Lake Duluti Serena Hotel yatoa zawadi kwa watoto yatima
Yatima wanaolelewa katika nyumba ya watoto katika hospitali ya Nkoaranga wamepewa misaada mbalimbali iliyotolewa na wafanyakazi wa Lake Duluti Serena Hotel, mkoa wa Arusha katika kusherekea siku kuu za Krismas na mwaka mpya ikiwa ni njia ya kuyakumbuka makundi maalumu katika jamii. Meneja wa hoteli hiyo, Gerald Macharia amesema wameguswa na hali ya maisha ya watoto hao ambao wazazi wao walifariki dunia wakati wa kujifungua na wengine walitelekezwa baada ya kuzaliwa.Amesema kwa miaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Dec
Hoteli Serena yaratibu zawadi kwa watoto 200
HOTELI ya Serena imeratibu zawadi kwa wanafunzi 200 wa shule mbalimbali za msingi na kituo cha kutunza na kufundisha watoto wenye ulemavu wa akili Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea msimu huu wa Sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya.
11 years ago
Michuzi26 Jul
TTCL Yatoa Zawadi ya Eid El Fitr kwa Yatima Dar
Msaada huo wenye jumla ya thamani ya shilingi milioni 3 umekabidhiwa na Meneja wa TTCL, Dar es Salaam Kati, Jane Mwakalebela kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, ambaye alisema utaratibu huo ni wakawaida kwa kampuni yao kusaidia makundi na taasisi na...
10 years ago
GPLSAKINA APELEKA ZAWADI KWA WATOTO YATIMA
11 years ago
GPLKAMPUNI YA TTCL YATOA ZAWADI YA EID EL FITR KWA YATIMA DAR
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
TTCL yatoa zawadi ya mwaka mpya kwa vituo vya Yatima Dar!!
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Nicodemus Thomas (kushoto) kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL, Dk. Kamugisha Kazaura akizungumza na wanahabari mara baada ya kukabidhi sehemu ya msaada wa chakula kwa ajili ya Siku Kuu ya Mwaka Mpya 2016 kwa vituo vitatu vya watoto yatima Dar es Salaam. Kulia ni Mlezi wa Watoto na Vijana wa Kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Kiwohede, Stella Mwambenja.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL),...
9 years ago
MichuziTTCL YATOA ZAWADI YA MWAKA MPYA KWA VITUO VYA YATIMA DAR ES SALAAM.
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Alex Msama amwaga zawadi za Krismas kwa vituo vya watoto yatima jijini Dar
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akikabidhi vyakula mbalimbali kwa Bi. Honorata wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Honorata kilichopo Temeke jijini Dar es salaam leo wakati alipokabidhi msaada wa vyakula kwa vituo mbalimbali vya jijini Dar es salaam ikiwa ni zawadi yake ya sikukuu ya Krismas kwa vituo hivyo, Bw. Alex Msama amesema pia katika Tamasha la Pasaka litakalofanyika kesho wakati wa sikukuu ya Krismas mkoani Mbeya, kiasi cha fedha zitakazopatikana...
10 years ago
Habarileo11 Jan
Tanesco yatoa msaada kwa watoto yatima Dar
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa misaada ya vitu mbalimbali na kupata chakula cha mchana na watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha Chakuwama kilichopo Sinza, Dar es Salaam.
10 years ago
VijimamboTRA YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA - KAHAMA