Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rita Ora ana ‘bwana’ mpya, ni huyu jamaa (Picha)

Kuna couple mpya nchini Marekani. Imebainika kuwa Rita Ora na mpiga drums maarufu, Travis Barker wana uhusiano wa kimapenzi. Wawili hao walikutana kwa mara ya kwanza kwenye mechi ya kikapu ya mastaa iliyoandaliwa Power 106 wiki chache zilizopita huko Los Angeles. “Me and the beautiful @ritaora at @power_106 #Power106AllStars,” Barker aliandika kwenye picha aliyoweka Instagram […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Video: Rita Ora f/ Chris Brown — Body On Me

Video ya wimbo mpya wa Rira Ora ‘Body On Me’ aliomshirikisha Chris Brown. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Iggy Azalea f/ Rita Ora — ‘Black Widow’

Iggy Azalea ameachia video ya wimbo wake ‘Black Widow’ aliomshirikisha Rita Ora. Itazame hapa utaifurahia bila shaka.

 

9 years ago

Bongo5

Rita Ora aishtaki label ya Jay Z, Roc Nation

rita_ora_dec12_v_2nov12_mag_b

Rita Ora ameishtaki label ya Jay Z, Roc Nation.

rita_ora_dec12_v_2nov12_mag_b

Ni baada ya miaka mingi kushindwa kuachia album yake nchini Marekani akiwa chini ya label hiyo.

Rita amedai kuwa alikuwa amebaki kama mtoto yatima baada ya label hiyo kuamua kuwekeza kwenye michezo na biashara zingine.

“When Rita signed, Roc Nation and its senior executives were very involved with her as an artist,” malalamiko yake yanasema.

“As Roc Nation’s interests diversified, there were fewer resources available and the company suffered...

 

10 years ago

Vijimambo

RITA ORA NA KIM KARDASHIANA WAGONGANA NA VAZI LINALOFANANA KWENYE HAFLA MOJA YA MADONNA.

She loves the attention! The mother-of-one couldn't seem to get enough of the flashing lights as she posed.Flawless: The American reality television star was preened to perfection for her night out with Kanye.In good hands: The 37-year-old rapper rested his hand on his wife's bottom as they headed inside.Doing the double: Rita Ora (left) arrives at the Mert & Marcus House of Love party only to find that Kim Kardashian (right) is wearing a near-identical dress.Before the big surprise: Rita...

 

10 years ago

Vijimambo

KUMBE UJAUZITO WA AUNTY EZEKIEL NI WA HUYU JAMAA!


Kwa siku za nyuma uliwahi kusikia kwamba Msanii wa bongo movie Aunty Ezekiel aliwahi kulala na Mose Iyobo ambaye ni dancer wa Diamond Platnumz sasa kwa taarifa zilizopo ni kwamba ndiye mmiliki wa mimba ya Aunty Ezekiel, Mose Iyobo.Kupitia instagrm ya Mose Iyobo alipost picha hii hapa chini na kuandika hivi;‘Lazima tujifunze kutofautisha kati ya kitambi na mimba lakini hapa kuna utata…..mimi ni mmoja kati ya wasio elewa hiki ni nini….au wewe ulikuwa unaonaje hiki ni kitambi au mimba….. na...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara: Huyu Jamaa Nampenda Mfano Hakuna, Anafanana Vingi na Sajuki

Wastara na Mlela

Wastara na Mlela

Mama na mwana mama na baba nimeipenda kama ilivyo ila kiukweli huyu jamaa nampenda mfano hakuna, mpole muelewa hana makuu anao ubinadaamu hana ugomvi na mtu, mpole ajui kufoka wala kugombana akikasirika dk 2 tu anarudi kuwa normal. Sichoki kufanya nae kazi namchukulia ni mdogo wangu wa tumbo moja namfananisha vitu vingi na Sajuki si mwingine ni      Yusuph Mlela au Mlelandro.

Hayo ni maneno ya mwigizaji Wastara Juma kwenye moja ya post zake kwenye mtandao picha wa instagram...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani