Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lil Wayne atishia kuishtaki Cash Money endapo itashindwa kutoa album yake ‘Tha Carter V’

Ule ugomvi wa Lil Wayne na label ya Cash Money bado unaendelea na inavyoonekana unaelekea pabaya zaidi. Inadaiwa kuwa rapper huyo sasa ana mpango wa kuishtaki label hiyo endapo itaendelea kukataa kutoa album yake ya “Tha Carter V”. Vyanzo vya karibu vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Weezy ametoa ombi la mwisho kwa maandishi kwa lebel […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Lil Wayne atishia kuondoka YMCMB, awalaumu kwa kuzuia kutoa album yake

Lil Wayne ameishutumu label yake ya Young Money (YMCMB) kwa kuzuia kutoa album yake ya ‘Tha Carter V’ na kutishia kuondoka kwenye label hiyo. Weezy ameandika tweet kama mvua za kulalamika, “Kwa mashabiki wangu wote, nataka wote mjue kwamba album yangu haitatoka na haijatoka kwasababu Baby (Bird Man) na Cash Money Rec wamekataa kuitoa”. Aliandika […]

 

10 years ago

Bongo5

Lil Wayne kuondoka Cash Money pamoja na Drake na Nicki Minaj

Nicki Minaj na Drake ni kama watoto wa Lil Wayne hivyo akiondoka Cash Money Records ataondoka nao hata kama Birdman akiwa na mipango mingine, kwa mujibu wa TMZ. Vyanzo vilivyo karibu na Lil Wayne vimeuambia mtandao huo kuwa pamoja na kutaka alipwe dola milioni nane na Birdman, Wayne anapanga kuhakikisha kuwa wasanii wa Young Money […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

LIL' WAYNE AIFUNGULIA KESI CASH MONEY RECORDS KISA NICKI MINAJ NA DRAKE

Msanii na mmoja kati ya watu wanaounda team ya Cash Money (CMB) Records Lil Wayne aliingia kwenye headlines kipindi cha nyuma kwa madai ya kutaka kutoka katika label hio ya muziki. Headlines mpya leo ni kwamba msanii huyo wa Hiphop amefungua kesi mahakamani dhidi ya Cash Money kwa madai ya kwamba eti Nicki Minaj na Drake hawana usimamizi mzuri chini ya lebo hio.
So ina maanisha Nicki Minaj na Drake wako njiani kuimwaga Cash Money Records?ama ni stori tu!?wayneKatika documents zilizowasilishwa...

 

10 years ago

Bongo5

Lil Wayne atangaza tarehe ya kuachia mixtape yake ‘No Ceilings 2’

Lil Wayne no-ceilings-2-mixtape

Rapper Lil Wayne ametangaza tarehe atakayoachia mixtape yake ya ‘No Ceilings 2’ ambayo ni mwendelezo wa mixtape yake ya mwaka 2009 ‘No Ceilings’.

Lil Wayne no-ceilings-2-mixtape

Kupitia Twitter rapper huyo alishare covert ya mixtape hiyo ambayo amesema itatoka Nov. 26.

Tayari kuna nyimbo mpya ambazo Lil Wayne amekuwa akiziperform kwenye shows.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali...

 

10 years ago

Bongo5

Music: Lil Durk Ft. Lil Wayne, Fetty Wap, & Jeremih – Like Me (Remix)

Lil Durk recruits a trifecta of stars—Lil Wayne, Fetty Wap, and Jeremih—for the remix to his single “Like Me.” Weezy kicks things off with some dirty talk (“I Lollapalooza her good spot”) before Jeremih reprises the hook. In between guest verses for Rita Ora and Kirko Bangz, Fetty adds his golden touch and asks his […]

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee ataja sababu za kuchelewa kuitoa album yake ‘Money Mondays’

12276907_984236138289678_255207204_n

Album ya Vanessa Mdee, ‘Money Mondays’ ni kama imekamilika tayari lakini muimbaji huyo amesema ameichelewesha kuitoa kwasababu anaitengenezea mkakati mzuri wa kuichia.

12276907_984236138289678_255207204_n

Vanessa ameiambia Bongo5 kuwa anaangalia njia sahihi ya kuitoa.

“Naichelewesha kuitoa sababu natafuta proper distribution plan,” amesema.

“Sitaki tu itoke halafu watu wakasikiliza halafu ikabakia hamna faida yoyote tuliyotengeneza. Nataka kutumia fursa kutengeneza album ambayo italeta utofauti kwenye utoaji wa album....

 

11 years ago

Bongo5

Rais wa Nigeria atishia kuishtaki website iliyomtaja kwenye orodha ya marais tajiri Africa

Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan ametishia kuishtaki website iliyomtaja kama mmoja wa marais 10 wa Africa matajiri zaidi. Mtandao huo uitwao. richestlifestyle.com umemtaja Jonathan kama rais wa sita kwa utajiri wake wa dola milioni 100 Maelezo kutoka ofisi yake yamedai kuingizwa kwake kwenye orodha hiyo hakuna ukweli na ni jaribio la kutaka kumuonesha kama fisadi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani