Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sarena akumbuka alivyodhalilishwa 2001

Mcheza tenis mwanadada namba moja kwa ubora duniani Serena Williams amesema haamini atarejea Indian Wells huko Calfonia nchini Marekani baada ya kudhalilishwa na watazamaji wakati alipokuwa msichana wa miaka 14.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIAMOND AELEZA ALIVYODHALILISHWA

Stori: Shakoor Jongo
SIKU chache baada ya kufanyiwa fujo katika shoo yake nchini Ujerumani, staa wa Mdogo Mdogo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameibuka na kueleza namna ambavyo alidhalilishwa nchini humo.
Diamond aliponea chupuchupu kupewa kipigo baada ya kuchelewa kwenye shoo iliyokuwa ifanyike katika Ukumbi wa Sindelfingen katika mji wa Stuttgart, Ujerumani. Staa wa Mdogo Mdogo, Nasibu Abdul ‘Diamond’. ...

 

10 years ago

Vijimambo

HITMA YA KUMBUKUMBU YA KUWAOMBEA WANACUF WALIOFARIKI 2001

MAKAMU Mwenyekiti wa CUF taifa Mhe: Juma Duni Haji (katikati) akiwa amenyanyua mikono kuomba dua, kwenye hitma ya kuwaombea dua wanachama wa chama cha CUF, waliotangulia mbele ya haki mwaka 2001 katika maandamano yaliyofanyika Pemba ya kudai uchaguzi urudiwe. Dua hio iliohudhuriwa na viongozi mbali mbali wa kitaifa wa chama hicho, ilifanyika jana mskikiti wa Ijumaa Chachani Chake Chake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 

10 years ago

GPL

MISS SINZA 2001 NA SKENDO YA PICHA ZA UTUPU!

Na Gladness Mallya HAMNAZO? MISS Sinza 2001 na aliyekuwa mshiriki wa Miss Tanzania 2011, Husna Maulid ameonesha kuwa ni sikio la kufa baada ya kupiga picha za utupu kwa mara nyingine. MISS Sinza 2001 na aliyekuwa mshiriki wa Miss Tanzania 2011, Husna Maulid. Picha hizo zilizotapakaa kwenye mitandao mbalimbali zimewashangaza watu ambapo Husna anaonekana akiwa kama alivyozaliwa huku akiwa katika mapozi tofauti hali inayoonesha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK akumbuka yatima Krismasi

RAIS Jakaya Kikwete amewakumbuka watu na watoto walio katika makundi maalumu kwa kuwapa zawadi kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi. Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo alikabidhi...

 

11 years ago

Mwananchi

Magufuli akumbuka barabara 10

Wizara ya Ujenzi imetenga Sh28.94 bilioni kwa ajili ya kutekeleza miradi ya kujenga, kufanya upanuzi na kukarabati barabara 10 za mchepuko katika Jiji la Dar es Salaam ili kupunguza msongamano wa magari.

 

10 years ago

Mwananchi

Mlundwa akumbuka KO ilivyomchanganya Cuba

Emmanuel Mlundwa, ambaye hivi sasa ni rais wa Chama cha Ngumi za Kulipwa Tanzania (PST), alikuwa bondia wa timu ya taifa kabla ya kuwa kiongozi n a alikumbana na changamoto nyingi.

 

10 years ago

Mwananchi

Nkamia akumbuka enzi za utangazaji

Naibu Waziri wa Vijana, Utamaduni na Michezo Juma Nkamia, juzi alikonga nyoyo za watu pale alipoamua kukumbushia enzi zake za kutangaza mpira.

 

10 years ago

Mwananchi

Mapalala akumbuka minyororo aliyofungwa

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, James Mapalala amekumbushia minyororo aliyofungwa wakati akidai mfumo wa vyama vingi, akisema kwamba haiwezi kumrudisha tena CCM.

 

9 years ago

Mtanzania

Kanye West akumbuka dola milioni 20

kanye-west-vmas1CALIFORNIA, Marekani

NYOTA wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, amekumbuka namna alivyotumia dola milioni 20 kwa ajili ya kurekebisha nyumba yao iliyopo California, nchini Marekani.

Eneo la nyumba yao lina ukubwa wa eka 3.5, ambapo Agosti mwaka jana nyumba hiyo ilionekana kuwa na matatizo madogo madogo.

Kanye amesema marekebisho hayo yameifanya nyumba hiyo kuwa na mwonekano mpya wa nyumba za kisasa, ambapo wanaamini mtoto wao, Nori atakuwa sehemu salama zaidi.

“Tumeona bora tubadilishe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani