MAALIM SEIF ATEMBELEA WAGONJWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-LZjOWe_rshI/VSl4_RXuBUI/AAAAAAAHQY0/IKDQS5D-i9U/s72-c/B.jpg)
Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akifanya ziara ya kutembelea wagonjwa waliojeruhiwa katika vurugu za kisiasa zilizotokea siku ya mkutano wa CUF uliofanyika Makunduchi tarehe 29/03/2015. Baada ya kuwaangalia wagonjwa hao katika mitaa mbali mbali ya Mjini Magharibi ikiwemo mitaa ya Jang'ombe, Muembe Makumbi na Mfenesini, Maalim Seif amesema Chama hicho hakitotoka kwenye mstari na kamwe hakitojitumbukiza kwenye vurugu hizo zilizopangwa kwa malengo ya kukivurugia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MRuvCX_795w/U8rtuRjwPaI/AAAAAAAF3zw/qHiGf4up6Rc/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad atembelea na kuwafariji wagonjwa na wafiwa Pemba
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HrOZXjfc-fQ/VYugYL5vbWI/AAAAAAABy6c/0Qr3r-hDh5c/s72-c/mag1.jpg)
MAALIM SEIF AHITIMISHA ZIARA YA KUTEMBELEA WAGONJWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-HrOZXjfc-fQ/VYugYL5vbWI/AAAAAAABy6c/0Qr3r-hDh5c/s640/mag1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-c_Tsb1iWR8c/VYugaZxRdvI/AAAAAAABy6k/nerdGIRIohQ/s640/mag2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--sUi0yAW2z8/VYugeJLt-fI/AAAAAAABy6s/m0pbfYXtz7I/s640/mag4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yy8igW7jjKc/VYugffFi_pI/AAAAAAABy60/hG3Ahu-SRXU/s640/mag5.jpg)
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF ATEMBELEA AZAM TV
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sLcNHDpO4a4/U80L1sTxpcI/AAAAAAAF4Wk/QNFJN4c-NSc/s72-c/unnamed+(39).jpg)
MAALIM SEIF ATEMBELEA MICHEWENI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-sLcNHDpO4a4/U80L1sTxpcI/AAAAAAAF4Wk/QNFJN4c-NSc/s1600/unnamed+(39).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9ZdWx8HjI2U/U80LzAxlLTI/AAAAAAAF4Wc/uiwNW9Rob7M/s1600/unnamed+(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wmxFCHkzeno/U80L1yPmYII/AAAAAAAF4Wo/SR2K82YDi3c/s1600/unnamed+(41).jpg)
10 years ago
VijimamboMaalim Seif aendelea na ziara ya kutembelea wagonjwa Mkoa wa Mjini Magharibi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7bnKEG2ZHo4/VYc1Xt9kWaI/AAAAAAAHiPw/h4ZnTwVV4UY/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
maalim seif afariji wagonjwa na wafiwa katika Mkoa wa Kusini Unguja.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R5yj_tI-0P0/U7hD6QhYiKI/AAAAAAAFvLQ/pl2yID01TJU/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Maalim Seif atembelea masoko ya manispaa ya Zanzibar.
11 years ago
Dewji Blog16 Apr
Maalim Seif atembelea Banda la Wizara ya Katiba na Sheria
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharrif Hamad akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Kisheria kwa Umma katika Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Felistas Mushi jana (Aprili 15, 2014) wakati wa maonesho ya maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano yanayofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Fanuel Mbonde (kulia) akimhudumia mwananchi aliyefika jana (Aprili 15, 2014) katika banda la...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-g0ceLqlFcRw/UzKHgrQnkaI/AAAAAAAFWc4/xGqckCDfl5A/s72-c/1.jpg)
Maalim Seif Shariff Hamad atembelea soko la matunda Mombasa.