Leo ni Siku ya Kumbukumbu ya Kifo cha Sajuki
Kaburi la aliyekuwa Staa wa Bongo Movie, Marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’
Sajuki enzi za uhai wake akiwa na Mkewe, Wastara Juma.
Tasnia ya Filamu na Uigizaji pamoja wa Watanzania wote leo Januari 2, wanakumbuka pigo walilolipata baada ya kuondokewa na Mwigizaji Mahiri Juma Kilowoko maarufu kama Sajuki.
Sajuki kama ambavyo amekuwa akitambulika zaidi na wapenzi wa saa ya filamu na maigizo alifikwa na na umauti mapema asubuhi ya Jumatano, Januari 2, 2013 katika Hospital ya taifa ya Muhimbili...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Apr
LEO NI MIAKA 43 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA KARUME

11 years ago
Vijimambo14 Oct
10 years ago
Vijimambo14 Oct
LEO NI MIAKA 16 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWALIMU JULIUS NYERERE

By Pius Msekwa
Ni dhahiri kwamba Mwalimu Nyerere anakumbukwa kwa mambo mengi ya msingi aliyoyapa kipaumbele wakati wa uongozi wake. Jambo mojawapo alilisema Julai 29 Julai, 1985, kwamba: “Kazi iliyokuwa muhimu kuliko zote kwangu mimi, ilikuwa ni kujenga Taifa lenye umoja kwa msingi wa heshima na usawa wa binadamu”.
Lakini yapo mambo mengine mengi ya uongozi wake ambayo...
11 years ago
GPL
KUMBUKUMBU YA SAJUKI... BONGO MOVIE WAMFANYIA MBAYA WASTARA
10 years ago
Michuzi
KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MZEE MANG'ANYA

We thought of you with love today,But that is nothing new.We thought about you yesterday.And days before that too.We think of you in silence.We often speak your name.Now all we have is memories.And your picture in a frame.Your memory is our keepsake.With which we'll never part.God has you in his keeping.We have you in our heart.We as family will remember all you taught usWe are hurt but we won't be sadBecause he'll send us...
10 years ago
Michuzi
KUMBUKUMBU YA KIFO CHA FLORA FLOWIN MKANULA

KUMBUKUMBU YA FLORA(MAPENDO YA FLORA)_________________________
TUNAPOADHIMISHA MIAKA MIWILI YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MPENDWA WETU FLORA FLOWIN MKANULA(1993 – 2013)___________________________________
Tunaona ni vema kumshukuru MUNGU hasa kwa mapendo aliyotushirikisha kupitia maisha ya FLORA, nasi tukabakiwa kwa namna ya pekee tunamuenzi kwa matukio mbalimbali hasa kupitia Misa Takatifu katika kanisa kuu la Mtakatifu Joseph Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Siku ya tarehe...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Nilichokiona kumbukumbu ya kifo cha Kanumba 2014
MIAKA wiwili ya kifo cha nyota wa filamu nchini, Steven Kanumba, ilivyokuwa sivyo ilivyotarajiwa na wengi. Aprili 7, 2012 ndiyo siku msanii huyo alifariki dunia kutokana na kifo cha ghafla...
11 years ago
GPL
KUMBUKUMBU YA MIAKA 15 TANGU KIFO CHA MWALIMU NYERERE
11 years ago
Michuzi
KUMBUKUMBU YA MIAKA 20 YA KIFO CHA BW & BI EUSTACE MAKENE

