Mapalala akumbuka minyororo aliyofungwa
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, James Mapalala amekumbushia minyororo aliyofungwa wakati akidai mfumo wa vyama vingi, akisema kwamba haiwezi kumrudisha tena CCM.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Mapalala agoma kupiga kura
Mjumbe wa Bunge la Katiba, James Mapalala ametoa siri ya kutokujihusisha na suala la upigaji kura katika kamati yake namba moja kwa kusema inapigia upatu serikali mbili.
11 years ago
TheCitizen26 Mar
Mapalala queries committee poll
>Drama ensued in the Constituent Assembly (CA) yesterday when veteran politician James Mapalala revealed what had transpired in the election of committee chairperson and vice chairperson.
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Mapalala: Warioba amewavuruga CCM
Mwanasiasa mwenye historia ya kipekee nchini, James Mapalala amesema ufafanuzi wa Rasimu ya Katiba uliotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, umekiacha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye wakati mgumu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYinyyYX32-PcZKDrMyZiUSFR3EQs1GaRDeLZT8mhD1HeefvuyTHc2xift3ieDkTD1IrIfEWoREncPJfz9fgZeHi/mwalimu.jpg)
MWALIMU AKUTWA AMEFUNGWA MINYORORO KANISANI
Ndugu wa mtu anayedaiwa kuwa ni mlemavu wa akili, Galus Focus Nguruwe (35) ambaye ni mwalimu wa sekondari moja mjini Morogoro, wamelituhumu Kanisa la House of Prayer Shield of Faith Christian Fellowship lililopo Boko Magengeni jijini Dar kuwa wamemfunga mnyororo ndugu yao huyo kwa miezi nane mfululizo. Mwalimu Galus Focus Nguruwe akiwa amefungwa mnyororo Kwa mujibu wa dada wa Galus, Piencia Focus, ndugu yao huyo alichukuliwa na...
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Seretse Khama, mpambanaji aliyevunja minyororo ya ubaguzi
Miongoni mwa wapigania Uhuru ambao Afrika haitawasahau ni Seretse Khama, aliyewahi kuwa Rais wa Botswana kuanzia mwaka 1966 hadi alipofariki kwa saratani mwaka 1980.
11 years ago
Bongo525 Jul
Exclusive Pics: Damu, Minyororo na Vinyago — Video ya ‘Mr Nay’ inatisha
Weka mbali na watoto, video ya ‘Mr Nay’ inatisha. Nay wa Mitego anayefahamika kwa kufanya mambo nje ya Kumi na Nane kama Weusi, yupo nchini Kenya ambako amekamilisha kushoot video ya ngoma yake mpya na muongozaji Kelvin Bosco Jr. Mfalme Nay? Katika picha ambazo Bongo5 imezipata exclusively kutoka Kenya, rapper huyo anaonekana kushoot video kwenye […]
11 years ago
Mwananchi22 May
Magufuli akumbuka barabara 10
Wizara ya Ujenzi imetenga Sh28.94 bilioni kwa ajili ya kutekeleza miradi ya kujenga, kufanya upanuzi na kukarabati barabara 10 za mchepuko katika Jiji la Dar es Salaam ili kupunguza msongamano wa magari.
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
JK akumbuka yatima Krismasi
RAIS Jakaya Kikwete amewakumbuka watu na watoto walio katika makundi maalumu kwa kuwapa zawadi kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi. Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo alikabidhi...
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Mlundwa akumbuka KO ilivyomchanganya Cuba
Emmanuel Mlundwa, ambaye hivi sasa ni rais wa Chama cha Ngumi za Kulipwa Tanzania (PST), alikuwa bondia wa timu ya taifa kabla ya kuwa kiongozi n a alikumbana na changamoto nyingi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania