LEO NI MIAKA 16 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWALIMU JULIUS NYERERE
Mwalimu Nyerere alikuwa na uwezo wa kuona mbali, hata alipopingwa baadaye waliompinga walikiri ukweli wa maono yake.
By Pius Msekwa
Ni dhahiri kwamba Mwalimu Nyerere anakumbukwa kwa mambo mengi ya msingi aliyoyapa kipaumbele wakati wa uongozi wake. Jambo mojawapo alilisema Julai 29 Julai, 1985, kwamba: “Kazi iliyokuwa muhimu kuliko zote kwangu mimi, ilikuwa ni kujenga Taifa lenye umoja kwa msingi wa heshima na usawa wa binadamu”.
Lakini yapo mambo mengine mengi ya uongozi wake ambayo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo14 Oct
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
MODEWJIBLOG na Kumbukumbu ya miaka 16 ya tangu kifo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!
Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922 katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa wa Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika). leo hii ni miaka 16 tangu atangulie mbele za haki huku taifa na vizazi vyake vikiendelea kumkumbuka na kuenzi utashi na uongozi wake ulitukuka katika taifa hili la Tanzania.
Mtandao wa Modewjiblog unaungana na Watanzania wote popote pale walipo katika kuombeleza kumbukumbu hii ya Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere. Pia tunatumia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT2eNyXXafxvHX1r5JG3q22VOsK0qDEu4VKRjw32eJuH8-HWOOzBbJJcE7ysXxOH3ZZ8euDa0tR3H*L8IN4ZfTzN/NYERERE.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA MIAKA 15 TANGU KIFO CHA MWALIMU NYERERE
10 years ago
GPLKUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWALIMU NYERERE YAZINDULIWA JIJINI DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jjGN3SPqjTQ/XrBtJgasbyI/AAAAAAALpHw/VQpkkwhiMagTVY_Ew4V6_gcwsYsznPXeQCLcBGAsYHQ/s72-c/ru.jpg)
KUMBUKUMBU YA MIAKA MITANO YA KIFO CHA MWALIMU NOVATI SIMEON RUTAGERUKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jjGN3SPqjTQ/XrBtJgasbyI/AAAAAAALpHw/VQpkkwhiMagTVY_Ew4V6_gcwsYsznPXeQCLcBGAsYHQ/s1600/ru.jpg)
TAREHE 5 - MEI UMETIMIZA MIAKA MITANO TANGU MWENYEZI MUNGU ALIPOKUTWAA TOKA HAPA DUNIANI. PAMOJA NA KWAMBA KIMWILI HAUPO NASI, KIROHO TUNAKUKUMBUKA DAIMA.
UNAKUMBUKWA DAIMA NA WATOTO WAKO FLORIDA, ILLUMINATA, LIBERATA, DUNSTAN, JOYCE NA EDWIN PAMOJA NA WAKWE, WAJUKUU, NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI.
IBADA YA MISA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MWALIMU RUTAGERUKA ITAADHIMISHWA SIKU YA JUMANNE TAREHE 5 - MEI - 2015, KATIKA KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH, DAR-ES-SALAAM, SAA 11.30 JIONI.
BWANA ALITOA, BWANA...
9 years ago
MichuziMAHAFALI YA 10 YA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM LEO.
KWA...
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Taasisi ya Mwalimu Nyerere yaandaa maonyesho na mdahalo wa kukumbuka miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa
Na Anna Nkinda – Maelezo
Taasisi ya Mwalimu Nyerere kwa kushirikiana na Makumbusho ya Taifa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wameandaa maonyesho na mdahalo wa kukumbuka na kuenzi mchango wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika kujenga, kutetea, kulinda na kudumisha amani Duniani.
Maonyesho hayo ya siku tano ambayo yatafunguliwa tarehe 13 na kumalizika terehe 17 mwezi huu yatafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa yaliyopo jijini Dar es Salaam.
Kwa...
10 years ago
Vijimambo07 Apr
LEO NI MIAKA 43 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA KARUME
![](http://i.ytimg.com/vi/0shB_WGlYeU/hqdefault.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4kuDfUXMHbo/VSwdPrjXNzI/AAAAAAAHRBY/SK8Mn9d6Y60/s72-c/CCdtGPXWEAAF0t_.jpg)
Leo ni siku ya kuzaliwa mwalimu julius kambarage nyerere
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kuDfUXMHbo/VSwdPrjXNzI/AAAAAAAHRBY/SK8Mn9d6Y60/s1600/CCdtGPXWEAAF0t_.jpg)