Mwalimu sekondari auawa kanisani maombi
Watu wasiojulikana wamemuua Mwalimu Dionizi Ng’wandu wa Shule ya Sekondari Kagemu iliyopo nje kidogo ya Mji wa Bukoba na kumkata mguu mtu mwingine wakati wakifanya maombi kanisani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0R5*O*EdicAJ*Nc2jud3oX5tRsHGlNXVhxQ4t6zNWQFNdhczs324mO4g1TkYYZ7v*vUD8-0ok*mXwSOoI1QkTZO/mwalimu.jpg)
NDOA YA MWALIMU AIBU KANISANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYinyyYX32-PcZKDrMyZiUSFR3EQs1GaRDeLZT8mhD1HeefvuyTHc2xift3ieDkTD1IrIfEWoREncPJfz9fgZeHi/mwalimu.jpg)
MWALIMU AKUTWA AMEFUNGWA MINYORORO KANISANI
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Mwijilisti auawa akifanya maombi
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.
Na Mwandishi wetu
MWINJILISTI wa Kanisa la Baptist, lililopo halmshauri ya Busokelo wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, Ambumbulwisye Mwasomola (35), ameuawa kwa kupigwa na mchi kichwani na mtu aliyekuwa akimuombea.
Kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo wanadai aliyekuwa akiombewa alikuwa na tatizo la akili.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema tukio hilo limetokea Septemba 27, mwaka huu majira ya saa tano usiku
Msangi...
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Mwinjilisti auawa akifanya maombi
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.
Na Mwandishi wetu
MWINJILISTI wa Kanisa la Baptist, lililopo halmshauri ya Busokelo wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, Ambumbulwisye Mwasomola (35), ameuawa kwa kupigwa na mchi kichwani na mtu aliyekuwa akimuombea.
Kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo wanadai aliyekuwa akiombewa alikuwa na tatizo la akili.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema tukio hilo limetokea Septemba 27, mwaka huu majira ya saa tano usiku
Msangi...
10 years ago
Habarileo20 Oct
Mwalimu auawa, atupwa mferejini
MWALIMU wa Shule ya Ufundi na Kompyuta Santa Casilia Plaza, Eliuter Kiwia ambaye ni mkazi wa Kata ya Uru Kimanganuni, ameokotwa kwenye mfereji wa maji akiwa amekufa, baada ya kuuawa na watu wasiojulikana.
11 years ago
Mwananchi31 May
Mwalimu wa kike auawa kinyama wilayani Masasi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmNMbKn5NzTHIJvVsmB-NaXXdTwwpTF2rUMmxtHAAWM4p-yT-c3CzdXtl4GsGcIYjJXTjHe3YesBlheLpcJFn8wA/Mwalimu.jpg?width=650)
MWALIMU SEKONDARI AKAMATWA NA ‘UNGA’
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Mwalimu wa kike shule ya Kigogo Dar auawa na mdogo wake
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU wawili mkoani Singida wamefariki dunia katika matukio tofauti, likiwemo la Mwalimu wa shule ya msingi Kigogo jijini Dar-es-salaam, Hawa Idd (34) baada ya kuchomwa kisu sehemu mbalimbali za mwili wake na mdogo wake Ramadhan Iddi (24) anayedaiwa kuwa na matatizo ya akili.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela alisema tukio hilo limetokea Septemba 23 mwaka huu saa...
10 years ago
CloudsFM25 Feb
Mwalimu Kibasila Sekondari aishi na kinyesi miaka miwili
Hebu jenga picha, mwalimu wa shule ya Sekondari halafu anaishi ndani na kinyesi! Hivi hii imekaaje?
CLOUDS TV imeeona aah aah isiishie tu...