Prezzo akumbuka alivyotoswa na Cash Money
NAIROBI, Kenya
NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘Prezzo’, bado anakumbuka jinsi alivyotoswa na bosi wa kundi la Young Money Cash Money, Birdman, alipokwenda kuomba kujiunga na kundi hilo nchini Marekani.
Prezzo alitaka kujiunga na kundi hilo akidhani angekuwa mwakilishi kwa bara la Afrika, lakini bosi wa kundi hilo alikataa kwa madai kwamba msanii huyo wa Kenya hana kipato kikubwa kama wasanii wa kundi hilo.
“Nilifanikiwa kukutana na Birdman, lakini ilikuwa ngumu kupiga naye...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrNgkcapQFsakGd8UwL7FQI7ylMOXKTziMYV-ySN*glGaTWuMS-zKHGDzqrw7nNkCxfk5Fpi2I5G4Mx4qgYhet5p/bow_wow_001.jpg?width=650)
BOW WOW AJITOA CASH MONEY
10 years ago
Bongo512 May
Bow Wow aibwaga Cash Money Records
10 years ago
Bongo527 Jan
Lil Wayne kuondoka Cash Money pamoja na Drake na Nicki Minaj
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-k6X35hytsdg/VYmJR-W0L7I/AAAAAAAACLY/jqwv2p6hNxc/s72-c/nicki-drake.jpg)
LIL' WAYNE AIFUNGULIA KESI CASH MONEY RECORDS KISA NICKI MINAJ NA DRAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-k6X35hytsdg/VYmJR-W0L7I/AAAAAAAACLY/jqwv2p6hNxc/s400/nicki-drake.jpg)
So ina maanisha Nicki Minaj na Drake wako njiani kuimwaga Cash Money Records?ama ni stori tu!?
![wayne](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/wayne.jpg?resize=494%2C329)
10 years ago
Bongo526 Dec
Lil Wayne atishia kuishtaki Cash Money endapo itashindwa kutoa album yake ‘Tha Carter V’
11 years ago
TheCitizen04 May
Co-op sells assets to raise cash to repay huge debts debt-payment cash
10 years ago
TheCitizen30 Oct
Party cash is taxpayers’ cash!
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
JK akumbuka yatima Krismasi
RAIS Jakaya Kikwete amewakumbuka watu na watoto walio katika makundi maalumu kwa kuwapa zawadi kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Krismasi. Kaimu Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo alikabidhi...
11 years ago
Mwananchi22 May
Magufuli akumbuka barabara 10