HITMA YA KUMBUKUMBU YA KUWAOMBEA WANACUF WALIOFARIKI 2001
MAKAMU Mwenyekiti wa CUF taifa Mhe: Juma Duni Haji (katikati) akiwa amenyanyua mikono kuomba dua, kwenye hitma ya kuwaombea dua wanachama wa chama cha CUF, waliotangulia mbele ya haki mwaka 2001 katika maandamano yaliyofanyika Pemba ya kudai uchaguzi urudiwe. Dua hio iliohudhuriwa na viongozi mbali mbali wa kitaifa wa chama hicho, ilifanyika jana mskikiti wa Ijumaa Chachani Chake Chake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UVZGA7nK5Zs/VoaiXatgcJI/AAAAAAAIPyQ/hnwa1omfy0s/s72-c/4e7a1ac7-83b0-4682-9b95-b78473aead78.jpg)
Hitma ya kuwaombea dua Waumini waliotangulia mbele ya haki Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-UVZGA7nK5Zs/VoaiXatgcJI/AAAAAAAIPyQ/hnwa1omfy0s/s640/4e7a1ac7-83b0-4682-9b95-b78473aead78.jpg)
10 years ago
Vijimambo22 May
FLAVIANA MATATA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMBUKUMBU YA WALIOFARIKI MV BUKOBA
Na Johnson James, Mwanza
ALFAJIRI ya Mei 21 mwaka 1996 – siku kama ya leo -- ni tarehe ambayo Tanzania ilipatwa na msiba mzito ambapo zaidi ya watu 600 walifariki baada ya meli ya MV Bukoba iliyokuwa ikifanya safari zake kutoka mjini Bukoba kwenda jijini Mwanza kuzama katika Ziwa Victoria ambalo liko...
10 years ago
GPLFLAVIANA MATATA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMBUKUMBU YA WALIOFARIKI MV BUKOBA
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Sarena akumbuka alivyodhalilishwa 2001
11 years ago
Habarileo07 Aug
Wanaharakati wamuomba Dk Shein atete na wanaCUF
WANAHARAKATI wamemuomba Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, kwa nafasi yake ya Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa, kuzungumza na wajumbe wa Bunge hilo ambao ni wabunge na wawakilishi kutoka CUF, kurudi katika vikao vya bunge hilo vinavyoendelea Dodoma.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGjk6NZ*8BOvA7DVo9GaqN5blQOjA4YgCddSdytBRnOVF1wzUhKpuCJEolEhwsfRq12dNPXz32nRWZi2pS6tA4F-/BACKAMANI.jpg)
MISS SINZA 2001 NA SKENDO YA PICHA ZA UTUPU!
11 years ago
Michuzi09 Feb
Maalim Seif awataka WanaCUF kutovunjika moyo na matokeo ya uchaguzi mdogo jimbo la Kiembesamak
![](https://3.bp.blogspot.com/-zzd17MjdJwY/UvZAjFNPhAI/AAAAAAABAcY/eLjVapr8ng4/s1600/blw+1.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-N4u4juygyEs/UvZAjOwz_QI/AAAAAAABAcc/Ykmlgw8SUac/s1600/blw+3.jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Jul
Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/s480x480/10401981_10206449526990889_6289542229888818994_n.jpg?oh=81839c90cb8deef7131498511492f2b8&oe=565CB2A8)
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-19WmYxs80-M/U0zZeFONd2I/AAAAAAAFa1s/1tQSgm4Ax48/s72-c/IMG-20140415-WA0000.jpg)
TAARIFA YA HITMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-19WmYxs80-M/U0zZeFONd2I/AAAAAAAFa1s/1tQSgm4Ax48/s1600/IMG-20140415-WA0000.jpg)
Wote mnakaribishwa.
WABILLAH TAWFIQ