Maalim Seif atembelea Banda la Wizara ya Katiba na Sheria
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharrif Hamad akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Kisheria kwa Umma katika Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Felistas Mushi jana (Aprili 15, 2014) wakati wa maonesho ya maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano yanayofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Fanuel Mbonde (kulia) akimhudumia mwananchi aliyefika jana (Aprili 15, 2014) katika banda la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YAKE KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF ATEMBELEA AZAM TV
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LZjOWe_rshI/VSl4_RXuBUI/AAAAAAAHQY0/IKDQS5D-i9U/s72-c/B.jpg)
MAALIM SEIF ATEMBELEA WAGONJWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-LZjOWe_rshI/VSl4_RXuBUI/AAAAAAAHQY0/IKDQS5D-i9U/s1600/B.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sLcNHDpO4a4/U80L1sTxpcI/AAAAAAAF4Wk/QNFJN4c-NSc/s72-c/unnamed+(39).jpg)
MAALIM SEIF ATEMBELEA MICHEWENI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-sLcNHDpO4a4/U80L1sTxpcI/AAAAAAAF4Wk/QNFJN4c-NSc/s1600/unnamed+(39).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9ZdWx8HjI2U/U80LzAxlLTI/AAAAAAAF4Wc/uiwNW9Rob7M/s1600/unnamed+(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wmxFCHkzeno/U80L1yPmYII/AAAAAAAF4Wo/SR2K82YDi3c/s1600/unnamed+(41).jpg)
11 years ago
Michuzi03 Jul
Kaimu Katibu Mkuu atembelea Banda la Wizara kwenye Maonesho ya Sabasaba
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R5yj_tI-0P0/U7hD6QhYiKI/AAAAAAAFvLQ/pl2yID01TJU/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Maalim Seif atembelea masoko ya manispaa ya Zanzibar.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameelezea kuridhishwa kwake na uwepo wa vyakula na matunda yenye viwango kwa ajili ya mwezi mtuku wa Ramadhani. Hata hivyo amesema bei zake bado ziko juu ikilinganishwa na kipato cha wananchi, na kwamba wananchi walio wengi wanashindwa kumudu kununua bidhaa hizo. Maalim Seif ametoa kauli hiyo katika ziara yake ya kutembelea masoko mbali mbali ya manispaa ya mji wa Zanzibar, kuangalia hali ya upatikanaji wa bidhaa na matunda,...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x7llgrNbAuA/Vh2gBDR3wII/AAAAAAAH_0E/XZYlm0MS7Z4/s72-c/M1.jpg)
MWENYEKITI WA MAKAMPUNI YA PROIN PROMOTION ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
![](http://3.bp.blogspot.com/-x7llgrNbAuA/Vh2gBDR3wII/AAAAAAAH_0E/XZYlm0MS7Z4/s640/M1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zXGf30QvHS4/Vh2gBmB5VQI/AAAAAAAH_0M/-95GNobEFcE/s640/M2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-g0ceLqlFcRw/UzKHgrQnkaI/AAAAAAAFWc4/xGqckCDfl5A/s72-c/1.jpg)
Maalim Seif Shariff Hamad atembelea soko la matunda Mombasa.
Na Hassan Hamad wa OMKR.
Baraza la Manispaa la Zanzibar limeshauriwa kuweka utaratibu unaofaa kuhakikisha kuwa mrundikano wa taka hasa katika maeneo ya mjini unapungua.
Wito huo umetolewa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, wakati alipofanya ziara ya kutembelea baadhi ya majaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi, soko la matunda Mombasa, pamoja na kutembelea shimo la kutupia taka lililoko Kibele, kujionea hali halisi ya ukusanyaji na utupaji wa taka...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MRuvCX_795w/U8rtuRjwPaI/AAAAAAAF3zw/qHiGf4up6Rc/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad atembelea na kuwafariji wagonjwa na wafiwa Pemba
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amewakumbusha wagonjwa na wafiwa kuwa na subra na uvumilivu, wakielewa kuwa hiyo ni mitihani ya Mwenyezi Mungu. Akiwa katika ziara ya kutembelea wagonjwa na wafiwa katika Wilaya ya Mkoani, Maalim Seif amesema maradhi ni jumla ya mitihani kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na kwamba wanaopatwa na mitihani hiyo hawana budi kushuru na kuomba dua. Maalim Seif ambaye yuko kisiwani Pemba kwa ziara ya siku sita ya kuangalia wagonjwa,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania