JK akumbuka yatima Krismasi
RAIS Jakaya Kikwete amewakumbuka watu na watoto walio katika makundi maalumu kwa kuwapa zawadi kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi. Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo alikabidhi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Watimanywa kula Krismasi na yatima wa Mgolole leo
REDD’S Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa, leo atajumuika na watoto yatima wa kituo cha Mgolole kilichopo maeneo ya Bigwa, nje kidogo ya mji wa Morogoro ambako atapata nao chakula katika...
10 years ago
GPLGLOBAL PUBLISHERS LTD YATOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA SIKUKUU YA KRISMASI
Ofisa Utawala wa Global Publishers Ltd, Soud Kivea akimkabidhi fedha mlezi wa Al Madina, Kuruthumu Yusuf.
Dereva wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eladius Banzi akishusha sehemu ya misaada hiyo.…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Bz_K6ANppbw/VJyWs-JS74I/AAAAAAAG50Y/0eb2wjHq_Ak/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Watoto yatima walipokaribishwa kusherehekea Krismasi Giraffe hoteli jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bz_K6ANppbw/VJyWs-JS74I/AAAAAAAG50Y/0eb2wjHq_Ak/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gG2TH23mVYc/VJyWtI-K-eI/AAAAAAAG50g/wYcaQhggNjE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
MichuziKITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA AMANI ORPHANAGE CENTER CHA POKEA ZAWADI NA MSAADA WA MAANDALIZI YA KRISMASI KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF.
11 years ago
Mwananchi22 May
Magufuli akumbuka barabara 10
Wizara ya Ujenzi imetenga Sh28.94 bilioni kwa ajili ya kutekeleza miradi ya kujenga, kufanya upanuzi na kukarabati barabara 10 za mchepuko katika Jiji la Dar es Salaam ili kupunguza msongamano wa magari.
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Nkamia akumbuka enzi za utangazaji
Naibu Waziri wa Vijana, Utamaduni na Michezo Juma Nkamia, juzi alikonga nyoyo za watu pale alipoamua kukumbushia enzi zake za kutangaza mpira.
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Sarena akumbuka alivyodhalilishwa 2001
Mcheza tenis mwanadada namba moja kwa ubora duniani Serena Williams amesema haamini atarejea Indian Wells huko Calfonia nchini Marekani baada ya kudhalilishwa na watazamaji wakati alipokuwa msichana wa miaka 14.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Mapalala akumbuka minyororo aliyofungwa
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, James Mapalala amekumbushia minyororo aliyofungwa wakati akidai mfumo wa vyama vingi, akisema kwamba haiwezi kumrudisha tena CCM.
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Mlundwa akumbuka KO ilivyomchanganya Cuba
Emmanuel Mlundwa, ambaye hivi sasa ni rais wa Chama cha Ngumi za Kulipwa Tanzania (PST), alikuwa bondia wa timu ya taifa kabla ya kuwa kiongozi n a alikumbana na changamoto nyingi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania