MWALIMU AKUTWA AMEFUNGWA MINYORORO KANISANI
Ndugu wa mtu anayedaiwa kuwa ni mlemavu wa akili, Galus Focus Nguruwe (35) ambaye ni mwalimu wa sekondari moja mjini Morogoro, wamelituhumu Kanisa la House of Prayer Shield of Faith Christian Fellowship lililopo Boko Magengeni jijini Dar kuwa wamemfunga mnyororo ndugu yao huyo kwa miezi nane mfululizo. Mwalimu Galus Focus Nguruwe akiwa amefungwa mnyororo Kwa mujibu wa dada wa Galus, Piencia Focus, ndugu yao huyo alichukuliwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM06 Jun
CHATU AZUA KIZAAZAA ARUSHA AINGIA KWENYE NYUMBA YA MTU AKUTWA AMEFUNGWA KITAMBAA CHEUPE
Wakazi wa eneo la Sakina mkoani Arusha siku ya jana walipatwa na mshtuko mkubwa baada ya kuona chatu akiwa anaingia ndani ya nyuma ya jirani yao huku akiwa amefungwa kitambaa kilichokuwa na maandishi mekundu yasiyoeleweka mkiani mwake.Hiki ndicho kitambaa alichokutwa nacho chatu huyo.Source:Arusha Yetu
10 years ago
GPLNDOA YA MWALIMU AIBU KANISANI
10 years ago
Mwananchi23 May
Mwalimu akutwa na viungo vya albino
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Mwalimu sekondari auawa kanisani maombi
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Mapalala akumbuka minyororo aliyofungwa
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Seretse Khama, mpambanaji aliyevunja minyororo ya ubaguzi
11 years ago
Bongo525 Jul
Exclusive Pics: Damu, Minyororo na Vinyago — Video ya ‘Mr Nay’ inatisha
10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Kwa mawasiliano nitumie email.
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja