Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lil Wayne atangaza tarehe ya kuachia mixtape yake ‘No Ceilings 2’

Lil Wayne no-ceilings-2-mixtape

Rapper Lil Wayne ametangaza tarehe atakayoachia mixtape yake ya ‘No Ceilings 2’ ambayo ni mwendelezo wa mixtape yake ya mwaka 2009 ‘No Ceilings’.

Lil Wayne no-ceilings-2-mixtape

Kupitia Twitter rapper huyo alishare covert ya mixtape hiyo ambayo amesema itatoka Nov. 26.

Tayari kuna nyimbo mpya ambazo Lil Wayne amekuwa akiziperform kwenye shows.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Lil Wayne na 2 Chainz kuja na mixtape ya pamoja ‘ColliGrove’

lil-wayne-2-chainz

Huu ni msimu wa wasanii kufanya album/mixtapes za ushirikiano. Baada ya Drake na Future, French Montana na Fetty Wap kufanya mixtape za kushirikiana, rapper Lil Wayne na 2 Chains nao wametangaza kuja na project ya pamoja waliyoiita ‘ColliGrove’.

lil-wayne-2-chainz

It's #ColliGrove ya heard me !

— Tity Boi (2 Chainz) (@2chainz) November 12, 2015

Pamoja na kuja na mixtape ya pamoja lakini Weezy na 2 Chainz wanaendelea kutoa projects zao binafsi.

Mwezi wa 8 mwaka huu 2 Chainz aliachia mixtape yake inaitwa...

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘Royalty’

Chris Brown tayari ameweka wazi tarehe ya kuachia album yake mpya aliyoipa jina la mwanaye ‘Royalty’ ambayo imepangwa kutoka rasmi November 27, 2015. Taarifa za album hiyo zimetolewa kupitia kipindi cha ‘Nessa and Camilo’. Nyimbo zilizoishasikika kutoka kwenye album hiyo ni ‘Liquor’ pamoja na ‘Zero’. Sina shaka ‘Royalty’ haitakumbwa na mikosi kama album yake iliyopita […]

 

9 years ago

Bongo5

Davido atangaza tarehe mpya ya kuachia album yake mpya ‘Baddest’

Mwenyekiti wa label ya HKN records inayomsimamia Davido, Adewale Adeleke ambaye pia ni kaka yake ametangaza tarehe mpya ya kuachia album mpya ya star huyo wa Nigeria, ‘Baddest’ baada ya kushidwa kutoka mwezi September kama ilivyopangwa awali. Album hiyo ambayo imekuwa ikipangwa kuachiwa na kuahirishwa mara tatu, sasa itatoka Jumamosi ya October 10, 2015. Mastaa […]

 

10 years ago

Bongo5

Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’

Baada ya rapper Tyga kuitupia lawama label yake ya Young Money (YMCMB) hivi karibuni kuwa inambania album yake kutoka, rapper huyo ametumia Twitter kutangaza tarehe ya kutoka album yake inayoitwa “The Gold Album” ambayo sasa itatoka mwezi ujao. Kupitia Twitter Tyga ameandika sasa album hiyo itatoka siku mbili kabla ya sikukuu ya Christmas Dec 23. […]

 

9 years ago

Bongo5

Timbaland kuachia mixtape yake Dec 25, itakuwa na wimbo wa Aaliyah ambao haujawahi kusikika

timbaland

Producer mkongwe ambaye pia ni rapper, Timbaland ametangaza ujio wa mixtape yake mpya ‘King Stays King’ ambayo anatarajia kuiachia kwenye sikukuu ya Krismas Dec.25 mwaka huu.

timbaland

Miongoni mwa nyimbo zitakazokuwemo kwenye mixtape hiyo ni pamoja na wimbo mpya wa muimbaji wa RnB marehemu Aaliyah ambao haukuwahi kutoka wala kusikika.

Mixtape hiyo itakayokuwa na nyimbo 16 itakuwa na nyimbo walizoshirikisha Young Thug, Rich Homie Quan, Mila J pamoja na Blaze.

“It’s been a while since I’ve been able...

 

10 years ago

Bongo5

Lil Wayne atishia kuondoka YMCMB, awalaumu kwa kuzuia kutoa album yake

Lil Wayne ameishutumu label yake ya Young Money (YMCMB) kwa kuzuia kutoa album yake ya ‘Tha Carter V’ na kutishia kuondoka kwenye label hiyo. Weezy ameandika tweet kama mvua za kulalamika, “Kwa mashabiki wangu wote, nataka wote mjue kwamba album yangu haitatoka na haijatoka kwasababu Baby (Bird Man) na Cash Money Rec wamekataa kuitoa”. Aliandika […]

 

10 years ago

Bongo5

Lil Wayne atishia kuishtaki Cash Money endapo itashindwa kutoa album yake ‘Tha Carter V’

Ule ugomvi wa Lil Wayne na label ya Cash Money bado unaendelea na inavyoonekana unaelekea pabaya zaidi. Inadaiwa kuwa rapper huyo sasa ana mpango wa kuishtaki label hiyo endapo itaendelea kukataa kutoa album yake ya “Tha Carter V”. Vyanzo vya karibu vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Weezy ametoa ombi la mwisho kwa maandishi kwa lebel […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Lil Durk Ft. Lil Wayne, Fetty Wap, & Jeremih – Like Me (Remix)

Lil Durk recruits a trifecta of stars—Lil Wayne, Fetty Wap, and Jeremih—for the remix to his single “Like Me.” Weezy kicks things off with some dirty talk (“I Lollapalooza her good spot”) before Jeremih reprises the hook. In between guest verses for Rita Ora and Kirko Bangz, Fetty adds his golden touch and asks his […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani