Diamond atoa sababu za kuwatumia wazungu kwenye video ya ‘Mdogo mdogo’, script iliandikwa na Adam Kuambiana na ‘baby’ wake (Wema)
Kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video ya ‘Mdogo mdogo’ ya Diamond Platnumz iliyotoka Jumatatu ya wiki hii. Wapo ambao wamefurahishwa na story iliyoko kwenye video hiyo na wengine ambao hawajaiunga mkono moja kwa moja kutokana na kila mmoja kuwa na sababu tofauti hali ambayo imeleta mabishano mengi katika comments za youtube na kwingine. Lakini […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM09 Jul
ADAM KUAMBIANA ALISHIRIKI KUANDIKA SCRIPT YA VIDEO YA MDODOMDOGO YA DIAMOND
Imefahamika kuwa aliyekuwa msanii wa Bongo Movie,Marehemu Adam Philip Kuambiana alishiriki katika kuandika script ya video ya ‘Mdogomdogo’ ya Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz.
Diamond anafunguka jinsi walivyokutana na kufanya kazi hiyo mpaka akaenda kuishuti nchni South Africa chini ya kampuni ya Godfather.
11 years ago
07 Jul
11 years ago
CloudsFM07 Jul
11 years ago
Bongo501 Oct
Evance Bukuku wa Vuvuzela aeleza sababu za kumchukua mdogo wake muimbaji Enika kwenye comedy
11 years ago
Bongo506 Jul
Video: Teaser ya video ya ‘Mdogo Mdogo’ ya Diamond — Ni shidaaaaa!!
11 years ago
Bongo507 Jul
Tazama video mbili mpya za Diamond (Bum Bum na Mdogo Mdogo) hapa
11 years ago
CloudsFM09 Jul
MAREHEMU KUAMBIANA ALISHIRIKI KUANDIKA SCRIPT YA VIDEO YA MDODOMDOGO YA DIAMOND
Imefahamika kuwa aliyekuwa msanii wa Bongo Movie,Marehemu Adam Philip Kuambiana alishiriki katika kuandika script ya video ya ‘Mdogomdogo’ ya Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz.
Diamond anafunguka jinsi walivyokutana na kufanya kazi hiyo na marehemu mpaka akaenda kuishuti video hiyo nchini South Africa chini ya kampuni ya Godfather.