Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigogo CCM auawa

MWENYEKITI wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Mwanza, Clement Mabina, ameuawa kinyama na wananchi wenye hasira baada ya kumuua kwa risasi mtoto mdogo anayekadiriwa kuwa na miaka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KIGOGO CCM AUAWA JIJINI MWANZA

Clement Mabina enzi za uhai wake. Taarifa zilizotufikia ni kwamba, Mwenyekiti wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mwanza, Clement Mabina, ameuawa mchana huu Kisesa, Mwanza baada ya kumpiga risasi raia mmoja na yeye kuuawa katika ugomvi wa…

 

11 years ago

GPL

KIGOGO MAGEREZA ATESWA, AUAWA

Stori:Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa KIGOGO wa cheo cha juu katika Jeshi la Magereza Tanzania, SP Barnabas Nkuba (56) ameuawa kikatili kisha mwili wake kuburuzwa na kutupwa kwenye choo cha nje cha nyumba yake, Uwazi limeichimba. Jeneza lenye mwili wa marehemu, SP Barnabas Nkuba (56) likiwa limebebwa na maofisa wa Jeshi la Magereza Tanzania.
Tukio hilo lililoacha maswali mengi lakini majibu kiduchu huku jeshi la...

 

9 years ago

Mwananchi

Kigogo Chadema auawa kinyama Geita

Mji wa Geita umezizima kwa simazi, vilio na majonzi baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kuuawa kinyama kwa kushambuliwa na silaha za jadi ikiwamo kukata kichwa kwa shoka.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwalimu wa kike shule ya Kigogo Dar auawa na mdogo wake

DSC00179111

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.

Na Nathaniel Limu, Singida

WATU wawili mkoani Singida wamefariki dunia katika matukio tofauti, likiwemo la Mwalimu wa shule ya msingi Kigogo jijini Dar-es-salaam, Hawa Idd  (34) baada ya kuchomwa kisu sehemu mbalimbali za mwili wake na mdogo wake Ramadhan Iddi (24) anayedaiwa kuwa na matatizo ya akili.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela alisema tukio hilo limetokea Septemba 23 mwaka huu saa...

 

10 years ago

Mtanzania

Kigogo CCM afia mkutanoni

salminNa Is-haka Omar, Zanzibar
MWAKILISHI wa Magomeni visiwani Zanzibar, Salmin Awadhi Salmin (CCM), amefariki dunia ghafla baada ya kuanguka katika kikao cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichokuwa kinafanyika katika ofisi kuu ya chama hicho, Kisiwandui mjini Unguja.
Taarifa hiyo ilianza kuenea mjini Unguja jana saa 6 mchana, na hata kuzua maswali kutoka kwa wananchi kuhusu utata wa kifo chake.
Salmin (57) ambaye pia alikuwa ni mnadhimu wa wawakilishi wa CCM na mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigogo CCM lawamani Geita

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma, amelaumiwa akidaiwa kuingilia maamuzi yanayofikiwa na Baraza la Madiwani, likiwemo la ujenzi wa choo. Kutokana na shutuma hizo, baadhi...

 

11 years ago

GPL

MAUAJI YA KIGOGO WA CCM, MWANZA HAPAKALIKI

Na Mwandishi Wetu, Mwanza
BAADA  ya  mauaji ya Diwani wa Kata ya Kisesa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clement Mabina (pichani) yaliyotokea Desemba 15, mwaka huu, Jiji la  Mwanza limekuwa  la moto, baadhi ya watu wana hofu, wengine kukimbia makazi yao kutokana na msako mkali wa polisi kuwanasa watuhumiwa. Mwili wa Mabina baada ya kushambuliwa. Kwa mujibu wa baadhi ya wakazi wa jijini hapa, hali imekuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Kigogo wa CCM atembelea waandishi wagonjwa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kagera kimeshauri sekta mbalimbali mkoani humo, kutambua na kuthamini mchango unaotolewa na waandishi wa habari.

 

5 years ago

CCM Blog

KIGOGO WA CHADEMA NA WENZAKE 50 WATIMKIA CCM

Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) Wilaya ya Tarime mkoani Mara nchini Tanzania, Mwita Joseph ‘white’ na wanachama wa chama hicho zaidi ya 50 wamejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).

Joseph na wenzake wamejiunga na CCM leo Jumamosi Aprili 4, 2020 katika ofisi za chama hicho Tarime na kupokelewa na naibu waziri wa Tamisemi, Mwita Waitara.

Wilaya ya Tarime ina majimbo mawili yanayoongozwa na Chadema ambayo ni Tarime Mjini linaloongozwa na Esther Matiko na Tarime Vijijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani