Dr. Stephen Ulimboka unamkumbuka huyu jamaa yupo wapi?
![](http://img.youtube.com/vi/7nTWMnYSq_A/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/gr1mB0eWx2c/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/K6ZQKkkjmcI/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ZLtuxYaKko0/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-KQp6FeYPhjQ/VKY8Y3c9ITI/AAAAAAAA1Uk/qQxWObamqEA/s72-c/912a0__mose2BIyobo.jpg)
KUMBE UJAUZITO WA AUNTY EZEKIEL NI WA HUYU JAMAA!
![](http://1.bp.blogspot.com/-KQp6FeYPhjQ/VKY8Y3c9ITI/AAAAAAAA1Uk/qQxWObamqEA/s1600/912a0__mose2BIyobo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6IdpJ2ssoaw/VKVd0D7F9yI/AAAAAAAAE58/GJASvxvjyfk/s640/10832114_625086570936508_2122339414_n.jpg)
9 years ago
Bongo502 Oct
Rita Ora ana ‘bwana’ mpya, ni huyu jamaa (Picha)
9 years ago
Bongo Movies24 Dec
Wastara: Huyu Jamaa Nampenda Mfano Hakuna, Anafanana Vingi na Sajuki
![Wastara na Mlela](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/WASTARA24.jpg)
Wastara na Mlela
Mama na mwana mama na baba nimeipenda kama ilivyo ila kiukweli huyu jamaa nampenda mfano hakuna, mpole muelewa hana makuu anao ubinadaamu hana ugomvi na mtu, mpole ajui kufoka wala kugombana akikasirika dk 2 tu anarudi kuwa normal. Sichoki kufanya nae kazi namchukulia ni mdogo wangu wa tumbo moja namfananisha vitu vingi na Sajuki si mwingine ni Yusuph Mlela au Mlelandro.
Hayo ni maneno ya mwigizaji Wastara Juma kwenye moja ya post zake kwenye mtandao picha wa instagram...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7B1weLJpwX8/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwmvdL6ypMwxVzQT9Nm5lXUNupG1gZXWP51M684HYr99RyOMH4OilaY5vLDKuQ-bJyP-NpPiDM-DXqbb-EWB*Faq/nisha.jpg?width=650)
NISHA BADO YUPO YUPO SANA
10 years ago
Mtanzania21 Feb
‘Mwanajeshi’ ateswa kama Ulimboka
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
KIONGOZI wa vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), waliokuwa wakiishinikiza Serikali kuwapatia ajira, George Mgoba, amelazwa katika Hospitali ya Amana, jijini Dar es Salaam, baada ya kutekwa nyara na kisha kuteswa na watu wasiojulikana.
Mgoba ni miongoni mwa vijana waliowawakilisha wenzao zaidi ya 300 kukutana na viongozi wa juu wa Serikali hivi karibuni, akiwemo Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, kuzungumzia kilio chao na kupinga...