Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond atoa sababu za kuwatumia wazungu kwenye video ya ‘Mdogo mdogo’, script iliandikwa na Adam Kuambiana na ‘baby’ wake (Wema)

Kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video ya ‘Mdogo mdogo’ ya Diamond Platnumz iliyotoka Jumatatu ya wiki hii. Wapo ambao wamefurahishwa na story iliyoko kwenye video hiyo na wengine ambao hawajaiunga mkono moja kwa moja kutokana na kila mmoja kuwa na sababu tofauti hali ambayo imeleta mabishano mengi katika comments za youtube na kwingine. Lakini […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

ADAM KUAMBIANA ALISHIRIKI KUANDIKA SCRIPT YA VIDEO YA MDODOMDOGO YA DIAMOND

Imefahamika kuwa aliyekuwa msanii wa Bongo Movie,Marehemu Adam Philip Kuambiana alishiriki katika kuandika script ya video ya ‘Mdogomdogo’ ya Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz.
Diamond anafunguka jinsi walivyokutana na kufanya kazi hiyo mpaka akaenda kuishuti nchni South Africa chini ya kampuni ya Godfather.

 

11 years ago

CloudsFM

11 years ago

Bongo5

Evance Bukuku wa Vuvuzela aeleza sababu za kumchukua mdogo wake muimbaji Enika kwenye comedy

Enika ni msanii wa kike ambaye nyota yake ilianza kuonekana mwaka 2004 alipotoa wimbo wake wa ‘Baridi Kama Hii’, ambao ulishika chati mbalimbali za muziki Bongo. Enika ambaye jina lake kamili ni Atuganile A Bukuku ni dada wa aliyekuwa producer wa G Records na baadae G2, marehemu Roy Bukuku, pamoja na Evance Bukuku wa Vuvuzela […]

 

11 years ago

Bongo5

Video: Teaser ya video ya ‘Mdogo Mdogo’ ya Diamond — Ni shidaaaaa!!

“This video is going to be best video in Africa 2014,” inasomeka moja ya comments kwenye teaser ya video ya Mdogo Mdogo ya Diamond Platnumz inayotarajiwa kutoka Jumatatu hii. “OMG, thats all i can say,” ameandika mwingine. Hii video italeta shida Afrika. Jionee mwenyewe.

 

11 years ago

Bongo5

Tazama video mbili mpya za Diamond (Bum Bum na Mdogo Mdogo) hapa

Kama alivyoahidi, Diamond Platnumz ameachia video mbili za ngoma zake. Ya kwanza ni Mdogo Mdogo iliyoongozwa na Godfather na kufanyika Afrika Kusini na ya pili ni Bum Bum aliyomshirikisha Iyanya na kuongozwa na Mr Moe Musa nchini Uingereza. Zitazame hapa.

 

11 years ago

CloudsFM

MAREHEMU KUAMBIANA ALISHIRIKI KUANDIKA SCRIPT YA VIDEO YA MDODOMDOGO YA DIAMOND

Imefahamika kuwa aliyekuwa msanii wa Bongo Movie,Marehemu Adam Philip Kuambiana alishiriki katika kuandika script ya video ya ‘Mdogomdogo’ ya Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz. Diamond anafunguka jinsi walivyokutana na kufanya kazi hiyo na marehemu mpaka akaenda kuishuti video hiyo nchini South Africa chini ya kampuni ya Godfather.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani