Kigogo wa CCM atembelea waandishi wagonjwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kagera kimeshauri sekta mbalimbali mkoani humo, kutambua na kuthamini mchango unaotolewa na waandishi wa habari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LZjOWe_rshI/VSl4_RXuBUI/AAAAAAAHQY0/IKDQS5D-i9U/s72-c/B.jpg)
MAALIM SEIF ATEMBELEA WAGONJWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-LZjOWe_rshI/VSl4_RXuBUI/AAAAAAAHQY0/IKDQS5D-i9U/s1600/B.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Kigogo CCM auawa
MWENYEKITI wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Mwanza, Clement Mabina, ameuawa kinyama na wananchi wenye hasira baada ya kumuua kwa risasi mtoto mdogo anayekadiriwa kuwa na miaka...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MRuvCX_795w/U8rtuRjwPaI/AAAAAAAF3zw/qHiGf4up6Rc/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad atembelea na kuwafariji wagonjwa na wafiwa Pemba
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Kigogo CCM afia mkutanoni
Na Is-haka Omar, Zanzibar
MWAKILISHI wa Magomeni visiwani Zanzibar, Salmin Awadhi Salmin (CCM), amefariki dunia ghafla baada ya kuanguka katika kikao cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichokuwa kinafanyika katika ofisi kuu ya chama hicho, Kisiwandui mjini Unguja.
Taarifa hiyo ilianza kuenea mjini Unguja jana saa 6 mchana, na hata kuzua maswali kutoka kwa wananchi kuhusu utata wa kifo chake.
Salmin (57) ambaye pia alikuwa ni mnadhimu wa wawakilishi wa CCM na mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Kigogo CCM lawamani Geita
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma, amelaumiwa akidaiwa kuingilia maamuzi yanayofikiwa na Baraza la Madiwani, likiwemo la ujenzi wa choo. Kutokana na shutuma hizo, baadhi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XIUdwCzAgqw/Vozjua4h1XI/AAAAAAAAP5I/_H8sNgZEpak/s72-c/E88A0424_1333.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI ATEMBELEA WAGONJWA WA HOSPITALI YA TENGERU NA KUWASIKILIZA KERO ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-XIUdwCzAgqw/Vozjua4h1XI/AAAAAAAAP5I/_H8sNgZEpak/s640/E88A0424_1333.jpg)
wanaouguzwa katika Hospitali ya Tengeru ,katika ziara yake alipofika
kusikiliza matatizo yanawakumba wagonjwa haswa wakina mama waliolazwa katika hospitali ya tengeru alipofanya ziara ya ghafla hospitalin
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cl8i48-pOsU/VozjvhfUhdI/AAAAAAAAP5Q/xhfiiYwI0S8/s640/E88A0425_1250.jpg)
wanaouguzwa katika Hospitali ya Tengeru ,katika ziara yake alipofika
kusikiliza matatizo yanawakumba wagonjwa haswa wakina mama waliolazwa katika...
10 years ago
GPLKIGOGO CCM AANGUA KILIO HADHARANI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KIGOGO CCM AUAWA JIJINI MWANZA