Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watimanywa kula Krismasi na yatima wa Mgolole leo

REDD’S Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa, leo atajumuika na watoto yatima wa kituo cha Mgolole kilichopo maeneo ya Bigwa, nje kidogo ya mji wa Morogoro ambako atapata nao chakula katika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

JK akumbuka yatima Krismasi

RAIS Jakaya Kikwete amewakumbuka watu na watoto walio katika makundi maalumu kwa kuwapa zawadi kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi. Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo alikabidhi...

 

10 years ago

CloudsFM

DIVA LOVENESS KULA X-MASS NA WATOTO YATIMA

Mtangazaji wa Clouds Fm,Diva Loveness anatarajia kula sikukuu ya X-Mass na watoto yatima wa kituo cha Homeless Children kilichopo Kigamboni,jijini Dar chenye jumla ya watoto 130.
Diva alisema kuwa pamoja na kula nao pia atatoa misaada na vifaa mbalimbali vya shule kwa watoto hao.

Mtangazaji huyo ambaye ameandaa tukio maalum kwa ajili ya kuwakumbuka na kusherehekea maisha ndugu zetu waliotutangulia mbele iitwayo lighters itakayofanyika Club Maisha amesema asilima 25 ya mapato itapelekwa kwa...

 

10 years ago

GPL

GLOBAL PUBLISHERS LTD YATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA SIKUKUU YA KRISMASI

Ofisa Utawala wa Global Publishers Ltd, Soud Kivea akimkabidhi fedha mlezi wa Al Madina, Kuruthumu Yusuf.
Dereva wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eladius Banzi akishusha sehemu ya misaada hiyo.…

 

10 years ago

Michuzi

Watoto yatima walipokaribishwa kusherehekea Krismasi Giraffe hoteli jijini Dar es salaam

 Meneja Mkuu wa na Hoteli ya Giraffe Ocean View, Evelyn Mwasela akizungumza baada ya kukabidhi zawadi ya mbuzi, mchele na mafuta ya kupikia kwa ajili ya Sikukuu ya Krimasi kwa watoto wa Kituo cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, Dar es Salaam. Hafla hiyo iliyofanyika hoteli hapo  ilihusisha pia chakula cha mchana. Watoto wa Kituo cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, Dar es Salaam, wakijihudumiwa chakula  cha mchana juzi kilichoandaliwa na Hoteli ya Giraffe Ocean View iliyopo...

 

10 years ago

GPL

LEO NDIYO LEO KRISMASI KUHAMIA DAR LIVE

Mkali wa Bongo fleva Bongo, Nasib Abdul 'Diamond'. Makala: Andrew Carlos
HATIMAYE imewadia! Kama ulikuwa ukijiuliza ni sehemu gani ya kutoka Sikukuu ya Krismasi ya leo basi ni ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar ambapo kampuni ya simu ya Vodacom kwa kushirikiana na kampuni ya vinywaji ya Cocacola na Red Bull watawashusha wakali ambao hawashikiki Bongo kutoa burudani mwanzo mwisho....

 

10 years ago

Michuzi

KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA AMANI ORPHANAGE CENTER CHA POKEA ZAWADI NA MSAADA WA MAANDALIZI YA KRISMASI KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF.

Kushoto ni Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka  akiwa na Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani wakiwakabidhi zawadi ya Mbuzi  kwa ajilli ya Krismasi watoto wa kituo cha kulelea yatima cha Amani Orphanage Centre tarehe 5.12.2014 Afisa Mahusiano wa PSPF Coleta Mnyamani akimkabidhi zawadi ya vinywaji mmoja wa watoto katika kituo hicho Meneja wa Pwani wa PSPF Msafiri S. Mugaka akimkabidhi mmoja wa watoto msaada wa mafuta ya kupikia kwa niaba ya watoto wenzake walipo watembelea katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Kumekucha Tamasha la Krismasi leo

Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili Afrika Kusini, Solly Mahlangu ametua nchini jana na kuahaidi kuwapa Wwatanzania burudani ya kutosha kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.“Ni mara yangu ya kwanza kuja Tanzania, nilikuwa napasikia tu sikuwahi kufika, namshukuru Mungu kwa kuniwezesha

 

10 years ago

Vijimambo

Kina Chenge, Tibaijuka kula kibano Escrow leo.

Wiki hii inatarajiwa kuwa ngumu kwa wanufaika wa mgawo wa uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow, wakati Baraza la Maadili litakapowaweka kikaangoni watuhumiwa kadhaa, wakiwamo, Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge.

Kwa mujibu wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Baraza la Maadili, litaanza vikao vya kuwahoji watuhumiwa mbalimbali kwa wiki tatu mfululizo jijini Dar es Salaam kuanzia leo.

Watuhumiwa wengine wa Escrow ambao watawekwa kitimoto ni...

 

10 years ago

Michuzi

shamrashamra za manunuzi ya nguo za krismasi mtaa wa kongo jijini dar leo


SHAMRA SHAMRA ZA MANUNUZI YA BIDHAA ZA KRISMAX MTAA WA KONGOBaadhi ya akina mama wakichagua nguo Mfanyabiashara  katika mtaa wa kongo akipuliza mrija wenye maji ya sabuni ambayo anauza 
mama huyu akitengenezwa nywele baada ya kununua mtaa wa Kongo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani