Mwalimu auawa, atupwa mferejini
MWALIMU wa Shule ya Ufundi na Kompyuta Santa Casilia Plaza, Eliuter Kiwia ambaye ni mkazi wa Kata ya Uru Kimanganuni, ameokotwa kwenye mfereji wa maji akiwa amekufa, baada ya kuuawa na watu wasiojulikana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wH1dAkSgA3AnJjLfz55wJHjzrkoRp6dEqLDNeoiu4Dg4j5Rr-n0Ixxsf7Bznzh129na-OW*8dgmx9EuKktdW0j2/bint.jpg)
BINTI MIAKA 8 ABAKWA, AUAWA, ATUPWA!
10 years ago
Habarileo19 Dec
Mwalimu wa madrasa atupwa jela miaka 7
MWALIMU wa Chuo cha Madrasa kilichopo Chake Chake, Pemba, Said Khamis Salum (31) ameanza kutumikia chuo cha mafunzo jela miaka 7 baada ya kutiwa hatiani kwa kumpa ujauzito mwanafunzi wake mwenye umri wa miaka 15 jina (linahifadhiwa).
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Mwalimu sekondari auawa kanisani maombi
11 years ago
Mwananchi31 May
Mwalimu wa kike auawa kinyama wilayani Masasi
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Mwalimu wa kike shule ya Kigogo Dar auawa na mdogo wake
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU wawili mkoani Singida wamefariki dunia katika matukio tofauti, likiwemo la Mwalimu wa shule ya msingi Kigogo jijini Dar-es-salaam, Hawa Idd (34) baada ya kuchomwa kisu sehemu mbalimbali za mwili wake na mdogo wake Ramadhan Iddi (24) anayedaiwa kuwa na matatizo ya akili.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela alisema tukio hilo limetokea Septemba 23 mwaka huu saa...
10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Kwa mawasiliano nitumie email.
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Mwalimu adaiwa kumuua mwalimu mwenzake Kagera
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Atupwa jela miaka mitatu
MAHAKAMA ya Wilaya Ilala imemuhukumu Mwanamuziki wa Bendi ya Achigo, Frank Ndokezi (41) kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa kuiibia Ofisi ya Usaki Sacos Sh. milioni 19.8, kutakiwa kulipa faini ya fedha hizo mara baada ya kumaliza kutumikia adhabu hiyo
Hukumu hiyo ilitolewa jana Mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Juma Hassan, Wakili wa Serikali Ferista Mosha.
Hakimu Hassan alisema upande wa mashitaka ulikuwa na mashahidi watano waliotoa ushahidi ili kuweza kuthibitisha...