Rais wa Nigeria atishia kuishtaki website iliyomtaja kwenye orodha ya marais tajiri Africa
Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan ametishia kuishtaki website iliyomtaja kama mmoja wa marais 10 wa Africa matajiri zaidi. Mtandao huo uitwao. richestlifestyle.com umemtaja Jonathan kama rais wa sita kwa utajiri wake wa dola milioni 100 Maelezo kutoka ofisi yake yamedai kuingizwa kwake kwenye orodha hiyo hakuna ukweli na ni jaribio la kutaka kumuonesha kama fisadi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo526 Dec
Lil Wayne atishia kuishtaki Cash Money endapo itashindwa kutoa album yake ‘Tha Carter V’
10 years ago
Bongo508 Oct
Richest African Presidents 2014: Orodha ya Marais 9 matajiri zaidi wa Kiafrika
10 years ago
Bongo508 Sep
Profesa Jay afungua website yake rasmi (official website)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82006000/jpg/_82006233_82006225.jpg)
9 years ago
Bongo508 Dec
Watanzania washindwa kung’ara kwenye ‘The Future Awards Africa 2015’ Nigeria
![Vanessa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/Vanessa-300x194.jpg)
Tanzania ilikuwa na wawakilishi watatu kwenye tuzo za ‘The Future Awards Africa’ (TFAA) za mwaka huu zilizotolewa Jumapili Dec.6 huko jijini Lagos, Nigeria. Miongoni mwa waliotuwakilisha alikuwemo muimbaji wa ‘Never Ever’ Vanessa Mdee.
Bahati haikuwa yetu safari hii kwani hakuna muwakilishi wetu yeyote aliyeibuka na tuzo. Mbali na Vanessa wengine waliotuwakilisha ni Felix Richard Manyogote na Witness Sanga. Vanessa alienda Nigeria kuhudhuria tuzo hizo.
Mwaka jana (2014) Diamond Platnumz...
11 years ago
Bongo518 Jul
Mandela Day: Mafikizolo na Davido watumbuiza kwenye show iliyooneshwa live kupitia website ya MTN
9 years ago
Bongo516 Sep
Ningezaliwa Marekani, Nigeria au SA ningekuwa tajiri mwenye hela nyingi sana — Jaffarai