zawadi ya vinywaji mmoja wa watoto katika kituo hicho.

44

Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akimkabidhi mmoja wa watoto msaada wa mafuta ya kupikia kwa niaba ya watoto wenzake walipo watembelea katika kituo chao...

 

10 years ago

Bongo5

Diva kusherehekea Christmas kwa kutoa msaada kwa watoto yatima

Mtangazaji wa Clouds FM, Loveness aka Diva, atasherehekea sikukuu ya Christmas kwa kutoa msaada kwa watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha Kigamboni Orphanage. Msaada huo utatolewa chini ya taasisi yake ya Diva Giving For Charity. “Together we rise, ni new Project iliokaa chini kwa muda mrefu sana kukusanya michango ya hapa na pale ili kuwasaidia […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Hoteli ya Giraffe Ocean View yaanda chakula cha mchana kwa watoto yatima na kuwakabidhi zawadi za X-Mass

giraffe 5

Watoto wanaolelewa katika Kitu cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, wakiwasili katika eneo la Hoteli ya Giraffe Ocean View, Dar es Salaam juzi baada ya kualikwa kwa ajili ya kupewa zawadi ya Sikukuu ya Krismasi pamoja na chakula cha mchana. (Na Mpigapicha Wetu).

giraffe 3

Watoto wa Kituo cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, Dar es Salaam, wakijihudumiwa chakula  cha mchana juzi kilichoandaliwa na Hoteli ya Giraffe Ocean View iliyopo jijini ambapo pia walipewa zawadi ya mbuzi, mchele na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watimanywa kula Krismasi na yatima wa Mgolole leo

REDD’S Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa, leo atajumuika na watoto yatima wa kituo cha Mgolole kilichopo maeneo ya Bigwa, nje kidogo ya mji wa Morogoro ambako atapata nao chakula katika...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATOA MKONO WA EID EL FITR KWA WATOTO YATIMA ,MAHABUSU YA WATOTO PAMOJA NA WAZEE WASIOJIWEZA

Watawa wa kituo cha kulea watoto yatima cha Mburahati wakipokea msaada wa Mbuzi,Mchele na Mafuta uliotolewa na Rais Jakaya Kikwete, kutoka kwa Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo katika hafla iliyofanyika leo katika Mahabusu ya Watoto Jijini Dar es Salaam. Mwakilishi wa Kituo cha Darul Alqam, Shaban Mohamed akipokea msaada wa Mbuzi,Mchele na Mafuta uliotolewa na Rais Jakaya Kikwete, kutoka kwa Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo katika hafla...

 

9 years ago

Global Publishers

Watoto wajiachia X-Mass ndani ya Dar Live!

Dar Live (1)Watoto wakibembeaDar Live (2)…wakiendesha baiskeli za watotoDar Live (3) Dar Live (4) Dar Live (5)…wakizidi kupata burudani.
Dar Live (6) Dar Live (7) Dar Live (8)watoto dar live (1)…watoto ni full kujiahia.watoto dar live (4)…watoto wakijiachia kwenye ndege ya watoto.
watoto dar live (3)…watoto wakijiachia kwenye bembea la kuselelekawatoto dar live (6)…bembea likinoga.watoto dar live (7)watoto dar live (8)watoto dar live (9)…wakishindana kuogelea.

PICHA NA DENIS MTIMA/GPL

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo la kutopenda kula kwa watoto

Licha ya ukweli kuwa wakati wa mlo huwa ni wa furaha lakini kwa wazazi walio wengi hususan wenye watoto wadogo huwa ni matatizo. Nazungumzia wazazi wenye watoto wasiopenda kula.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani