Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUMBUKUMBU YA KIFO CHA FLORA FLOWIN MKANULA





KUMBUKUMBU YA FLORA(MAPENDO YA FLORA)_________________________
TUNAPOADHIMISHA MIAKA MIWILI YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MPENDWA WETU FLORA FLOWIN MKANULA(1993 – 2013)___________________________________
Tunaona ni vema kumshukuru MUNGU hasa kwa mapendo aliyotushirikisha kupitia maisha ya FLORA, nasi tukabakiwa kwa namna ya pekee tunamuenzi kwa matukio mbalimbali hasa kupitia Misa Takatifu katika kanisa kuu la Mtakatifu Joseph Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Siku ya tarehe...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA FLORA (MAPENDO YA FLORA)

TUNAPOADHIMISHA MIAKA MIWILI YA KUMBUKUMBU

YA KIFO CHA MPENDWA WETU

FLORA FLOWIN MKANULA

(1993 – 2013)

___________________________________


Tunaona ni vema kumshukuru MUNGU hasa kwa mapendo aliyotushirikisha kupitia maisha ya FLORA, nasi tukabakiwa kwa namna ya pekee tunamuenzi kwa matukio mbalimbali hasa kupitia Misa Takatifu katika kanisa kuu la Mtakatifu Joseph Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Siku ya tarehe 10/09/2015, saa 12.30 asubuhi.  Baada ya hapo tunazuru makaburi ya Kinondoni.Sote tuzidi...

 

9 years ago

Global Publishers

Leo ni Siku ya Kumbukumbu ya Kifo cha Sajuki

sajuki (1)
sajuki (3)Kaburi la aliyekuwa Staa wa Bongo Movie, Marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’WASTARASAJUKISajuki enzi za uhai wake akiwa na Mkewe, Wastara Juma.

Tasnia ya Filamu na Uigizaji pamoja wa Watanzania wote leo Januari 2, wanakumbuka pigo walilolipata baada ya kuondokewa na Mwigizaji Mahiri Juma Kilowoko maarufu kama Sajuki.

Sajuki kama ambavyo amekuwa akitambulika zaidi na wapenzi wa saa ya filamu na maigizo alifikwa na na umauti mapema asubuhi ya Jumatano, Januari 2, 2013 katika Hospital ya taifa ya Muhimbili...

 

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MZEE MANG'ANYA

ITS now 5 yrs Since You left Us On 02/09/2010.Thursday 15:45 Pm!!!!!!
We thought of you with love today,But that is nothing new.We thought about you yesterday.And days before that too.We think of you in silence.We often speak your name.Now all we have is memories.And your picture in a frame.Your memory is our keepsake.With which we'll never part.God has you in his keeping.We have you in our heart.We as family will remember all you taught usWe are hurt but we won't be sadBecause he'll send us...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nilichokiona kumbukumbu ya kifo cha Kanumba 2014

MIAKA wiwili ya kifo cha  nyota wa filamu nchini, Steven  Kanumba,  ilivyokuwa  sivyo ilivyotarajiwa na  wengi. Aprili 7, 2012 ndiyo siku msanii huyo alifariki dunia kutokana na kifo cha ghafla...

 

10 years ago

Vijimambo

LEO NI MIAKA 43 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA KARUME

Leo April 7, 2015 ni kumbukumbu ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Abeid Aman Karume tangu alipouwawa kwa kupigwa risasi siku kama ya leo mwaka 1872.

 

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA MIAKA 2 YA KIFO CHA ELIFADHILI MKAZE MNZAVA

KUMBUKUMBU YA MIAKA 2 YA ELIFADHILI MKAZE MNZAVA


Mpendwa mume wangu, leo umetimiza miaka 2 tangu ulipotangulia nyumbani kukaa na Bwana Yesu. 
Tunamshukuru Mungu kwa kutupa sehemu ya maisha yako ambayo yamekuwa ni baraka kubwa kwetu. Tunakukumbuka kwa upendo wako, ukarimu na uwajibikaji wako.


Daima unakumbukwa na mimi mkeo, watoto wako, wakwe zako, wajukuu wako, ndugu na marafiki. Pumzika kwa amani tutaonana tena Mbinguni kwa Baba.


 

11 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA MIAKA 20 YA KIFO CHA BW & BI EUSTACE MAKENE

NI MIAKA ISHIRINI IMEPITA TANGU MTUTOKE GHAFLA, WATOTO WENU PAMOJA NA FAMILIA KWA UJUMLA TUNAWAKUMBUKA SANA KILA KUNAPOKUCHA KWA UPENDO MWINGI NA MALEZI MAZURI MLIOTUACHIA.SISI WATOTO WENU, WILBARD, EDWIN, GODWIN, ELVIRA, ELMA NA AVELINA TUNAMUOMBA MUNGU AWAPUMZISHE KWA AMANI. MISA YA KUMBUKUMBU ITAFANYIKA DAR ES SALAAM, PAROKIA YA KIMARA JUMAMOSI TAREHE 12/07/2014.

 

10 years ago

GPL

KUMBUKUMBU YA MIAKA 15 TANGU KIFO CHA MWALIMU NYERERE

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. WATANZANIA leo tunaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa muasisi na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mwalimu Nyerere alifariki dunia Oktoba 14, 1999 akiwa nchini Uingereza alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na maradhi ya kansa ya damu. Akizindua rasmi maadhimisho ya kumbukumbu hizo jana, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Kate Kamba alisema kitaifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani