Hoteli ya Giraffe Ocean View yaanda chakula cha mchana kwa watoto yatima na kuwakabidhi zawadi za X-Mass
Watoto wanaolelewa katika Kitu cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, wakiwasili katika eneo la Hoteli ya Giraffe Ocean View, Dar es Salaam juzi baada ya kualikwa kwa ajili ya kupewa zawadi ya Sikukuu ya Krismasi pamoja na chakula cha mchana. (Na Mpigapicha Wetu).
Watoto wa Kituo cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, Dar es Salaam, wakijihudumiwa chakula cha mchana juzi kilichoandaliwa na Hoteli ya Giraffe Ocean View iliyopo jijini ambapo pia walipewa zawadi ya mbuzi, mchele na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Bz_K6ANppbw/VJyWs-JS74I/AAAAAAAG50Y/0eb2wjHq_Ak/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Watoto yatima walipokaribishwa kusherehekea Krismasi Giraffe hoteli jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bz_K6ANppbw/VJyWs-JS74I/AAAAAAAG50Y/0eb2wjHq_Ak/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gG2TH23mVYc/VJyWtI-K-eI/AAAAAAAG50g/wYcaQhggNjE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
9 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA KWA KUSHIRIKIIANA NA SHIRIKA LA HELPAGE INTERNATIONAL WAMEANDAA MKUTANO WA SIKU MBILI WA KUTATHMINI HUDUMA BORA ZA WAZEE ZANZIBAR KATIKA HOTELI YA OCEAN VIEW.
10 years ago
MichuziMiss Ilala 2014 ashiriki chakula cha mchana na Watoto wa Kituo cha Mwana Orphans Centre
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kuelekea maandalizi ya sikukuu ya X-Mass PSPF yawakumbuka watoto yatima wa kituo cha Amani
Kushoto ni Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akiwa na Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani wakiwakabidhi zawadi ya Mbuzi kwa ajilli ya Krismasi watoto wa kituo cha kulelea yatima cha Amani Orphanage Centre.
Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani akimkabidhi zawadi ya vinywaji mmoja wa watoto katika kituo hicho.
Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akimkabidhi mmoja wa watoto msaada wa mafuta ya kupikia kwa niaba ya watoto wenzake walipo watembelea katika kituo chao...
10 years ago
MichuziKITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA AMANI ORPHANAGE CENTER CHA POKEA ZAWADI NA MSAADA WA MAANDALIZI YA KRISMASI KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF.
10 years ago
Habarileo24 Dec
Hoteli Serena yaratibu zawadi kwa watoto 200
HOTELI ya Serena imeratibu zawadi kwa wanafunzi 200 wa shule mbalimbali za msingi na kituo cha kutunza na kufundisha watoto wenye ulemavu wa akili Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea msimu huu wa Sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya.
10 years ago
GPLSAKINA APELEKA ZAWADI KWA WATOTO YATIMA
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,PINDA AWAANDALIA CHAKULA CHA MCHANA TIMU YA WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU,WALIOTWAA KOMBE LA DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-turLpmImleY/VJMN5Jo6LhI/AAAAAAAG4Qc/s-MoRVH1nr8/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
Lake Duluti Serena Hotel yatoa zawadi kwa watoto yatima