Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BOW WOW AJITOA CASH MONEY

Rapa aliyeanza muziki tangu akiwa na miaka mitano, Bow Wow. New York, Marekani
RAPA aliyeanza muziki tangu akiwa na miaka mitano, Bow Wow, amejitoa kwenye Lebo ya Cash Money ambayo alidumu nayo kwa miaka mitano sasa. Bow Wow akiwa na aliyekuwa bosi wake Birdman.
Bow Wow aliyetesa na Kibao cha Let Me Hold You, ameamua kujitoa kwenye lebo hiyo aliyosaini miaka mitano iliyopita kutokana na kutopata mafanikio yoyote ya kimuziki...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Bow Wow aibwaga Cash Money Records

Cash Money Records inazidi kupukutika. Baada ya Busta Rhymes, sasa Bow Wow naye amewaaga bye bye! Rapper huyo mwenye miaka 28 alitangaza kujiondoa kwenye label hiyo aliyosaini nayo miaka mitano iliyopita kupitia ukurasa wa Facebook. Amesema kuwa hana tatizo na Cash Money wala Birdman ambaye alimshukuru kwa kumsainisha. Amedai kuwa akiwa Cash Money hakuwa na […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Bow Wow — Too Real

Rapper Bow Wow kutoka Marekani baada ya kujiunga na management ya Bad Boy Entertainment ambayo ipo chini ya P Diddy, msanii Bow Wow hajapoteza sana muda. Bow Wow amerudi na single yake mpya inaitwa “Too Real” hii single yake ya kwanza ambayo itakuwepo katika album yake mpya ya ‘Fxck Rap EP ambayo Bow Wow ana […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Bow Wow Ft DJ Willi — Too Real

Bow Wow parties down under in the video for “Too Real,” his collaboration with DJ Willi. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Mtanzania

Prezzo akumbuka alivyotoswa na Cash Money

prezzoNAIROBI, Kenya

NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘Prezzo’, bado anakumbuka jinsi alivyotoswa na bosi wa kundi la Young Money Cash Money, Birdman, alipokwenda kuomba kujiunga na kundi hilo nchini Marekani.

Prezzo alitaka kujiunga na kundi hilo akidhani angekuwa mwakilishi kwa bara la Afrika, lakini bosi wa kundi hilo alikataa kwa madai kwamba msanii huyo wa Kenya hana kipato kikubwa kama wasanii wa kundi hilo.

“Nilifanikiwa kukutana na Birdman, lakini ilikuwa ngumu kupiga naye...

 

10 years ago

Bongo5

Lil Wayne kuondoka Cash Money pamoja na Drake na Nicki Minaj

Nicki Minaj na Drake ni kama watoto wa Lil Wayne hivyo akiondoka Cash Money Records ataondoka nao hata kama Birdman akiwa na mipango mingine, kwa mujibu wa TMZ. Vyanzo vilivyo karibu na Lil Wayne vimeuambia mtandao huo kuwa pamoja na kutaka alipwe dola milioni nane na Birdman, Wayne anapanga kuhakikisha kuwa wasanii wa Young Money […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

LIL' WAYNE AIFUNGULIA KESI CASH MONEY RECORDS KISA NICKI MINAJ NA DRAKE

Msanii na mmoja kati ya watu wanaounda team ya Cash Money (CMB) Records Lil Wayne aliingia kwenye headlines kipindi cha nyuma kwa madai ya kutaka kutoka katika label hio ya muziki. Headlines mpya leo ni kwamba msanii huyo wa Hiphop amefungua kesi mahakamani dhidi ya Cash Money kwa madai ya kwamba eti Nicki Minaj na Drake hawana usimamizi mzuri chini ya lebo hio.
So ina maanisha Nicki Minaj na Drake wako njiani kuimwaga Cash Money Records?ama ni stori tu!?wayneKatika documents zilizowasilishwa...

 

10 years ago

Bongo5

Lil Wayne atishia kuishtaki Cash Money endapo itashindwa kutoa album yake ‘Tha Carter V’

Ule ugomvi wa Lil Wayne na label ya Cash Money bado unaendelea na inavyoonekana unaelekea pabaya zaidi. Inadaiwa kuwa rapper huyo sasa ana mpango wa kuishtaki label hiyo endapo itaendelea kukataa kutoa album yake ya “Tha Carter V”. Vyanzo vya karibu vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Weezy ametoa ombi la mwisho kwa maandishi kwa lebel […]

 

11 years ago

TheCitizen

Co-op sells assets to raise cash to repay huge debts debt-payment cash

Overwhelmed by huge debts, the management of Moshi-based co-operative society has now started selling some of its assets to pay debts running into billions.

 

10 years ago

TheCitizen

Party cash is taxpayers’ cash!

The Controller and Auditor General’s (CAG) report on the finances of political parties, which was handed over to the Parliamentary Public Accounts Committee on Tuesday, paints a disturbing picture.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani