TECNO Yawakumbuka Watoto Yatima
![](https://1.bp.blogspot.com/-3FkiNOnRCV8/XlUCHZBZpQI/AAAAAAAC8Ag/ehXZfMorRRQ-PvPwzeTvmDu-oe6TVIVgQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200225-WA0024.jpg)
Tukiwa katika mwanzo wa muhula wa kwanza wa masomo, kampuni ya simu za mkononi ya TECNO, imetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watoto yatima wa kituo cha Chanika Children Shelter kilichopo Chanika Jijini Dar es Salaam ili kuwawezesha kurudi mashuleni.Msaada huo ukiwemo wa ada kiasi cha Shilingi Milioni tatu, vifaa vya masomo, Chakula na mahitaji mengine ya kila siku umetolewa mwishoni mwa wiki.
Akizungumza wakati wa kutoa msaada huo Afisa Uhusiano wa kampuni ya TECNO Eric Mkomoye alisema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDAWASCO YAWAKUMBUKA WATOTO YATIMA DAR
Akiongea na vyombo vya habari, Afisa Uhusiano wa DAWASCO, Bi Everlasting Lyaro alisema msaada huu ni sehemu ya jamii wanayotoa huduma hiyo kila siku.
“sisi kama DAWASCO tumeguswa na mahitaji ya watoto hawa na kama sehemu ya Jamii na katika kuadhimisha wiki ya Maji tumeona...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mLeN8Z9nedk/XpRZLxy6LRI/AAAAAAACEqo/LhdR3tzwZuo_DL4p7fcwE2BamPfm5rezACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-13%2Bat%2B15.05.11.jpeg)
Kampuni ya FAMM (AMTL) yawakumbuka watoto yatima sikukuu ya Pasaka
![](https://1.bp.blogspot.com/-mLeN8Z9nedk/XpRZLxy6LRI/AAAAAAACEqo/LhdR3tzwZuo_DL4p7fcwE2BamPfm5rezACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-13%2Bat%2B15.05.11.jpeg)
Aidha, Kampuni ya FAMM (AMTL) ilipeleka vifaa mbalimbali vya kujikinga na Virusi vya Corona ikiwa ni pamoja na Sanitizer na Sabuni na mafunzo mbalimbali ya jinsi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EjX2Lbn-vY4/Vn_SzBKsdgI/AAAAAAAIO5A/h3qKNedYfXk/s72-c/6fe82581-fe55-444e-938a-d9e9739c497f.jpg)
VODACOM FOUNDATION YAWAKUMBUKA WAZEE WA BUKUMBI NA WATOTO YATIMA WA VILLAGE OF HOPE JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EjX2Lbn-vY4/Vn_SzBKsdgI/AAAAAAAIO5A/h3qKNedYfXk/s640/6fe82581-fe55-444e-938a-d9e9739c497f.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kuelekea maandalizi ya sikukuu ya X-Mass PSPF yawakumbuka watoto yatima wa kituo cha Amani
Kushoto ni Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akiwa na Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani wakiwakabidhi zawadi ya Mbuzi kwa ajilli ya Krismasi watoto wa kituo cha kulelea yatima cha Amani Orphanage Centre.
Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani akimkabidhi zawadi ya vinywaji mmoja wa watoto katika kituo hicho.
Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akimkabidhi mmoja wa watoto msaada wa mafuta ya kupikia kwa niaba ya watoto wenzake walipo watembelea katika kituo chao...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
TTCL yawakumbuka yatima Sikukuu ya Pasaka
KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imetoa msaada wa vyakula kwa vituo vitatu vya watoto yatima wakati wa Sikukuu ya Pasaka. Akikabidhi msaada huo juzi, Mkuu wa Biashara wa kampuni hiyo...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA MKONO WA EID EL FITR KWA WATOTO YATIMA ,MAHABUSU YA WATOTO PAMOJA NA WAZEE WASIOJIWEZA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I4e6A9A3c-Q/UzMBMouEjoI/AAAAAAAASoI/DaIDKOl31bk/s72-c/2014-03-22+14.39.44.jpg)
BENKI YA NIC ARUSHA YAWAKUMBUKA WATOTO WENYE MTINDIO WA UBONGO WA SHULE MAALUM YA DYMPHNA ILIYOPO SAKINA KWA IDD
![](http://1.bp.blogspot.com/-I4e6A9A3c-Q/UzMBMouEjoI/AAAAAAAASoI/DaIDKOl31bk/s1600/2014-03-22+14.39.44.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R7pISFCW4p0/UzMBPF6ukHI/AAAAAAAASoc/BGjWe6SNdeE/s1600/2014-03-22+14.42.37.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WDSSA0v6SjQ/UzMBM3o8BHI/AAAAAAAASoM/DQ28ptHJd-E/s1600/2014-03-22+14.55.23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9q3AdrzHn60/UzMBQpud7-I/AAAAAAAASoo/Y2d6WwbGbj0/s1600/2014-03-22+14.58.25.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6Ro7dowVf-s/UzMBOrhK1cI/AAAAAAAASoY/dLZ94dcrKO4/s1600/2014-03-22+14.59.11.jpg)
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MAFUTA YA PANONE YAWAKUMBUKA WATOTO WANAOLELEWA KATIKA KITUO CHA GABRIELA CHA MJINI MOSHI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL