Hoteli Serena yaratibu zawadi kwa watoto 200
HOTELI ya Serena imeratibu zawadi kwa wanafunzi 200 wa shule mbalimbali za msingi na kituo cha kutunza na kufundisha watoto wenye ulemavu wa akili Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea msimu huu wa Sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-turLpmImleY/VJMN5Jo6LhI/AAAAAAAG4Qc/s-MoRVH1nr8/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
Lake Duluti Serena Hotel yatoa zawadi kwa watoto yatima
10 years ago
Dewji Blog26 Dec
Hoteli ya Giraffe Ocean View yaanda chakula cha mchana kwa watoto yatima na kuwakabidhi zawadi za X-Mass
Watoto wanaolelewa katika Kitu cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, wakiwasili katika eneo la Hoteli ya Giraffe Ocean View, Dar es Salaam juzi baada ya kualikwa kwa ajili ya kupewa zawadi ya Sikukuu ya Krismasi pamoja na chakula cha mchana. (Na Mpigapicha Wetu).
Watoto wa Kituo cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, Dar es Salaam, wakijihudumiwa chakula cha mchana juzi kilichoandaliwa na Hoteli ya Giraffe Ocean View iliyopo jijini ambapo pia walipewa zawadi ya mbuzi, mchele na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SU11xMyg3Lw/VXHqgznO-iI/AAAAAAAHcZY/HuG4rqvn9jY/s72-c/unnamedss1.jpg)
wafanyakazi wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena waadhimisha siku ya mazingira kwa kufanya usafi maeneo ya barabara jijini dar
Akiongea mara baada ya zoezi hilo la usafi mkurugenzi mkuu wa masoko wa hoteli hiyo ndugu Seraphin Lusala aliwashukuru wafanyakazi wa hoteli hiyo kwa kushiriki katika zoezi hilo la kufanya usafi wa mazingira ili kuonyesha mfano kwa jamii kwamba uchafuzi wa mazingira haukubaliki na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qeZBLtHd_Dk/VOQNwNQfL6I/AAAAAAAHEO4/QWEqsxA7J1g/s72-c/IMG-20150217-WA0004.jpg)
Mkutano wa Trévo kufanyika hoteli ya Serena jijini Dar Februari 27, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-qeZBLtHd_Dk/VOQNwNQfL6I/AAAAAAAHEO4/QWEqsxA7J1g/s1600/IMG-20150217-WA0004.jpg)
10 years ago
GPLDR. MYLES MUNROE AFANYA MKUTANO WA PILI SERENA HOTELI JIJINI DAR
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI ZA SIKUKUU YA KRISMASI KWA WATOTO WANAOISHI KWENYE KITUO CHA KUHUDUMIA WATOTO WA KIJIJI CHA MATUMAINI MKOANI DODOMA.
10 years ago
Michuzi31 Jul
RAIS YOWERI MUSEVEN AFUNGUA MKUTANO WA MARAIS WASTAAFU KATIKA HOTELI YA SERENA JIJINI DAR
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/0110.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9sn7BSdig7w/VcsS-J02ypI/AAAAAAAD3FE/SjYa2dVpICI/s72-c/diaspora%2Btentative%2Bprogramme%2B-%2BFinal%2B1-1%2B%25281%2529.jpg)
KONGAMANO LA DIASPORA KUFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM KUANZA ALHAMISI AGOSTI 14, 2015 HOTELI YA SERENA
1. Kujiandaa kikamilifu kwa kupitia "brief concept Note" ya Kongamano hilo ambayo nimeambatanisha;
2. kupitia ratiba ya masuala yatakayojiri katika kongamano hilo ambayo pia nimeambatanisha; na
3. kuhakikisha kuwa mmejiandikisha kushiriki kongamano hilo kupitia...
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
Rais Yoweri Museveni afungua mkutano wa marais wastaafu katika hoteli ya Serena jijini Dar
Mh. Rais Yoweri Museveni wa Uganda akifungua rasmi mkutano wa Marais wastaafu wa Afrka AFRICA LEADERSHIP FORUM unaofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Mkutano huo unaojumuisha marais wastaafu Benjamin Mkapa wa Tanzania , Olusegun Obasanjo wa Nigeria, Hifikepunye Lucas Pohamba wa Namibia, Festus Mogaye wa Botswana, Bakili Muluzi wa Malawi na Jerry Rowlings wa Ghana unajadili masuala mbalimbali ya maendeleo katika bara la Afrika na Changamoto zinazokabili barahilo na...