Nkamia akumbuka enzi za utangazaji
Naibu Waziri wa Vijana, Utamaduni na Michezo Juma Nkamia, juzi alikonga nyoyo za watu pale alipoamua kukumbushia enzi zake za kutangaza mpira.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dvZSdMWJQNk/Vcz3BLPr8kI/AAAAAAAHwbQ/NytPRyZKB-M/s72-c/tt.png)
Hukumu Ya Kukiukwa kwa Kanuni za Utangazaji Kituo Cha Utangazaji Cha ITV - vyapewa onyo kali
![](http://2.bp.blogspot.com/-dvZSdMWJQNk/Vcz3BLPr8kI/AAAAAAAHwbQ/NytPRyZKB-M/s640/tt.png)
1.0 Utangulizi:
Mnamo tarehe 10/08/2015, kituo cha ITV kilikiuka Kanuni za Huduma ya Utangazaji (Maudhui), 2005 kupitia kipindi cha Habari Zilizotufikia Hivi Punde kilichorushwa hewani kati ya saa 2.30 asubuhi hadi saa 5.30 asubuhi. Kipindi hiki kilikiuka Kanuni za Utangazaji kwa kutoa taarifa zisizo za kweli na za kichochezi zilizotangaza kwamba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano ya mgombea wa CHADEMA Mheshimiwa Edward Lowassa. Taarifa hiyo ilikuwa...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Kumbe Aliens wamekuwepo enzi na enzi!
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita tuliona ni kwa jinsi gani hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens walivyo na tabia zinazoaminika ni za majini japokuwa wana utofauti kidogo. Tuliona kuwa tofauti kubwa iliyopo kati ya Aliens na majini ni kwamba majini wana maumbile maalum na uwezo wa kujibadilisha japo wote wana uwezo wa kusafiri kwa kasi ya upepo. SASA ENDELEA…
Kama nilivyoeleza awali katika matoleo ya simulizi hii huko nyuma, kuna filamu na tamthiliya...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
JK akumbuka yatima Krismasi
RAIS Jakaya Kikwete amewakumbuka watu na watoto walio katika makundi maalumu kwa kuwapa zawadi kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi. Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo alikabidhi...
11 years ago
Mwananchi22 May
Magufuli akumbuka barabara 10
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Mapalala akumbuka minyororo aliyofungwa
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Sarena akumbuka alivyodhalilishwa 2001
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Mlundwa akumbuka KO ilivyomchanganya Cuba
10 years ago
Mtanzania19 Mar
Msuya akumbuka machungu ya kauli yake
Elias Msuya na Elizabeth Hombo
WAZIRI Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya, amekumbusha machungu ya kauli yake ya zamani ya “kila Mtanzania ataubeba msalaba wake”, huku akiwataka Watanzania kuacha kuwa walalamikaji kwa kila jambo.
Msuya aliyewahi kuwa waziri mkuu mara mbili (Novemba 7, 1980 hadi Februari 1983 na Desemba 7, 1994 hadi Novemba 28, 1995), alitoa kauli hiyo bungeni akiwa waziri wa fedha mwaka 1989.
Akizungumza jana katika uzinduzi wa Kavazi la Mwalimu Nyerere lililoandaliwa na Kituo cha...
9 years ago
Mtanzania24 Aug
Prezzo akumbuka alivyotoswa na Cash Money
NAIROBI, Kenya
NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘Prezzo’, bado anakumbuka jinsi alivyotoswa na bosi wa kundi la Young Money Cash Money, Birdman, alipokwenda kuomba kujiunga na kundi hilo nchini Marekani.
Prezzo alitaka kujiunga na kundi hilo akidhani angekuwa mwakilishi kwa bara la Afrika, lakini bosi wa kundi hilo alikataa kwa madai kwamba msanii huyo wa Kenya hana kipato kikubwa kama wasanii wa kundi hilo.
“Nilifanikiwa kukutana na Birdman, lakini ilikuwa ngumu kupiga naye...