KUMBUKUMBU YA KIFO
![](http://2.bp.blogspot.com/-jVIU2Vv66iI/Vh2k0HKkqUI/AAAAAAAH_1c/zk1rWVgSQYA/s72-c/1350108688587.jpeg)
SEKELA IRENE MULUNGU (Pichani) Mama yetu kipenzi, ni miaka kadhaa sasa imepita tokea ulipotuacha wapweke hapa duniani, kumbukumbu ya marehemu mama yangu aliyefariki tarehe (14thOktoba,1998).
Tunakukumbuka na tutaendelea kukuenzi kipenzi chetu. Unakumbukwa na wanao wapendwa,Juliana,Jane,na Jeremiah.Unakumbukwa na bibi,mama wadogo,wajomba,wajukuu,wakwe,ndugu,jamaa na marafiki.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Nilichokiona kumbukumbu ya kifo cha Kanumba 2014
MIAKA wiwili ya kifo cha nyota wa filamu nchini, Steven Kanumba, ilivyokuwa sivyo ilivyotarajiwa na wengi. Aprili 7, 2012 ndiyo siku msanii huyo alifariki dunia kutokana na kifo cha ghafla...
10 years ago
Vijimambo07 Apr
LEO NI MIAKA 43 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA KARUME
![](http://i.ytimg.com/vi/0shB_WGlYeU/hqdefault.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u3jUCwu57cY/VemKQkadauI/AAAAAAAH2VE/NeShIYQrBrw/s72-c/IMG-20140225-WA0003%255B1%255D.jpg)
KUMBUKUMBU YA KIFO CHA FLORA FLOWIN MKANULA
![](http://1.bp.blogspot.com/-u3jUCwu57cY/VemKQkadauI/AAAAAAAH2VE/NeShIYQrBrw/s320/IMG-20140225-WA0003%255B1%255D.jpg)
KUMBUKUMBU YA FLORA(MAPENDO YA FLORA)_________________________
TUNAPOADHIMISHA MIAKA MIWILI YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MPENDWA WETU FLORA FLOWIN MKANULA(1993 – 2013)___________________________________
Tunaona ni vema kumshukuru MUNGU hasa kwa mapendo aliyotushirikisha kupitia maisha ya FLORA, nasi tukabakiwa kwa namna ya pekee tunamuenzi kwa matukio mbalimbali hasa kupitia Misa Takatifu katika kanisa kuu la Mtakatifu Joseph Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Siku ya tarehe...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jEvs4iaCsmA/VeZqEcX5uZI/AAAAAAAH1s8/whaKl6Id9a0/s72-c/IMG_20150901_132357.jpg)
KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MZEE MANG'ANYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-jEvs4iaCsmA/VeZqEcX5uZI/AAAAAAAH1s8/whaKl6Id9a0/s320/IMG_20150901_132357.jpg)
We thought of you with love today,But that is nothing new.We thought about you yesterday.And days before that too.We think of you in silence.We often speak your name.Now all we have is memories.And your picture in a frame.Your memory is our keepsake.With which we'll never part.God has you in his keeping.We have you in our heart.We as family will remember all you taught usWe are hurt but we won't be sadBecause he'll send us...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sDGiPzTmUwk/VIFypD3Sl-I/AAAAAAACv7U/_FSc0PzF2wM/s72-c/New%2BPicture.png)
Kumbukumbu ya kifo miaka 9 ya Mzee Donati Kezirahabi
![](http://1.bp.blogspot.com/-sDGiPzTmUwk/VIFypD3Sl-I/AAAAAAACv7U/_FSc0PzF2wM/s1600/New%2BPicture.png)
Ni miaka 9 tangu ulipotangulia katika makazi yako ya milele siku ile ya huzuni 5 Dec 2005. Tunakumbuka kwa huzuni upendo na uongozi wako katika familia. Miongozo na mapenzi makubwa uliyotupa ndio yanayotuwezesha kusimama na kumsifu Bwana kila siku.
Unakumbukwa sana na mke wako Hidaya Kezirahabi, watoto wako wapenzi na wajukuu, ndugu, jamaa na marafiki wote.
“Bwana akupatie...
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Leo ni Siku ya Kumbukumbu ya Kifo cha Sajuki
Kaburi la aliyekuwa Staa wa Bongo Movie, Marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’
Sajuki enzi za uhai wake akiwa na Mkewe, Wastara Juma.
Tasnia ya Filamu na Uigizaji pamoja wa Watanzania wote leo Januari 2, wanakumbuka pigo walilolipata baada ya kuondokewa na Mwigizaji Mahiri Juma Kilowoko maarufu kama Sajuki.
Sajuki kama ambavyo amekuwa akitambulika zaidi na wapenzi wa saa ya filamu na maigizo alifikwa na na umauti mapema asubuhi ya Jumatano, Januari 2, 2013 katika Hospital ya taifa ya Muhimbili...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EgUmloTQir4/Vh4On2Sc_dI/AAAAAAAH_5k/FQp_ML9W0nE/s72-c/IMG_3237.jpg)
KUMBUKUMBU YA MIAKA 2 YA KIFO CHA ELIFADHILI MKAZE MNZAVA
![](http://4.bp.blogspot.com/-EgUmloTQir4/Vh4On2Sc_dI/AAAAAAAH_5k/FQp_ML9W0nE/s200/IMG_3237.jpg)
Mpendwa mume wangu, leo umetimiza miaka 2 tangu ulipotangulia nyumbani kukaa na Bwana Yesu.
Tunamshukuru Mungu kwa kutupa sehemu ya maisha yako ambayo yamekuwa ni baraka kubwa kwetu. Tunakukumbuka kwa upendo wako, ukarimu na uwajibikaji wako.
Daima unakumbukwa na mimi mkeo, watoto wako, wakwe zako, wajukuu wako, ndugu na marafiki. Pumzika kwa amani tutaonana tena Mbinguni kwa Baba.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QqptCg_25_w/U8EPSUwplsI/AAAAAAAF1fc/x0L5luLdqtY/s72-c/PIX+1-MR+MAKENE.png)
KUMBUKUMBU YA MIAKA 20 YA KIFO CHA BW & BI EUSTACE MAKENE
![](http://3.bp.blogspot.com/-QqptCg_25_w/U8EPSUwplsI/AAAAAAAF1fc/x0L5luLdqtY/s1600/PIX+1-MR+MAKENE.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s_JJThPNGE0/U8EPTLKoblI/AAAAAAAF1fg/Zx89WGkJEtI/s1600/PIX+2-MRS+MAKENE.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT2eNyXXafxvHX1r5JG3q22VOsK0qDEu4VKRjw32eJuH8-HWOOzBbJJcE7ysXxOH3ZZ8euDa0tR3H*L8IN4ZfTzN/NYERERE.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA MIAKA 15 TANGU KIFO CHA MWALIMU NYERERE