Mwalimu wa kike shule ya Kigogo Dar auawa na mdogo wake
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU wawili mkoani Singida wamefariki dunia katika matukio tofauti, likiwemo la Mwalimu wa shule ya msingi Kigogo jijini Dar-es-salaam, Hawa Idd (34) baada ya kuchomwa kisu sehemu mbalimbali za mwili wake na mdogo wake Ramadhan Iddi (24) anayedaiwa kuwa na matatizo ya akili.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela alisema tukio hilo limetokea Septemba 23 mwaka huu saa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 May
Mwalimu wa kike auawa kinyama wilayani Masasi
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Kaka auawa na mdogo wake
MKAZI wa Kijiji cha Kapele, wilayani Momba, Adamu Silumbe (27), amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi baada ya kuchomwa kisu mgongoni na mdogo wake. Kamanda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRcycGhFQwAUH56oxMlO5ZV1ElK9eQKOMQqOvrcDg8phra8vAW*dtdGtQS4u*nrz2y2EYF2eWLfv6ty7di2U*0tX/OfisaElimuMsingiWilayayaNkasiBw.MisanaKwanguraakizungumzanaThehabari.com2.jpg)
MWALIMU SHULE YA MSINGI AMTIA MIMBA MWANAFUNZI WAKE
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Kigogo CCM auawa
MWENYEKITI wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Mwanza, Clement Mabina, ameuawa kinyama na wananchi wenye hasira baada ya kumuua kwa risasi mtoto mdogo anayekadiriwa kuwa na miaka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGG3SfFAy80G58vxnmtc3y7*tde0SlKYQfRYTIHgbNUUSNxbRD*VWTGx37v1*V93z72IAbwSJ0ixK93TXHUTkxQ9/kigogoafa.jpg?width=650)
KIGOGO MAGEREZA ATESWA, AUAWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KIGOGO CCM AUAWA JIJINI MWANZA
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Kigogo Chadema auawa kinyama Geita
11 years ago
Bongo509 Jul
Diamond atoa sababu za kuwatumia wazungu kwenye video ya ‘Mdogo mdogo’, script iliandikwa na Adam Kuambiana na ‘baby’ wake (Wema)