Kuelekea maandalizi ya sikukuu ya X-Mass PSPF yawakumbuka watoto yatima wa kituo cha Amani
Kushoto ni Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akiwa na Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani wakiwakabidhi zawadi ya Mbuzi kwa ajilli ya Krismasi watoto wa kituo cha kulelea yatima cha Amani Orphanage Centre.
Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani akimkabidhi zawadi ya vinywaji mmoja wa watoto katika kituo hicho.
Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akimkabidhi mmoja wa watoto msaada wa mafuta ya kupikia kwa niaba ya watoto wenzake walipo watembelea katika kituo chao...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA AMANI ORPHANAGE CENTER CHA POKEA ZAWADI NA MSAADA WA MAANDALIZI YA KRISMASI KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mLeN8Z9nedk/XpRZLxy6LRI/AAAAAAACEqo/LhdR3tzwZuo_DL4p7fcwE2BamPfm5rezACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-13%2Bat%2B15.05.11.jpeg)
Kampuni ya FAMM (AMTL) yawakumbuka watoto yatima sikukuu ya Pasaka
![](https://1.bp.blogspot.com/-mLeN8Z9nedk/XpRZLxy6LRI/AAAAAAACEqo/LhdR3tzwZuo_DL4p7fcwE2BamPfm5rezACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-13%2Bat%2B15.05.11.jpeg)
Aidha, Kampuni ya FAMM (AMTL) ilipeleka vifaa mbalimbali vya kujikinga na Virusi vya Corona ikiwa ni pamoja na Sanitizer na Sabuni na mafunzo mbalimbali ya jinsi...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
TTCL yawakumbuka yatima Sikukuu ya Pasaka
KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imetoa msaada wa vyakula kwa vituo vitatu vya watoto yatima wakati wa Sikukuu ya Pasaka. Akikabidhi msaada huo juzi, Mkuu wa Biashara wa kampuni hiyo...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MAFUTA YA PANONE YAWAKUMBUKA WATOTO WANAOLELEWA KATIKA KITUO CHA GABRIELA CHA MJINI MOSHI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL
10 years ago
VijimamboDC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI ZA SIKUKUU YA KRISMASI KWA WATOTO WANAOISHI KWENYE KITUO CHA KUHUDUMIA WATOTO WA KIJIJI CHA MATUMAINI MKOANI DODOMA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3FkiNOnRCV8/XlUCHZBZpQI/AAAAAAAC8Ag/ehXZfMorRRQ-PvPwzeTvmDu-oe6TVIVgQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200225-WA0024.jpg)
TECNO Yawakumbuka Watoto Yatima
Tukiwa katika mwanzo wa muhula wa kwanza wa masomo, kampuni ya simu za mkononi ya TECNO, imetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watoto yatima wa kituo cha Chanika Children Shelter kilichopo Chanika Jijini Dar es Salaam ili kuwawezesha kurudi mashuleni.Msaada huo ukiwemo wa ada kiasi cha Shilingi Milioni tatu, vifaa vya masomo, Chakula na mahitaji mengine ya kila siku umetolewa mwishoni mwa wiki.
Akizungumza wakati wa kutoa msaada huo Afisa Uhusiano wa kampuni ya TECNO Eric Mkomoye alisema...