Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.
Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU.Jamaa ana kumbukumbu sana.Na nahisi hapo anamuangalia Lowassa na kukumbuka yote aliyowahi kusema juu yake.Kisha.......
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Oct
Rita Ora ana ‘bwana’ mpya, ni huyu jamaa (Picha)
Kuna couple mpya nchini Marekani. Imebainika kuwa Rita Ora na mpiga drums maarufu, Travis Barker wana uhusiano wa kimapenzi. Wawili hao walikutana kwa mara ya kwanza kwenye mechi ya kikapu ya mastaa iliyoandaliwa Power 106 wiki chache zilizopita huko Los Angeles. “Me and the beautiful @ritaora at @power_106 #Power106AllStars,” Barker aliandika kwenye picha aliyoweka Instagram […]
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JAEJaR4fQjs/UvId6tQp-1I/AAAAAAAFK_s/aLTWMU3vP3c/s72-c/New+Picture.png)
KUMBUKUMBU
![](http://1.bp.blogspot.com/-JAEJaR4fQjs/UvId6tQp-1I/AAAAAAAFK_s/aLTWMU3vP3c/s1600/New+Picture.png)
TAREHE 6 – FEBRUARI 2014, UMETIMIZA MIAKA 20 TANGU MWENYEZI MUNGU ALIPOKUTWAA TOKA HAPA DUNIANI. PAMOJA NA KWAMBA KIMWILI HAUPO NASI, KIROHO TUNAKUKUMBUKA DAIMA.
TUNAADHIMISHA KUMBUKUMBU HII TUKIENDELEA KUMUOMBA MWENYEZI MUNGU AWAKUTANISHE KWENYE RAHA YA MILELE NA MUME WAKO MPENDWA MWALIMU NOVATI RUTAGERUKA AMBAYE SIKU ZOTE ALIKUKUMBUKA KATIKA SALA ZAKE KABLA NAYE HAJATWALIWA NA BWANA TAREHE 5 MEI 2010.
MNAKUMBUKWA DAIMA NA WATOTO WENU FROLIDA,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pbbqad_3HKk/VJy64oSqlfI/AAAAAAADSig/bNNFQASkdtE/s72-c/SC20141130-181925.jpg)
KUMBUKUMBU YA MAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-pbbqad_3HKk/VJy64oSqlfI/AAAAAAADSig/bNNFQASkdtE/s1600/SC20141130-181925.jpg)
kumkumbuka mama yatu leo tarehe 26Dec1996 alifariki anaitwa Mrs Wampela Rehema Mbeyela nimiaka 18 sasa
Mama tulikupenda Mungu alikupenda zaidi.
Ni mimi
Happiness and Neema Mbeyela Watoto wake
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
Kumbukumbu ya Garang
Leo ni miaka 10 imepita tangu kufariki kwa kiongozi wa kundi la waasi wa SPLM nchini Sudani, John Garang.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jVIU2Vv66iI/Vh2k0HKkqUI/AAAAAAAH_1c/zk1rWVgSQYA/s72-c/1350108688587.jpeg)
KUMBUKUMBU YA KIFO
![](http://2.bp.blogspot.com/-jVIU2Vv66iI/Vh2k0HKkqUI/AAAAAAAH_1c/zk1rWVgSQYA/s200/1350108688587.jpeg)
Tunakukumbuka na tutaendelea kukuenzi kipenzi chetu. Unakumbukwa na wanao wapendwa,Juliana,Jane,na Jeremiah.Unakumbukwa na bibi,mama wadogo,wajomba,wajukuu,wakwe,ndugu,jamaa na marafiki.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rYOKzMBnnNs/VPmKLk57T1I/AAAAAAADbj4/tzFUxhsJHR0/s72-c/IMG-20150306-WA0000.jpg)
KUMBUKUMBU YA CAROLINE
![](http://2.bp.blogspot.com/-rYOKzMBnnNs/VPmKLk57T1I/AAAAAAADbj4/tzFUxhsJHR0/s1600/IMG-20150306-WA0000.jpg)
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Kumbukumbu ya MH17
Kumefanyika maadhimisho ya kuwakumbuka watu walipoteza uhai wao katika ndege ya shirika la ndege la Malaysia MH17, Uholanzi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XEtD0BBJaJg/VPbJqYh378I/AAAAAAAHHhQ/7g7yR2tC4DA/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
KUMBUKUMBU NA MISA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XEtD0BBJaJg/VPbJqYh378I/AAAAAAAHHhQ/7g7yR2tC4DA/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
Tunakuombea upunguziwe adhabu za kaburi na upatiwe mwanga wa milele.
Misa itafanyika leo tarehe 4 Machi, 2015 katika kanisa Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam, Saa 11.00 jioni
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
Tanzania inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa mwasisi wa taifa hilo marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania