HAFLA YA KUZAWADIA WACHEZAJI WA BWAWA LA MAINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-vjwKxDibZYM/U2mHKku3aPI/AAAAAAAFgBU/1cIutU9u1wc/s72-c/4ce86efa01dab3d07aa6da37a5404f34.jpg)
Kikosi cha Bwawa la Maini kwenye mnuso wa kuzawadia wachezaji bora uliofanyika usiku huu katika hoteli ia Hilton Liverpool na kuhudhuriwa na wapenzi na wanachama kutoka kila pembe ya dunia ikiwemo Tanzania ambayo iliwakilishwa na viongozi wa The Kop In Tanzania
Sehemu ya wageni kwenye mnuso huo katika hoteli ya Hilton Liverpool
Katibu wa The Kop in Tanzania Issa Batenga akiwa na kocha wa Bwawa la Maini Brendan Rodgers kwenye mnuso huo usiku huu hoteli ya Hilton Liverpool
Katibu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CmosTNC2w0U/VMFuJ7UCF_I/AAAAAAAG_G8/w9RFYZ0CjPI/s72-c/IMG_0108.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OVXYiHfXq4k/U0qun1Er_6I/AAAAAAAFad0/sWxPTDvhwXs/s72-c/7c9e7fbf3ebdf4bd7e935b084612b7e0.jpg)
bwawa la maini oyeeee!
![](http://2.bp.blogspot.com/-OVXYiHfXq4k/U0qun1Er_6I/AAAAAAAFad0/sWxPTDvhwXs/s1600/7c9e7fbf3ebdf4bd7e935b084612b7e0.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g4AV1FFqT9Q/U0quoLn4hEI/AAAAAAAFad8/fMsmMsPSpr0/s1600/c049ea677093fc1c4e0e66147afd0cae.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tXuYRiW_H5Y/U0quoI1FVLI/AAAAAAAFad4/3rET31Umqkk/s1600/d981366a7dfe6e9462afbe9e37fbd1ec.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ve9aunmhzho/U0quo-nTYVI/AAAAAAAFaeM/VAumel9jcs4/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KD4JANAnjog/UyXFkcPtCCI/AAAAAAAFUAs/T01poqeCWkY/s72-c/6906__7332__gerrard263_5325bd1fe5694524587035+(1).jpg)
Bwawa la maini oyeeeee!
![](http://2.bp.blogspot.com/-KD4JANAnjog/UyXFkcPtCCI/AAAAAAAFUAs/T01poqeCWkY/s1600/6906__7332__gerrard263_5325bd1fe5694524587035+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XeKSO0_9DQE/Uwv86ixA3KI/AAAAAAAFPWg/RG44xX0uHk0/s72-c/IMG_2700.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X3gdKI1KzNE/VI2R9lPMkwI/AAAAAAAG3Kk/_E0QEIuF_Mg/s72-c/IMG_2700.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oxEiVEV3Vfk/U1a2yscOJgI/AAAAAAAFcWg/mGB_25DwzJ0/s72-c/e488d6a950b5e0191434b5b3713e2612.jpg)
GIGGS AWAKERA BWAWA LA MAINI KWA KAULI YAKE YA MWAKA 2011
![](http://2.bp.blogspot.com/-oxEiVEV3Vfk/U1a2yscOJgI/AAAAAAAFcWg/mGB_25DwzJ0/s1600/e488d6a950b5e0191434b5b3713e2612.jpg)
10 years ago
Vijimambo28 Dec
LICHA YA KUTOKUWA NA MWENENDO MZURI KWENYE TIMU YAKE YA BWAWA LA MAINI KOCHA ASEMA
Balotelli haondoki ng'o, asema kocha
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/05/141205180304_mario_balotelli_racismo_640x360_pa_nocredit.jpg)
Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers amesema kuwa hana mipango ya kumuuza mshambuliaji wa kilabu hiyo Mario Baloteli wakati wa dirisha la uhamisho la mwezi Januari.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 na ambaye amefunga mabao mawili katika mechi 15 amehusishwa na uhamisho wa Inter Milan kulingana na gazeti dello Sport.
''Hicho si kitu nilichofikiria kufanya,kusema ukweli'', alisema Rodgers.
''Tumekuwa na mechi...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Wizara kuzawadia washindi Nanenane
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, imeahidi kuwapatia zawadi washindi wote wa kilele cha maonyesho ya Nanenane 2013, kabla ya kuanza yale ya Kanda ya Kati Agosti Mosi mwaka...
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Oxfam kuzawadia mshindi wa Maisha Plus Sh20 milioni