Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU.Jamaa ana kumbukumbu sana.Na nahisi hapo anamuangalia Lowassa na kukumbuka yote aliyowahi kusema juu yake.Kisha.......
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rita Ora ana ‘bwana’ mpya, ni huyu jamaa (Picha)

Kuna couple mpya nchini Marekani. Imebainika kuwa Rita Ora na mpiga drums maarufu, Travis Barker wana uhusiano wa kimapenzi. Wawili hao walikutana kwa mara ya kwanza kwenye mechi ya kikapu ya mastaa iliyoandaliwa Power 106 wiki chache zilizopita huko Los Angeles. “Me and the beautiful @ritaora at @power_106 #Power106AllStars,” Barker aliandika kwenye picha aliyoweka Instagram […]

 

11 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU

OMWANA THERESIA NYAMICHWO RUTAGERUKA
TAREHE 6 – FEBRUARI 2014, UMETIMIZA MIAKA 20 TANGU MWENYEZI MUNGU ALIPOKUTWAA TOKA HAPA DUNIANI. PAMOJA NA KWAMBA KIMWILI HAUPO NASI, KIROHO TUNAKUKUMBUKA DAIMA.
TUNAADHIMISHA KUMBUKUMBU HII TUKIENDELEA KUMUOMBA MWENYEZI MUNGU AWAKUTANISHE KWENYE RAHA YA MILELE NA MUME WAKO MPENDWA MWALIMU NOVATI RUTAGERUKA AMBAYE SIKU ZOTE ALIKUKUMBUKA KATIKA SALA ZAKE KABLA NAYE HAJATWALIWA NA BWANA TAREHE 5 MEI 2010.
MNAKUMBUKWA DAIMA NA WATOTO WENU FROLIDA,...

 

10 years ago

Vijimambo

KUMBUKUMBU YA MAMA


kumkumbuka mama yatu leo tarehe 26Dec1996 alifariki anaitwa Mrs Wampela Rehema Mbeyela nimiaka 18 sasa
Mama tulikupenda Mungu alikupenda zaidi.
Ni mimi
Happiness and Neema Mbeyela Watoto wake

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya Garang

Leo ni miaka 10 imepita tangu kufariki kwa kiongozi wa kundi la waasi wa SPLM nchini Sudani, John Garang.

 

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA KIFO

     SEKELA IRENE MULUNGU (Pichani) Mama yetu kipenzi, ni miaka kadhaa sasa imepita tokea ulipotuacha wapweke hapa duniani, kumbukumbu ya marehemu mama yangu aliyefariki tarehe (14thOktoba,1998).
Tunakukumbuka na tutaendelea kukuenzi kipenzi chetu. Unakumbukwa na wanao wapendwa,Juliana,Jane,na Jeremiah.Unakumbukwa na bibi,mama wadogo,wajomba,wajukuu,wakwe,ndugu,jamaa na marafiki.

 

10 years ago

Vijimambo

KUMBUKUMBU YA CAROLINE

Caroline ni masaa, siku, wiki, miezi na hatimaye leo  mwaka mmoja, toka siku ile tarehe  07/03/2014 saa saba mchana ulipotuacha kwa majonzi ya kutokuamini Kama kweli umeondoka,lakini kwetu ni kama jana tu maana Upendo na Busara zako kwetu bado upo nasi  na utaendelea kuwa nasi milele. kiroho  bado tuko nawe! Caro  siku zote utakumbukwa sana na  mume wako Chris Muhoka, watoto wako Jj, David, Clements, Michelle, na Scott, Mama yako Esnath Mwaiselage, kaka, Dada, Ndugu, jamaa na marafiki zako...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya MH17

Kumefanyika maadhimisho ya kuwakumbuka watu walipoteza uhai wao katika ndege ya shirika la ndege la Malaysia MH17, Uholanzi.

 

10 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU NA MISA

Maria G. Mapango (IA) leo umetimiza miaka miwili tangu ulipoteuliwa na Baba wa Mbingumi. Daima tunakukumbuka mwanetu, mdogo wetu, 
Tunakuombea upunguziwe adhabu za kaburi na upatiwe mwanga wa milele.
Misa itafanyika leo tarehe 4 Machi, 2015 katika kanisa Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam, Saa 11.00 jioni

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere

Tanzania inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa mwasisi wa taifa hilo marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani