Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwalimu sekondari auawa kanisani maombi

Watu wasiojulikana wamemuua Mwalimu Dionizi Ng’wandu wa Shule ya Sekondari Kagemu iliyopo nje kidogo ya Mji wa Bukoba na kumkata mguu mtu mwingine wakati wakifanya maombi kanisani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NDOA YA MWALIMU AIBU KANISANI

Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ MWALIMU mmoja wa Shule ya Msingi Makurumla iliyopo Magomeni jijini Dar es Salaam, Maria Samuel Hoza, amejikuta akiaibika vibaya baada ya mumewe, Bryton Muhanje kumkuta akiwa katika hatua za mwisho za kufunga ndoa nyingine kwenye Kanisa Katoliki la Kigogo Luhanga, Jumamosi iliyopita. Mwalimu wa Shule ya Msingi Makurumla, Maria Samuel Hoza akiwa katika harakati za kufunga ndoa yake...

 

10 years ago

GPL

MWALIMU AKUTWA AMEFUNGWA MINYORORO KANISANI

Ndugu wa mtu anayedaiwa kuwa ni mlemavu wa akili, Galus Focus Nguruwe (35) ambaye ni mwalimu wa sekondari moja mjini Morogoro, wamelituhumu Kanisa la House of Prayer Shield of Faith Christian Fellowship lililopo Boko Magengeni jijini Dar kuwa wamemfunga mnyororo ndugu yao huyo kwa miezi nane mfululizo. Mwalimu Galus Focus Nguruwe akiwa amefungwa mnyororo Kwa mujibu wa dada wa Galus, Piencia Focus, ndugu yao huyo alichukuliwa na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwijilisti auawa akifanya maombi

DSC00217

 

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.

Na Mwandishi wetu

MWINJILISTI wa Kanisa la Baptist, lililopo halmshauri ya Busokelo wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, Ambumbulwisye Mwasomola (35), ameuawa kwa kupigwa na mchi kichwani na mtu aliyekuwa akimuombea.

Kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo wanadai aliyekuwa akiombewa alikuwa na tatizo la akili.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema tukio hilo limetokea Septemba 27, mwaka huu majira ya saa tano usiku

Msangi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwinjilisti auawa akifanya maombi

DSC00217

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.

Na Mwandishi wetu

MWINJILISTI wa Kanisa la Baptist, lililopo halmshauri ya Busokelo wilayani Rungwe, mkoani Mbeya, Ambumbulwisye Mwasomola (35), ameuawa kwa kupigwa na mchi kichwani na mtu aliyekuwa akimuombea.

Kwa mujibu wa watu walioshuhudia tukio hilo wanadai aliyekuwa akiombewa alikuwa na tatizo la akili.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema tukio hilo limetokea Septemba 27, mwaka huu majira ya saa tano usiku

Msangi...

 

10 years ago

Habarileo

Mwalimu auawa, atupwa mferejini

MWALIMU wa Shule ya Ufundi na Kompyuta Santa Casilia Plaza, Eliuter Kiwia ambaye ni mkazi wa Kata ya Uru Kimanganuni, ameokotwa kwenye mfereji wa maji akiwa amekufa, baada ya kuuawa na watu wasiojulikana.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwalimu wa kike auawa kinyama wilayani Masasi

Matukio ya ukatili yameendelea kushamiri wilayani Masasi, baada ya Mwalimu wa Shule ya Msingi Sabasaba Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara, Swaumu Jumanne Chedi (34) kuuawa kinyama na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia jana (juzi).

 

10 years ago

GPL

MWALIMU SEKONDARI AKAMATWA NA ‘UNGA’

Na Makongoro Oging’
Mwalimu wa shule moja ya sekondari mkoani Singida (jina la shule linahifadhiwa), Charles Andrew (46) amekamatwa na Kikosi Kazi cha Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya nchini (task force) katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere akidawa kuwa na mzigo wa ‘unga’ pipi 101 ya aina ya heroin yenye zaidi ya shilingi milioni mia moja. Mwalimu wa shule moja ya sekondari mkoani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwalimu wa kike shule ya Kigogo Dar auawa na mdogo wake

DSC00179111

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.

Na Nathaniel Limu, Singida

WATU wawili mkoani Singida wamefariki dunia katika matukio tofauti, likiwemo la Mwalimu wa shule ya msingi Kigogo jijini Dar-es-salaam, Hawa Idd  (34) baada ya kuchomwa kisu sehemu mbalimbali za mwili wake na mdogo wake Ramadhan Iddi (24) anayedaiwa kuwa na matatizo ya akili.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela alisema tukio hilo limetokea Septemba 23 mwaka huu saa...

 

10 years ago

CloudsFM

Mwalimu Kibasila Sekondari aishi na kinyesi miaka miwili

Ama kweli dunia ina mambo, na ukistaajabu ya Mussa kweli utayaona ya Firauni kwa mwalimu huyu wa Sekondari ya Kibasila Jijini Dar Es salaam. Kwani katika hali isiyokuwa ya kawaida mwalimu Gaudensia Missanga mkazi wa Kisiwani kata ya Sandali wilayani Temeke anadaiwa kuishi katika chumba ambacho amehifadhi kinyesi hali ambayo inatishia usalama wa afya yake.
Hebu jenga picha, mwalimu wa shule ya Sekondari halafu anaishi ndani na kinyesi! Hivi hii imekaaje?
CLOUDS TV imeeona aah aah isiishie tu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani