Msuya akumbuka machungu ya kauli yake
Elias Msuya na Elizabeth Hombo
WAZIRI Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya, amekumbusha machungu ya kauli yake ya zamani ya “kila Mtanzania ataubeba msalaba wake”, huku akiwataka Watanzania kuacha kuwa walalamikaji kwa kila jambo.
Msuya aliyewahi kuwa waziri mkuu mara mbili (Novemba 7, 1980 hadi Februari 1983 na Desemba 7, 1994 hadi Novemba 28, 1995), alitoa kauli hiyo bungeni akiwa waziri wa fedha mwaka 1989.
Akizungumza jana katika uzinduzi wa Kavazi la Mwalimu Nyerere lililoandaliwa na Kituo cha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MBOLblAwefM/XodQiSgeK5I/AAAAAAALl9s/50gs4g-UU3UXRv3sexT0AXgxWg4jXWyTgCLcBGAsYHQ/s72-c/tibaijuka.jpg)
PROF.ANNA TIBAIJUKA AAGA BUNGENI... AKUMBUKA MACHUNGU YA ESCROW
![](https://1.bp.blogspot.com/-MBOLblAwefM/XodQiSgeK5I/AAAAAAALl9s/50gs4g-UU3UXRv3sexT0AXgxWg4jXWyTgCLcBGAsYHQ/s400/tibaijuka.jpg)
MBUNGE wa Muleba Kusini mkoani Kagera Profesa Anna Tibaijuka ametangaza rasmi kuwa katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2020 hatagombea tena nafasi ya ubunge na anakwenda kupumzika
huku akitumia nafasi hiyo kuelezea namna alivyoumizwa na sakata la fedha za Escrow.
Profesa Tibaijuka ametangaza uamuzi wake wa kutogombea tena ubunge kwenye jimbo hilo leo Aprili 3 mwaka 2020 ambapo ametumia nafasi hiyo kutoa shukrani kwa wananchi wa Muleba kwa namna ambavyo wamempa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7gM0e-yDnw4/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Jan
Pinda asema kauli yake ya wapigeni ilimaanisha amani
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oxEiVEV3Vfk/U1a2yscOJgI/AAAAAAAFcWg/mGB_25DwzJ0/s72-c/e488d6a950b5e0191434b5b3713e2612.jpg)
GIGGS AWAKERA BWAWA LA MAINI KWA KAULI YAKE YA MWAKA 2011
![](http://2.bp.blogspot.com/-oxEiVEV3Vfk/U1a2yscOJgI/AAAAAAAFcWg/mGB_25DwzJ0/s1600/e488d6a950b5e0191434b5b3713e2612.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xgga0YveZKQ/VXL-EL2JvJI/AAAAAAAAsEI/W10hQJflYt4/s72-c/11001785_937339602945562_8028446290689899808_n.jpg)
HAPO SASA MPAKA KIELEWEKE NGOMA UWANJANI KILA MTU NA KAULI MBIU YAKE KICHWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xgga0YveZKQ/VXL-EL2JvJI/AAAAAAAAsEI/W10hQJflYt4/s640/11001785_937339602945562_8028446290689899808_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo01 Jul
TASWIRA,MWIGULU NCHEMBA ATUA DODOMA KUREJESHA FOMU YA URAIS,KAULI MBIU YAKE YAENDELEA KUWIKA
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/11659283_940261159369289_5961995515945303518_n.jpg?oh=d80aee22e1b16fae1248e92a0b99cac7&oe=563324A8)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11012349_940258682702870_4775355713855013472_n.jpg?oh=1ca50b169b773361d84774d88131dd25&oe=56263509)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11012349_940258382702900_5674025754231206561_n.jpg?oh=5a4ba6cd2e95d9f875557185dd1b9453&oe=5629E35A)
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kauli mbiu yake ya ‘Live It, Love It’ kuelekea msimu wa sikukuu ya Krismas
Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja, akizungumza na waandishi wa habari wakati akimkaribisha Meneja Mkuu wa Tigo kuzungumza na wanahabari.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa chapa mpya yenye kauli mbinu ya ‘Live it, love it’ itakayoimarisha nafasi ya mbunifu anayeongoza kwa ubunifu wa kidigitali nchini. Kulia ni Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga.
Meneja...
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake …
Kocha wa mpya wa muda wa klabu ya Chelsea Guus Hiddink ambaye amejiunga kwa mara ya pili kuifundisha klabu hiyo, baada ya miaka sita toka aondoke mwishoni mwa mwaka 2009 kama kocha wa muda wa klabu hiyo, Guus Hiddink ambaye ndio ameichukua Chelsea mikononi mwa Jose Mourinho ili aiokoe isiporomoke zaidi, ameanza kwa kuwatuliza mashabiki […]
The post Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake … appeared first on...
10 years ago
Bongo531 Jan
Picha: Zari ndani ya Dar, athibitisha kwa mara ya kwanza kwa kauli yake kuwa mpenzi wa Diamond