Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanye West akumbuka dola milioni 20

kanye-west-vmas1CALIFORNIA, Marekani

NYOTA wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, amekumbuka namna alivyotumia dola milioni 20 kwa ajili ya kurekebisha nyumba yao iliyopo California, nchini Marekani.

Eneo la nyumba yao lina ukubwa wa eka 3.5, ambapo Agosti mwaka jana nyumba hiyo ilionekana kuwa na matatizo madogo madogo.

Kanye amesema marekebisho hayo yameifanya nyumba hiyo kuwa na mwonekano mpya wa nyumba za kisasa, ambapo wanaamini mtoto wao, Nori atakuwa sehemu salama zaidi.

“Tumeona bora tubadilishe...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Kanye West atumia shilingi milioni 125 kumnunuliaa mwanae zawadi za Christmas

Kanye West anadaiwa kutumia $74,000 (zaidi ya shilingi milioni 125) kumnunulia mwanae North zawadi Christmas. Chanzo kimoja kimeliambia jarida la Heat kuwa Kanye alitumia $62,000 kununua tiara (crown) iliyozungushiwa almas pamoja na mdoli wa gari inayofanana na SUV yake alioununua kwa $12,000. Chanzo kingine kimedai kuwa Kanye amepanga kumfanyia mke wake Kim surprise ya nguvu.

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West hutumia zaidi ya shilingi milioni moja kila siku kunyoa nywele

screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am

Kanye West anadai kutumia $500 kila siku ambazo ni zaidi ya shilingi milioni moja kunyoa nywele.

screen-shot-2015-04-16-at-8-54-18-am

Kwa mwaka hiyo inaaminisha kuwa hutumia zaidi ya $180,000.

Taarifa hizo zilisemwa na baba yake Rihanna kwenye mahojiano na jarida la Heat, Ronald Fenty, aliyesafiri na Kanye na mwanae kwenye ziara yao mwaka 2010.

“It’s crazy – he pays his barber $500 a time,” alisema. “I don’t understand how that much hair gets taken off. Kanye just loves the fresh look.”

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West

Kim Kardashian West na Kanye West wamempa mtoto wao wa pili jina Saint West.

 

10 years ago

Mwananchi

Linah akumbuka Dola 47,000 za Ole Themba

Mwimbaji aliyetamba na video ya “Ole Themba”, Linah Sanga amesema kuwa ili kuwa msanii wa kimataifa kuna gharama kubwa tofauti na wengi wanavyodhani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kanye West aomba Msamaha

Kanye West ametekeleza matakwa ya kesi iliyokuwa ikimkabilia ya kumpiga paparazi.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Kanye West — When I See It’ + ‘Say You Will (Remix)

Kanye West quietly dropped two new songs on his SoundCloud account on Monday afternoon. The first is a remix to The Weeknd’s “Tell Your Friends,” which he produced, entitled “When I See It.” The under-two-minute track finds Kanye singing in Auto-Tune. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]

 

11 years ago

GPL

HARUSI YA KANYE WEST KUFURU

Matukio mbalimbali ya sherehe hiyo katika picha. Wageni waalikwa wakiwa ndani ya ndege wakielekea Florence, Italia kwa ajili ya ndoa ya Kim na Kanye.…

 

9 years ago

Mtanzania

Kanye West kuwania urais 2020

KIM KARDASHIAN and Kanye West Out DinnerNEW YORK, Marekani

NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, ametangaza nia ya kuwania urais wa nchi hiyo mwaka 2020.

Msanii huyo aliweka wazi mpango wake huo wakati wa utoaji wa tuzo za VMA ‘MTV Video Muzic’ nchini humo huku akiamini kuwa kutangaza huko ni maamuzi magumu kwake.

Alipojinadi alidai ana uhakika ataingia Ikulu ya Marekani yeye na mkewe mwanamitindo, Kim Kardashian.

“Natangaza rasmi kuwa mwaka 2020 nitajitupa katika kinyang’any’iro cha kuwania urais kwa imani kubwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kanye West amuanika mkewe mtandaoni

Msanii wa muziki Kanye West ameweka msururu wa picha za uchi za mkewe Kim Kardashian West katika mtandao wake wa Twitter.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani