Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GIGGS AWAKERA BWAWA LA MAINI KWA KAULI YAKE YA MWAKA 2011

Kocha wa muda wa Manchester United Ryan Giggs (kushoto) aliyechukua mikoba ya David Moyes (kulia) aliyetimuliwa leo anawatafuta ubaya mahasimu wao Liverpool kwa kuropoka kuwa wao wako katika kipindi kigumu kimchezo lakini kamwe hawatoporomoka na kuadhirika kama iliyokuwa kwa Liverpool baada ya kuanza kufanya vibaya miaka 24 iliyopita. Giggs amenukuliwa akisema kuwa japo Man U walisubiri miaka 26 kabla ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza kwa mara ya kwanza mwaka 1993, kocha wao mstaafu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

LICHA YA KUTOKUWA NA MWENENDO MZURI KWENYE TIMU YAKE YA BWAWA LA MAINI KOCHA ASEMA



Balotelli haondoki ng'o, asema kochaMachezaji wa Liverpool Mario Balotelli
Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa hana mipango ya kumuuza mshambuliaji wa kilabu hiyo Mario Baloteli wakati wa dirisha la uhamisho la mwezi Januari.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 na ambaye amefunga mabao mawili katika mechi 15 amehusishwa na uhamisho wa Inter Milan kulingana na gazeti dello Sport.
''Hicho si kitu nilichofikiria kufanya,kusema ukweli'', alisema Rodgers.
''Tumekuwa na mechi...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

bwawa la maini oyeeee!

 Ankal akifurahia ushindi wa 3-2 dhidi ya Man City leo huko Anfield.   Baadhi ya Bongo Kops wakiserebuka kwa ushindi leo  Nahodha Steven Gerald na wenzie wakifurahia ushindi Wadau wa Bongo Kops na mwenyekiti wao Musley (kati) wakiwa na furaha baada ya gemu

 

11 years ago

Michuzi

Bwawa la maini oyeeeee!

 Liverpool leo wameheza  kandanda safi ingine kwa miaka kibao kwa kuichabanga  Manchester United 3-0 katka uwanja wao wa nyumbani wa  Trafford on Sunday,  huku mkongwe asiyezeeka  Steven Gerrard akitikisa nyavu mara mbili kwa njia ya penati na kulihamasisha Bwawa la Maini kwa mara ingine tena. Kiungo huyo alipiga penati mbili za kufa mtu kuhakikisha vijana wa Brendan Rodgers wakiondoka na pointi tatu zote. Luis Suarez aliongeza maumivi kwa Man U baada ya ‘chumba’ cha uhakika cha  Daniel...

 

11 years ago

Michuzi

HAFLA YA KUZAWADIA WACHEZAJI WA BWAWA LA MAINI

 Kikosi cha Bwawa la Maini kwenye mnuso wa kuzawadia wachezaji bora uliofanyika usiku huu katika hoteli ia Hilton Liverpool na kuhudhuriwa na wapenzi na wanachama kutoka kila pembe ya dunia ikiwemo Tanzania ambayo iliwakilishwa na viongozi wa The Kop In Tanzania  Sehemu ya wageni kwenye mnuso huo katika hoteli ya Hilton Liverpool  Katibu wa The Kop in Tanzania Issa Batenga akiwa na kocha wa Bwawa la Maini Brendan Rodgers kwenye mnuso huo usiku huu hoteli ya Hilton Liverpool Katibu wa...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA MASWALA YA ULINZI MTANDAO WAKAMILIKA KWA KUPIGILIA MSUMARI KAULI MBIU “MWAKA 2014 NI MWAKA WA VITENDO”

Akizungumzia mkutano huo bwana Yusuph Kileo ambaye aliongoza timu ya maandalizi ya mkutano huo alibainisha hayo na kueleza mkutano huo umekamilika salama ambapo mambo mbalimbali yalipata kujadiliwa yahusuyo ulinzi mtandao “Cyber security” na kupigilia msumari kauli mbiu ya mwaka 2014 kua ni mwaka wa vitendo.  Mwanzo wa mkutano bwana Craig Rosewarne (Mwenyekiti wa kundi linalojiuhisisha na maswala ya ulinzi mtandao (ISG) katika nchi za afrika ambaye pia ni Mkurugenzi mkuu wa kampuni Wolfpack...

 

5 years ago

BBCSwahili

Israel Habimana: Raia wa Rwanda aliyeuza mali yake kutengeneza bwawa la umeme kwa wanakijiji

Israel Habimana aliuza mali yake kutengeneza umeme unaotumika na familia 200 licha ya kwamba hakusoma

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani